Joseph
JF-Expert Member
- Aug 3, 2007
- 3,518
- 1,090
Wanaume tunadhani kuwa ukioa tu ndio unakuwa na mamlaka ya kufanya lolote kwa mwenza wako,mbaya zaidi alidhani mkewe kazini anafanya kazi na wanawake wenzake peke yake bila wanaume kitu ambacho anashindwa kuelewa kuwa huwa inafikia kipindi masuala ya kazini hulazimika kuja mpaka nyumbani kwa dharula.Kweli kaka lakini pia amesahau kwamba simu ya mkewe si ya kwake, hatakiwi kuipokea mkewe akiwepo. ninaamini asingepokea yote haya yasingetokea
Mimi simu ya mke wangu sina haja nayo na nikitaka kumfuatilia si mpaka nisubiri apigiwe simu kuna mbinu nyingi tu za kufanya,huyu jamaa kachemka sana.