Nauza contacts za watu na majina yao

swali la kipuuzi..................

Ukishindwa kulijibu haliwezi kuwa la kipuuzi. Mi nishafanya kazi na watu wa Sales/Marketing kwa karibu kabisa, na mtu kashapata tuzo kubwa sana kiasi mpaka regional manager akaja kumpa tuzo.

Akaulizwa siri ya ushindi, phone directory.

Sasa katika ulimwengu wa leo wa watu wanaoijua hela, huwezi kuuza bidhaa tu kwa pesa bila kuelezea kuna "added value" gani over and above what is available publicly and almost free.
 
Ukishindwa kulijibu haliwezi kuwa la kipuuzi. Mi nishafanya kazi na watu wa Sales/Marketing kwa karibu kabisa, na mtu kashapata tuzo kubwa sana kiasi mpaka regional manager akaja kumpa tuzo.

Akaulizwa siri ya ushindi, phone directory.

Sasa katika ulimwengu wa leo wa watu wanaoijua hela, huwezi kuuza bidhaa tu kwa pesa bila kuelezea kuna "added value" gani over and above what is available publicly and almost free.

Mkuu hii comment ni bullseye...hapo kwenye 'added value' ndio panapofanya mtu akauziwa mchanga wakati anaishi jangwani.
Lazima uonyeshe the competitive advantage ya hizo cell # over Yellow Pages.Wabongo tunadhani kila kitu lazima kiuzwe kama samaki sokoni.
Ndio maana kuna watu wanaitwa marketing consultants.
Wake up watanzania.Eboooo!!!
 
Ukishindwa kulijibu haliwezi kuwa la kipuuzi. Mi nishafanya kazi na watu wa Sales/Marketing kwa karibu kabisa, na mtu kashapata tuzo kubwa sana kiasi mpaka regional manager akaja kumpa tuzo.

Akaulizwa siri ya ushindi, phone directory.

Sasa katika ulimwengu wa leo wa watu wanaoijua hela, huwezi kuuza bidhaa tu kwa pesa bila kuelezea kuna "added value" gani over and above what is available publicly and almost free.

it all depends on target audience, purposes, formal/informal, data source (paper or electronic) etc

ni swali la kipuuzi kwakweli
 
it all depends on target audience, purposes, formal/informal, data source (paper or electronic) etc

ni swali la kipuuzi kwakweli

Upuuzi ni kusema hili ni swali la kipuuzi kwa sababu ya target audience, purpose etc bila hata ya kuambiwa kwamba hizo contacts zina any type of specificity.

Mie nafahamu umuhimu wa vyote hivyo ulivyovitaja hapo juu, ndiyo maana nataka huyu mjanja anayeuza namba anieleze, kwa mfano mie natafuta wateja wa Internet Services, kwa nini ninunue namba kwake badala ya kutumia Yellow Pages?

Sasa yeye ndo anze kunijibu, unajua namba zangu nimezipata kutoka kwenye Databases za "SuperSport/ MultiChoice" ambao ni watu wenye demographics za kuwa na purchasing power ya kutaka Internet Services, kwa hiyo zimelenga haja yako specifically zaidi ya Yellow Pages ambapo utahangaika sana ili kupata angalau sale moja tu.

Kisha ntaangalia bei na usumbufu, nitalinganisha, nikiona deal linalipa, nanunua.Nikiona michosho naanza.

Ndiyo maana ya kuuliza.

Sio mradi mtu anauza bidhaa tu unanunua kabla ya kuipima.

Mwingereza anakwambia "A fool and his money are soon parted". Do not be one.
 
Directory ipi? Ile ya TTCL au? Kama jibu ni ndiyo basi jibu la ndiyo yako ni kwamba i can't send SMS thru namba za mezani!

Sawa,

Sasa huyu ananipa "added value" na justification moja ya kununua. Ndo majibu kama haya yanatafutwa kuongeza uzuri wa namba hizi.

Vile vile kuna mwingine atataka kuwapigia watu kwenye simu za nyumbani ili wasipate kuchajiwa au usumbufu wa cellphone, kwa mtu kama huyu hii si added value bali ni disincentive.

Ndiyo umuhimu wa kuuliza.Huwezi kusema swali la kipuuzi kabla hujajua jibu.

Utaonekana wewe ndiye mpuuzi.
 
Wadau, kuna promotion/sampling ya kampuni moja tulifanya na tukakusanya majina pamoja na namba zao za simu.Kwa yule anaehitaji nimuuzie tuwasiliane.Ni contacts kama 3,000 za watu wa Dar.

Hizi hapa zako (maadili yananikataza kuzianika kabisa) hii nakuonesha kuwa inawezekana, unataka na ya nani nikupe bure:

076203*5** na nyingine inaanza na 0788


Wacha, usicheze mchezo usiouweza.

Kawauzie Wakenya wenzako huko.
 
Siku hizi kuna Yellow page mkuu.

You're right, but for wht i know, Yellow Pages mostly zina business contacts na sio personal contacts! Kama una-deal na B2B, then Yellow pages ni perfect choice, but wht if u're dealing with end users?
 
we ondoa utoto wako hapa,
mtu atachukua tu contact ya mtu hata hamjui wala hana shida nae, ili iweje?
mods acheni ku-entain a such stupid thread mwishowe hapa jamvini ndo pataonekana pa kuchongea deal za kipuuzi!
 
Hizi hapa zako (maadili yananikataza kuzianika kabisa) hii nakuonesha kuwa inawezekana, unataka na ya nani nikupe bure:

076203*5** na nyingine inaanza na 0788


Wacha, usicheze mchezo usiouweza.

Kawauzie Wakenya wenzako huko.

Mkuu najua unajua sana kuimba na kucheza wimbo unaoitwa 'CCM' kwenye siasa...lakini hii nyimbo inaitwa 'CORPORATE WORLD' sio lazima kila nyimbo ucheze tu.
Huku kuna the quickest minds ever.Last time i checked a corporate world is a legal way of doing illegal things.That means the things which are not acceptable by the society are acceptable in the corporate world.
Jipange upya kaka.
 
Dah..hawa TIGO wameleta balaa.pole kijana kwa kufukuzwa kazi.mie nipatie namba za Dimtri madevudevu(medvedev)utanifanyia bei gani?
 
Ha..ha..ha Kweli wabongo tunaelekea pazuri.Tatizo lako sasa ni kwenye kuzifanyia pricing hizo contacts,najua utakosea tu.
Give me a cut & i'll put a price tag to those numbers.
Huyo sio mbongo bali ni Mkenya anataka kuuza kwa ajili ya kampuni za utafiti,alichoksea angesema ni data za nini,huenda tungemuelewa,lakini pia katika mambo ya utafiti ni kosa kutoa mambo ya mhusika katika utafiti bila ya kibali chake mwenyewe,na pia ni kosa kuiba /kutoa taarifa za utafiti kwa wasiohusika,huyu bwana anapaka kinyesi fani ya utafiti
 
hakuna ligi, ni swali la kipuuzi tu kauliza

Wapuuzi wengi tu wana tabia ya kupuuza vitu bila kuvielewa.

Hujaweza ku retort anyway, haliwezi kuwa la kipuuzi kiasi hicho.

Usitake kuleta assumptions sehemu ambayo kuuliza hulipii hata senti tano.
 
Upuuzi ni kusema hili ni swali la kipuuzi kwa sababu ya target audience, purpose etc bila hata ya kuambiwa kwamba hizo contacts zina any type of specificity.

Mie nafahamu umuhimu wa vyote hivyo ulivyovitaja hapo juu, ndiyo maana nataka huyu mjanja anayeuza namba anieleze, kwa mfano mie natafuta wateja wa Internet Services, kwa nini ninunue namba kwake badala ya kutumia Yellow Pages?

Sasa yeye ndo anze kunijibu, unajua namba zangu nimezipata kutoka kwenye Databases za "SuperSport/ MultiChoice" ambao ni watu wenye demographics za kuwa na purchasing power ya kutaka Internet Services, kwa hiyo zimelenga haja yako specifically zaidi ya Yellow Pages ambapo utahangaika sana ili kupata angalau sale moja tu.

Kisha ntaangalia bei na usumbufu, nitalinganisha, nikiona deal linalipa, nanunua.Nikiona michosho naanza.

Ndiyo maana ya kuuliza.

Sio mradi mtu anauza bidhaa tu unanunua kabla ya kuipima.

Mwingereza anakwambia "A fool and his money are soon parted". Do not be one.

unahangaika kujustify upuuzi aisee..... that was a stupid question
 
Back
Top Bottom