Digital base
Senior Member
- Jul 19, 2020
- 126
- 189
Hello habari ya leo wadau ,
Mimi naishi Dar Es Salaam Kimara Temboni na sasa nahama kikazi kwenda mkoa mwingine
Nauza vyombo vyote vya ndani ambapo katika vyombo hivyo nna TV Inch 32 kampuni ya Ailyons na king'amuzi Cha Azam cha Dish vyote Tsh.270,000
Sofa za watu wawili mbili zote Tsh.200,000
Kitanda na Godoro 5 * 6 Vyote Tsh.300,000
Kabati la milango mitatu Tsh.220,000
Meza ya Radio (Show case) Tsh.55,000
Meza ya chakula Tsh.85,000
Mtungi mdogo wa Gas Oryx Tsh.20,000
Brenda kampuni ya Aborder heavy duty Tsh.70,000
Pasi Tsh.15,000
Vyombo Vidogo vidogo Kuna jaba la ndoo 8 Moja na madogo ya ndoo 3 mawili yote Tsh.25,000
Ndoo kubwa 5 na ndoo ndogo Moja zote 15,000
Namba yangu 0626586559 napatikana Dar Es Salaam Kimara Temboni
Maongezi kwa mnunuzi yapo ukifika
Mimi naishi Dar Es Salaam Kimara Temboni na sasa nahama kikazi kwenda mkoa mwingine
Nauza vyombo vyote vya ndani ambapo katika vyombo hivyo nna TV Inch 32 kampuni ya Ailyons na king'amuzi Cha Azam cha Dish vyote Tsh.270,000
Sofa za watu wawili mbili zote Tsh.200,000
Kitanda na Godoro 5 * 6 Vyote Tsh.300,000
Kabati la milango mitatu Tsh.220,000
Meza ya Radio (Show case) Tsh.55,000
Meza ya chakula Tsh.85,000
Mtungi mdogo wa Gas Oryx Tsh.20,000
Brenda kampuni ya Aborder heavy duty Tsh.70,000
Pasi Tsh.15,000
Vyombo Vidogo vidogo Kuna jaba la ndoo 8 Moja na madogo ya ndoo 3 mawili yote Tsh.25,000
Ndoo kubwa 5 na ndoo ndogo Moja zote 15,000
Namba yangu 0626586559 napatikana Dar Es Salaam Kimara Temboni
Maongezi kwa mnunuzi yapo ukifika