Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 37,959
Lara 1, kwenye maisha yako hadi leo, hujawahi singiziwa kuwa unatembea na fulani wakati si kweli? How did you handle it? Maana kuna wengine wakisingiziwa tu basi wanaamua kfanya kweli.ACHA MAMBO ZAKO WEWE!!!!!!!!!! Kazi gani MNAONGEA HADI USIKU!!!!!! Nyamaaaaff!!!!!!!! Wewe ndo mwenye tabia CHAFU ya kutumia kigezo cha kazi kuendeleza mahusiano yasiyo rasmi na mke wa mwenzio!!!!!!!! Ndio mnafanya kazi ila mida ya kaz si Asubuhi hadi Saa 11 kwa nyie wajenzi wa taifa hata saa 2usiku si mbaya!!!!!! Ila wewe usivo na soni saa 4 wampigia mke wa mtu kisa Kazi!!!!!!!!!!!
Aaaaaaaaaah! Give us a break bana!We sema ukweli tu pamoja na kazi kuna kielement cha EVIL INTENTIONS na unajisikia raha kuongea na huyo dada, basi kakitokea kasababu tu ushamuendea hewani!Mimi simu yangu ya kikazi saa 11 kamili NAIZIMAAAA hadi kesho yake! Kazi haziishagi zitaendelea kesho! Dharura zitajiju manake nikiwaendekeza maboss kama nyie utafanya kaz hadi jumapili!!!!!!!!!
Kubali kuwa ulilofanya ni unyanyasaji wa kiofisi! Hadi mtoto kuipiga ile namba manake imekaa juu juu kwa kupigwa sanaaa! Ifike Mahali mabosi muheshimu ndoa za wenzenu! Sio kisa ndo boss kila dakika wapiga piga tuuuu!!!!!!!! Haya Mchukue ufanye nae kazi vizuri basi masaa 24 piga saa hivi!
Huyo mumewe sio mpuuzi wala mjinga kufikia uamuzi huo! HUYU KUNA MIPAKA ALIVUKA SEMA HASEMI TU HUMU!!!!!!!!