Navunja ndoa ya mtu!!!!

Navunja ndoa ya mtu!!!!

ACHA MAMBO ZAKO WEWE!!!!!!!!!! Kazi gani MNAONGEA HADI USIKU!!!!!! Nyamaaaaff!!!!!!!! Wewe ndo mwenye tabia CHAFU ya kutumia kigezo cha kazi kuendeleza mahusiano yasiyo rasmi na mke wa mwenzio!!!!!!!! Ndio mnafanya kazi ila mida ya kaz si Asubuhi hadi Saa 11 kwa nyie wajenzi wa taifa hata saa 2usiku si mbaya!!!!!! Ila wewe usivo na soni saa 4 wampigia mke wa mtu kisa Kazi!!!!!!!!!!!

Aaaaaaaaaah! Give us a break bana!We sema ukweli tu pamoja na kazi kuna kielement cha EVIL INTENTIONS na unajisikia raha kuongea na huyo dada, basi kakitokea kasababu tu ushamuendea hewani!Mimi simu yangu ya kikazi saa 11 kamili NAIZIMAAAA hadi kesho yake! Kazi haziishagi zitaendelea kesho! Dharura zitajiju manake nikiwaendekeza maboss kama nyie utafanya kaz hadi jumapili!!!!!!!!!

Kubali kuwa ulilofanya ni unyanyasaji wa kiofisi! Hadi mtoto kuipiga ile namba manake imekaa juu juu kwa kupigwa sanaaa! Ifike Mahali mabosi muheshimu ndoa za wenzenu! Sio kisa ndo boss kila dakika wapiga piga tuuuu!!!!!!!! Haya Mchukue ufanye nae kazi vizuri basi masaa 24 piga saa hivi!

Huyo mumewe sio mpuuzi wala mjinga kufikia uamuzi huo! HUYU KUNA MIPAKA ALIVUKA SEMA HASEMI TU HUMU!!!!!!!!
 
Kaka huyu dada ndoa yake ikivunjika hatakulaumu wwmatamlaumu mumewe,coz kwa maelezo hayo,kosa lako liko wap?na dada naye angekuambia kuwa usiwe unampigia simu nyumbani kwao!

Kwa jinsi tunavyoishi na huyo dada hapa ofisini nadhani anajisikia aibu kutupa picha harisi ya mmewe, angesema kwamba mmewe ni tatizo kiasi hicho ningeweza hata kuacha kuwasiliana naye kabisa.....maana mawasiliano yetu ni business zaidi na si vinginevyo
 
Kwa gentleman makini asingekataa mimi kuonana naye face to face
Si vizuri waonane face to face peke yao, lolote laweza tokea. Maana jamaa yeye anachojuwa ni kuwa mkewe anachukiliwa, sasa mtu mwenye kujipa uhakika huo anaweza akafanya lolote mkionana peke yenu
 
Mimi nadhani hutakiwi kukaa kimya, cha msingi waendee au watafute wazazi wa mume na uwaeleze ishu imekaaje na wao wakusaidie kuzumngumza na mtoto wao. Kama si hao anaweza akawa shangazi yake au ndugu yeyote anayemuheshimu. Wakati unayafanya haya hakikisha mke wako anajuwa unachofanya na mwisho wa siku mkutanishwe wewe, mkeo, jamaa na mkewe pamoja na ndugu wa mume alitakayehusika kuanza kuongea na huyo jamaa

Wife hi move anaijua vizuri. Inanikera sana kupoteza mda kudeal na upuuzi kama huu
 
Sikulaumu na pia sikutetei....kuna mambo ambayo tunapaswa kuyawekea tahadhari toka mwanzo hasa tunapokuwa tunawasiliana na wake/waume za watu ..Na wewe inaonyesha uli-mess up from the day go..mfano hata wewe ukijiweka kwenye nafasi ya huyo jamaa ..afu mtu unayemhisi ampigie simu mkeo ..asiongeee..lolz..nahsi utaona ambavyo ni ngumu sana kuaminika kirahisirahisi...

La kwanza jifunze namna bora ya kuishi na mke wa mtu hata kama mnafanya kazi pamoja (distancing)...La pili, kuhusu hili jambo kama una mke mshirikishe kwanza ili ajue kilichokutokea na hata likitokea la kutokea akupe support (manake unaweza kupoteza huku na kule)..Then, usifanye mawasiliano yeyote na huyu dada..hell no...naaamini kama hamkuwa na kitu chochote the truth will set you free..........................

Wife anajua vizuri hii kitu ndo amekuwa mshauri wangu mkubwa sana sana ananiambia nikae mbali na huyu jamaa ili asije kunipoteza
 
Tafuta watu wazima 2, anaweza kuwa mchungaji wako au boss wako wa kazini. Nenda kaongee na huyo Bwana uso kwa uso kwa lengo la kunusuru ndoa ya huyo DADA.

Sio wanaume wote wana busara, kumbuka hadithi ya Nabal na Abigail vs Daudi.

Well said!!
 
Wadau mwenzenu nipo kwenye wakati mgumu sana psychologicaly, kuna dada anataka kuachika kwasababu yangu ilihali hana kosa lolote....Ishu iko hivi Kuna dada(mke wa mtu) nipo naye karibu sana kikazi, siku asipokuwepo ofisini kuna baadhi ya kazi zake hunachia nimsaidie namimi nisipokuwepo ofisini naye hunipa ushirikiano wa hivyo kutokana na nature ya kazi zetu kufanana sana.

Kutokana na ukaribu huu mmewe alianza kuwa na wasiwasi namimi, kwasababu kuna siku nilimpigia simu mkewe akapokea yeye bila hata kujibu salamu yangu akaniuliza shida yangu ni nini? mimi nikamueleza kwamba shida yangu ni ya kikazi nataka kuongea na mkewe,..... kumbe alikuwa naye jirani akampatia nikaongea naye, yalikuwa ni masuala ya kikazi tu yaliyohitaji ufafnuzi wa sekunde chache tu alafu zilikuwa ni saa za kazi, ishu ni kwamba huyu dada na mmewe walikuwa likizo.

Hivi majuzi huyu dada aliwahi kidogo kutoka ofisini kwasababu alikuwa anawahi kumpokea mmewe Airport alikuwa ametokea nje ya nchi kusimamia matibabu ya ndugu yake, all the way kwenda airpot na kuelekea nyumbani kwao tukawa tunawasiliana na huyu dada kuhusiana na vikazi alivyoniachia pale kazini nimsaidie mpaka nilipomaliza mida ya saa2 usiku.

Nikiwa nyumbani mida ya saa4 usiku mwanangu wa miaka3 alichukua simu yangu ikiwa chumbani mimi nikiwa sebureni akawa anaichezea, kwa bahati mbaya akapiga simu kwenda kwa yule dada ikapokelewa na mmewe kila akiongea simu yangu ilikuwa kimya maana alikuwa anaichea mtoto na hakujua kama kapiga simu. baadaye kidogo akapiga yeye, mwanangu akaniletea simu nilipoipokea kumbe ni yule bwana anapiga akaniambia maneno machache tu "HAJAKWAMBIA KWAMBA NIMERUDI? KUANZIA SASA NIMEKUACHIA" nilipojaribu kutaka kujua zaidi nini kinaendelea akanikatia simu, kila nikipiga simu ikawa haipokelewi, kwenye mida ya saa6 usiku akapiga yule dada akiwa amepigwa na kahifadhiwa kwa jirani ndipo nilipogundua nini kilitokea, nimejaribu kumuomba huyu jamaa tuonane tuongee ameniambia nikae mbali naye.

Wadau naombeni ushauri nimsaidieje huyu dada ili kuokoa ndoa yake maana jana amerudi nyumbani kwake lakini mmewe hamsemeshi kitu chochote, akijaribu kumuelewesha anamuambia aje kwangu yeye hataki kuishi naye, najisikia vibaya sana kwasababu mimi ndiyo chanzo na naofia maisha yangu kujisogeza kwenda kunusuru hii ndoa.
Endelea na kazi na waachie maisha yao kwani wewe hayakuhusu,huwezi jua jamaa anagombana na watu wangapi mtaani kuhusu mkewe hivyo haina haja ya kuumiza kichwa chako kwa ajili ya suala hili.
Kama ikitokea mfanyakazi mwenzako akakwambia msiwe mnawasiliana wakati ambao hayupo kazini basi itabidi ufanye hivyo katika kuheshimu maamuzi yake.
Hii inanikumbusha usemi usemao,UKIFANYA BIASHARA YA UTUMBO USIOGOPE NZI.
 
Nimekwisha mtumia Sms na nataka kutoa taarifa polisi, in case of anything wawe na mahala pa kuanzia.

Tena ni vizuri kumtaarifu kabisa kuwa umeona hiyo tuhuma imekuwa nzito sana na unahisi kuwa anaweza kufanya maamuzi ya hatari kwa maisha yako, kwahiyo imekubidi uende polisi.
Hii itasaidia pia kumpa ufahamu kuwa wewe uko serious na hizo allegations na inaweza kumcost iwapo utapata madhara yoyote (hata kama si yy amesababisha)

Usishangae, anaweza kuomba yeye mwenyewe kikao cha usuluhishi wa hilo jambo.
Nakwambia hivyo kwa kuwa mimi pia yalinikuta hayo hayo. Its like ku copy na kupaste hii situation iliyokukuta. Jamaa baada ya kuona polisi wamekuwa involved. alinitafuta tuyamalize ingawa mwanzoni nilitishiwa hadi maisha.
 
ACHA MAMBO ZAKO WEWE!!!!!!!!!! Kazi gani MNAONGEA HADI USIKU!!!!!! Nyamaaaaff!!!!!!!! Wewe ndo mwenye tabia CHAFU ya kutumia kigezo cha kazi kuendeleza mahusiano yasiyo rasmi na mke wa mwenzio!!!!!!!! Ndio mnafanya kazi ila mida ya kaz si Asubuhi hadi Saa 11 kwa nyie wajenzi wa taifa hata saa 2usiku si mbaya!!!!!! Ila wewe usivo na soni saa 4 wampigia mke wa mtu kisa Kazi!!!!!!!!!!!

Aaaaaaaaaah! Give us a break bana!We sema ukweli tu pamoja na kazi kuna kielement cha EVIL INTENTIONS na unajisikia raha kuongea na huyo dada, basi kakitokea kasababu tu ushamuendea hewani!Mimi simu yangu ya kikazi saa 11 kamili NAIZIMAAAA hadi kesho yake! Kazi haziishagi zitaendelea kesho! Dharura zitajiju manake nikiwaendekeza maboss kama nyie utafanya kaz hadi jumapili!!!!!!!!!

Kubali kuwa ulilofanya ni unyanyasaji wa kiofisi! Hadi mtoto kuipiga ile namba manake imekaa juu juu kwa kupigwa sanaaa! Ifike Mahali mabosi muheshimu ndoa za wenzenu! Sio kisa ndo boss kila dakika wapiga piga tuuuu!!!!!!!! Haya Mchukue ufanye nae kazi vizuri basi masaa 24 piga saa hivi!

Huyo mumewe sio mpuuzi wala mjinga kufikia uamuzi huo! HUYU KUNA MIPAKA ALIVUKA SEMA HASEMI TU HUMU!!!!!!!!
Hujanisaidia lara 1
 
Last edited by a moderator:
Hamna wivu wa hivyo,huyo mwanaume atakuwa anamtafutia tu sababu huyo mkewe
May be kaishapagawishwa somewhere else,so kwa hudi na uvumba jamaa ameamua tu kuforce ugomvi na
mke wake.Sifa ya mwanamme ni kuwa understanding na si kuzira zira kama immature girl
 
ACHA MAMBO ZAKO WEWE!!!!!!!!!! Kazi gani MNAONGEA HADI USIKU!!!!!! Nyamaaaaff!!!!!!!! Wewe ndo mwenye tabia CHAFU ya kutumia kigezo cha kazi kuendeleza mahusiano yasiyo rasmi na mke wa mwenzio!!!!!!!! Ndio mnafanya kazi ila mida ya kaz si Asubuhi hadi Saa 11 kwa nyie wajenzi wa taifa hata saa 2usiku si mbaya!!!!!! Ila wewe usivo na soni saa 4 wampigia mke wa mtu kisa Kazi!!!!!!!!!!!

Aaaaaaaaaah! Give us a break bana!We sema ukweli tu pamoja na kazi kuna kielement cha EVIL INTENTIONS na unajisikia raha kuongea na huyo dada, basi kakitokea kasababu tu ushamuendea hewani!Mimi simu yangu ya kikazi saa 11 kamili NAIZIMAAAA hadi kesho yake! Kazi haziishagi zitaendelea kesho! Dharura zitajiju manake nikiwaendekeza maboss kama nyie utafanya kaz hadi jumapili!!!!!!!!!

Kubali kuwa ulilofanya ni unyanyasaji wa kiofisi! Hadi mtoto kuipiga ile namba manake imekaa juu juu kwa kupigwa sanaaa! Ifike Mahali mabosi muheshimu ndoa za wenzenu! Sio kisa ndo boss kila dakika wapiga piga tuuuu!!!!!!!! Haya Mchukue ufanye nae kazi vizuri basi masaa 24 piga saa hivi!

Huyo mumewe sio mpuuzi wala mjinga kufikia uamuzi huo! HUYU KUNA MIPAKA ALIVUKA SEMA HASEMI TU HUMU!!!!!!!!

lara moko umekuwa harsh kidogo.
Na yeye si boss ni officemate na kasema kazi zao zinaendana.
Hii ni sawa na ile issue yako ya mme wa mtu ofisini kwako kumpanchia mda wa kuingia na mkewe kwenda kwa boss wako kukusemea..
Hapo ni jamaa ana mawivu ukizingatia ndo karudi kutoka nje ya nchi ha ha ha kahisi jamaa alijimilikisha kipindi chote hicho
 
Endelea na kazi na waachie maisha yao kwani wewe hayakuhusu,huwezi jua jamaa anagombana na watu wangapi mtaani kuhusu mkewe hivyo haina haja ya kuumiza kichwa chako kwa ajili ya suala hili.
Kama ikitokea mfanyakazi mwenzako akakwambia msiwe mnawasiliana wakati ambao hayupo kazini basi itabidi ufanye hivyo katika kuheshimu maamuzi yake.
Hii inanikumbusha usemi usemao,UKIFANYA BIASHARA YA UTUMBO USIOGOPE NZI.

Kweli kaka lakini pia amesahau kwamba simu ya mkewe si ya kwake, hatakiwi kuipokea mkewe akiwepo. ninaamini asingepokea yote haya yasingetokea
 
ACHA MAMBO ZAKO WEWE!!!!!!!!!! Kazi gani MNAONGEA HADI USIKU!!!!!! Nyamaaaaff!!!!!!!! Wewe ndo mwenye tabia CHAFU ya kutumia kigezo cha kazi kuendeleza mahusiano yasiyo rasmi na mke wa mwenzio!!!!!!!! Ndio mnafanya kazi ila mida ya kaz si Asubuhi hadi Saa 11 kwa nyie wajenzi wa taifa hata saa 2usiku si mbaya!!!!!! Ila wewe usivo na soni saa 4 wampigia mke wa mtu kisa Kazi!!!!!!!!!!!

Aaaaaaaaaah! Give us a break bana!We sema ukweli tu pamoja na kazi kuna kielement cha EVIL INTENTIONS na unajisikia raha kuongea na huyo dada, basi kakitokea kasababu tu ushamuendea hewani!Mimi simu yangu ya kikazi saa 11 kamili NAIZIMAAAA hadi kesho yake! Kazi haziishagi zitaendelea kesho! Dharura zitajiju manake nikiwaendekeza maboss kama nyie utafanya kaz hadi jumapili!!!!!!!!!

Kubali kuwa ulilofanya ni unyanyasaji wa kiofisi! Hadi mtoto kuipiga ile namba manake imekaa juu juu kwa kupigwa sanaaa! Ifike Mahali mabosi muheshimu ndoa za wenzenu! Sio kisa ndo boss kila dakika wapiga piga tuuuu!!!!!!!! Haya Mchukue ufanye nae kazi vizuri basi masaa 24 piga saa hivi!

Huyo mumewe sio mpuuzi wala mjinga kufikia uamuzi huo! HUYU KUNA MIPAKA ALIVUKA SEMA HASEMI TU HUMU!!!!!!!!

Hilo nalo neno!
 
Wife hi move anaijua vizuri. Inanikera sana kupoteza mda kudeal na upuuzi kama huu
Kudeal na issue hii haupotezi muda mkuu. Kuna faida kubwa mbili, ya kwanza utaokoa ndoa ya huyo dada na ya pili, unaweza ukawa ndo unaokoa maisha yako mkubwa. Kwani hujawahi sikia watu wanamvamia mtu nyumbani kwake na kumuuwa bila kuchukuwa chochote? Hii ni sababu mojawapo inayopelekea baadhi yetu kufanya hivyo.
 
Tena ni vizuri kumtaarifu kabisa kuwa umeona hiyo tuhuma imekuwa nzito sana na unahisi kuwa anaweza kufanya maamuzi ya hatari kwa maisha yako, kwahiyo imekubidi uende polisi.
Hii itasaidia pia kumpa ufahamu kuwa wewe uko serious na hizo allegations na inaweza kumcost iwapo utapata madhara yoyote (hata kama si yy amesababisha)

Usishangae, anaweza kuomba yeye mwenyewe kikao cha usuluhishi wa hilo jambo.
Nakwambia hivyo kwa kuwa mimi pia yalinikuta hayo hayo. Its like ku copy na kupaste hii situation iliyokukuta. Jamaa baada ya kuona polisi wamekuwa involved. alinitafuta tuyamalize ingawa mwanzoni nilitishiwa hadi maisha.

Wivu wa hivi ni ulemavu kwakweli.
 
Mvaa Tai wewe fanya yako yakwao waachie wenyewe.
Inshort jifunze kutokana namakosa.
Na acha kabisa mawasiliano na huyo mama.
Tena mjamaa akikucall tena chimba bonge la biti asikuzoee kabisaaa.
Undava undava tu
 
Last edited by a moderator:
Hamna wivu wa hivyo,huyo mwanaume atakuwa anamtafutia tu sababu huyo mkewe
May be kaishapagawishwa somewhere else,so kwa hudi na uvumba jamaa ameamua tu kuforce ugomvi na
mke wake.Sifa ya mwanamme ni kuwa understanding na si kuzira zira kama immature girl

Inawezekana kabisa mkuu, kwasababu angekuwa hana agenda ya siri angeweka mazingira ya kupata ukweli
 
lara moko umekuwa harsh kidogo.
Na yeye si boss ni officemate na kasema kazi zao zinaendana.
Hii ni sawa na ile issue yako ya mme wa mtu ofisini kwako kumpanchia mda wa kuingia na mkewe kwenda kwa boss wako kukusemea..
Hapo ni jamaa ana mawivu ukizingatia ndo karudi kutoka nje ya nchi ha ha ha kahisi jamaa alijimilikisha kipindi chote hicho

Kwa ufupi lara 1 hajanisaidia kitu kwenye hili swala
 
Last edited by a moderator:
Kudeal na issue hii haupotezi muda mkuu. Kuna faida kubwa mbili, ya kwanza utaokoa ndoa ya huyo dada na ya pili, unaweza ukawa ndo unaokoa maisha yako mkubwa. Kwani hujawahi sikia watu wanamvamia mtu nyumbani kwake na kumuuwa bila kuchukuwa chochote? Hii ni sababu mojawapo inayopelekea baadhi yetu kufanya hivyo.
Hilo nalo neno mkuu.
 
Kikubwa kwanza uangalie usalama wako. Wanawake walivyo pindi akigombana na mme wake. Anaweza kuropoka maneno ambayo yakamfanya mume awe na uthibitisho wa anacho kihisi. Kwa mfano, pindi akimpiga mke wake, mke kwa hasira anaweza kuropoka ndio mpenzi wangu wewe kinakuuma nini au unamuonea wivu kwa sababu anamvuto. Mke bila kujua madhara ya kauli hiyo.
Mume atakuona wewe ndiye umechafua hali ya hewa ya familia yake. Kwa hiyo atakuwa na liwalo na liwe kwako.
Kwa usalama wako, lifikishe swala hili ngazi za juu kama police au viongozi wa dini ili Mume aridhike kabisa kama wewe na mke wake amna kinachoendelea.
 
Back
Top Bottom