Nauona mwisho wa CCM

Nauona mwisho wa CCM

Kusemwa halali yake pale alipokosea mbona yeye aliposhika madaraka aliwasema watangulizi wake? Na kinachosababisha asemwe sana alijiona kuwa yeye malaika hawezi kukosea na wapambe wake wakamsifu kwa nyimbo na mapambio pale akipobinya Uhuru wa kuongea
Issue ni kwamba inatusaidia nini kuanza kumsuta mtu aliyekufa? mtu ameshakufa wewe unasema ni halali kumsema anapokosea sasa mtu aliyekufa anakosea au kupatia nini?
 
Ndio maana nasema eidha wewe unaongea kishabiki au tatizo IQ hafifu
Najua wewe hufikirii hilo kwako unachotaka ni kuona tu ccm ikitoka madarakani utaona umeikomoa basi hufikirii baada ya hapo inakuaje.
 
Najua wewe hufikirii hilo kwako unachotaka ni kuona tu ccm ikitoka madarakani utaona umeikomoa basi hufikirii baada ya hapo inakuaje.
CCM itajitoa yenyewe madarakani,CCM limekuwa genge la Wahuni sisi tumekipigania Chama kwa miongo mingi

Hata Mwasisi wa CCM alishasema wanaCCM ndio watakuwa Wapinzani CCM lazima ikubali zama za Serikali ya Chama kimoja zimeisha

Ninyi sidhani kama mtatufikia sisi katika kuhangaika na CCM tukidhani itageuka kumbe ni Wizi na upigaji tu
 
Kwa haya yanayofanywa na CCM waelewe tu sisi wananchi sio wajinga tuliyaona waliyoyafanya tukayaona aliyoyafanya meko na tunaona wanayoyafanya sasa waelewe sisi Watanzania sasa sio wajinga tena tuna akili na tunauelewa mkubwa sana tukutane 2025.

Wanyonge!
Labda wahamie kwingineko. Leo naufyata kutaja athari za IJINGA uliokithiri katika kufanya MAAMUZI yliyo huru na UBWABWA wa dezo
 
Kama haya yooote yalitokea yet tukajenga miradi ya trillions then undeestand the guy is smart!

Hata mfanye vipi hamwezi kuondoa legacy yake
Miradi mingi tunaomba hela nje.. Kodi wanatumbua wajanja.. Hamna legacy yoyote inaachwa...
 
Issue ni kwamba inatusaidia nini kuanza kumsuta mtu aliyekufa? mtu ameshakufa wewe unasema ni halali kumsema anapokosea sasa mtu aliyekufa anakosea au kupatia nini?
Tunasema ili kuweka kumbukumbu sawa na ijulikane nini alipatia na nini alikosea ili huyu au aje asifanye makosa kama ya mwendazake na vilevile ni kumbukumbu kwa waliopo sasa na vizazi vijavyo jinsi watawala wetu walivyokuwa wanaongoza Nchi
 
Kwa haya yanayofanywa na CCM waelewe tu sisi wananchi sio wajinga tuliyaona waliyoyafanya tukayaona aliyoyafanya meko na tunaona wanayoyafanya sasa waelewe sisi Watanzania sasa sio wajinga tena tuna akili na tunauelewa mkubwa sana tukutane 2025.
Mwisho ccm ni katiba mpya na katiba mpya haitopatikana kwa maneno ya amani sasa tafakar
 
Mtu yule ametia aibu kwa kweli!
wahuni nyie,tawala zilizopita pesa hazikuibiwa hata hivyo Hakuna kikubwa kilichofanywa kulinganisha na kipindi cha mwenda zake.kwanini Leo maneno ni mengi Sana au ni ile vita imehamia hapa.
 
Tunasema ili kuweka kumbukumbu sawa na ijulikane nini alipatia na nini alikosea ili huyu au aje asifanye makosa kama ya mwendazake na vilevile ni kumbukumbu kwa waliopo sasa na vizazi vijavyo jinsi watawala wetu walivyokuwa wanaongoza Nchi
Tatizo badala ya kudeal na mzizi wa tatizo ambapo ndio sababu ya hawa viongozi kuweza kufanya hayo madudu badala yake mnasubiri wafanye madudu ndio mje kuwasuta humu.

Kaanza kusemwa toka Mkapa na Kikwete je kipi kilichobadilika? Tumemsema Jk weee hadi kamaliza muda wake na matatizo sugu yakabaki palepale haya kaja JPM nae tunamsema hadi akiwa maiti.
 
Mwisho wa ccm utamalizwa na nguvu ya uma

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
2531624_IMG-20200921-WA0009.jpg

Kimekuwa Chama cha milungula kutekana kupiga Wananchi wenye mawazo mbadala

Kimekuwa Chama cha kununu Watu kama wako Minadani

Hakuna Mwanaccm wa kukemea maovu wamebakia wachache kama Maria Sarungi na Bi.Fatma Karume.

Mzee JK alisema kijivue Gamba akafanyiwa zengwe

Kidogo Chama kifanywe cha Kikabila kitu ambacho ni cha HATARI sana.

Gurupu la Wajinga ndilo limeng'ang'ania uongozi wa Chama.
 
Nikiwa ni miongozi mwa watu ambao hawaipendi CCM kutokana kushindwa kuivusha Tanzania licha ya kuwa na mali asili aina zote
Ila mwaka 2015 baada ya CCM kumweka Magufuli nilijua kuwa CCM walikuwa na asilimia kubwa sana wa kushinda kwa sababu Magufuli alikuwa hana kashfa yeyote ya wazi juu ya uadilifu wake.

Pia kwa kuzingatia hilo nilijua kuwa siku Magufuli akiondoka madarakani basi utakuwa ndo mwanzo wa kifo cha CCM kwani ishanusurika vifo vingi.

Sasa Magufuli ashakufa ambaye ndo alikuwa ndo option yao ya mwisho. Sasa basi possibilities ni mbili tu.
1. CCM iondoke na ikabidhi madaraka kwa wananchi
2. Itawale kwa mkono wa nyundo na kutengeneza uwezekano wa Kutokea machafuko

Lets wait and see
Muda ni daktari mzuri sana
 
Utakufa ww CCM ibaki.. hata Kingunge Aliwahi kusema hivi hivi usemavyo ww today, leo hii yuko wapi? Tusubiri hukumu ya Mbowe tu haya mengine ni matapishi.
 
Nikiwa ni miongozi mwa watu ambao hawaipendi CCM kutokana kushindwa kuivusha Tanzania licha ya kuwa na mali asili aina zote...
Sasa CCM itoke madarakam alafu chama gani kiingie sasa Sijaona chama cha upinzani ambacho kipo tayari kuongoza Tanzania kwa maslah ya wa Tanzania Viongozi bora watatoka CCM tu siku zote, Usiku mwema
 
Sasa CCM itoke madarakam alafu chama gani kiingie sasa Sijaona chama cha upinzani ambacho kipo tayari kuongoza Tanzania kwa maslah ya wa Tanzania Viongozi bora watatoka CCM tu siku zote, Usiku mwema
You have a very narrow spectrum about politics.

Sio lazima amani ivunjwe na upinzani wakigombana na CCM.

Here political instability is being created which can spill out of control.

Kumbuka wanasiasa waliowengi no 01 to save their personal interests first.
 
Back
Top Bottom