Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Hana legacy yoyote zaidi ya ufisadi wa hali ya juuKama haya yooote yalitokea yet tukajenga miradi ya trillions then undeestand the guy is smart!
Hata mfanye vipi hamwezi kuondoa legacy yake
Hana legacy yoyote zaidi ya ufisadi wa hali ya juuKama haya yooote yalitokea yet tukajenga miradi ya trillions then undeestand the guy is smart!
Hata mfanye vipi hamwezi kuondoa legacy yake
Nooma sana aiseeeUnadhani wangesemaje sasa kuiaminisha dunia![]()
Smart? Wastaaf wanazungushwa mafao yao mpaka leo sababu mifuko haina hela, fao la kujitoa sababu mifuko haina hela. Wanufaika wa bodi ya mikopo wanakatwa 15% hata wale waliosaini mkataba wa makato ya 8%.Kama haya yooote yalitokea yet tukajenga miradi ya trillions then undeestand the guy is smart!
Hata mfanye vipi hamwezi kuondoa legacy yake
Umeonesha kuwa hakuna hata chama unachoona kitafaa baada ya kuitoa ccm.Tatizo gani?
Uko sawa kabisa na ni muda wa wapinzani nao kutudanganya wakiwa na madarakaKwa haya yanayofanywa na CCM waelewe tu sisi wananchi sio wajinga tuliyaona waliyoyafanya tukayaona aliyoyafanya meko na tunaona wanayoyafanya sasa waelewe sisi Watanzania sasa sio wajinga tena tuna akili na tunauelewa mkubwa sana tukutane 2025.
kosa kubwa la kihistoria lilifanyika 2015, ule muungano wa vyama vya upinzani ulipowakaribisha na kuwapa usukani wale vigogo!! Leo tungekuwa tunaongea habari nyingine.Kama sio kuchafua uchaguzi mkuu uliopita leo ccm ingekuwa marehemu hayati siku nyingi sana
Kweli ingekuwa marehemu Kama saccos yenye mbunge mmoja. Nyumbu hovyo kabisa.Kama sio kuchafua uchaguzi mkuu uliopita leo ccm ingekuwa marehemu hayati siku nyingi sana
Ndio maana nasema eidha wewe unaongea kishabiki au tatizo IQ hafifuUmeonesha kuwa hakuna hata chama unachoona kitafaa baada ya kuitoa ccm.
Hao viongozi wenyewe wa upinzani wana njaa hawawezi kususia kwa hiyo hata wewe ukisusia haita saidiaBila katiba mpya wananchi tususie chaguzi zijazo mpaka maombi yetu yakubaliwe!
Kwani hiyo katiba mpya itapitishwa na bunge lipi?Mwisho wa CCM utamalizwa na katiba mpya na tume huru pekee mkuu! Vinginevyo haya manyang'au yatazidi kutuminya..
Usijidanganye Mkuu......CCM haikuwahi kushindwa katika uchaguzi wowote mkuu hasa uoande wa bara. Zanzibar sawa naweza kukuelewa. Hebu niaminishe kuwa Lisu alishinda uchaguzi wa 2020 ila kura zake zikaibiwa.Kama sio kuchafua uchaguzi mkuu uliopita leo ccm ingekuwa marehemu hayati siku nyingi sana
Nitaelewa zaidi siku hizi kwere zikishindikana kutolewa ufafanuzi. Ila kwa mimi ambaye nafahamu mambo ya ki ukaguzi na lugha zake,sishabikii hii report coz najua wahusika watapelekewa na kutakiwa kujieleza kwakupeleka vielelzo. So nitakuwa wa mwisho kushabikia na kuita serikali ya awamu ya 5 ni ya kifisadi.Kigwangala alitumia 172M kuandaa Kili challenge lakini pesa hizo hazijulikani zilitumikaje (hazina risiti).
Akaunti ya jeshi la zimamoto ilitumika kupitisha 261M. Yani watu walipiga "mchongo" wakakosa akaunti ya kupitishia, wakatumia akaunti ya zimamoto. Zilipoingia wakazitoa wakasepa. Just imagine watu wana ujasiri wa kupitisha pesa chafu kwenye akaunti ya jeshi? Halafu tunaambiwa mwendazake alinyoosha nchi...
Utasusa mwenyewe. ACT wanashiriki Muhambwe na walishiriki by election Zanzibar na wakatwaa jimbo.Bila katiba mpya wananchi tususie chaguzi zijazo mpaka maombi yetu yakubaliwe!
Kusemwa halali yake pale alipokosea mbona yeye aliposhika madaraka aliwasema watangulizi wake? Na kinachosababisha asemwe sana alijiona kuwa yeye malaika hawezi kukosea na wapambe wake wakamsifu kwa nyimbo na mapambio pale akipobinya Uhuru wa kuongeaAngalia sasa hivi humu mitandaoni watu wanamshambulia mtu mmoja tu na ambaye ameshakufa hivyo hata kuendelea kumsema haisadii lolote,lakini cha kushangaza zaidi ni jinsi anavyosemwa huyo Marehemu utadhani kwamba kabla yake mambo yalikuwa sawa katika hii nchi kwamba yeye tu ndio aliharibu kila kitu.
Wanataka tuamini kuwa Magufuli alikuwa fisadi. Ila ukipita kila mahali mambo yamefanyika. Walinganishe awamu zilizopita na ya 5. Yaani ni kinyesi na mkate.Kama haya yooote yalitokea yet tukajenga miradi ya trillions then undeestand the guy is smart!
Hata mfanye vipi hamwezi kuondoa legacy yake
Shida sisi wananchi tuna maneno mengi sana hasa mitandaoni,lakini hatuna maamuzi juu ya nchi yetu,tunafarijiana tu humu,tunakosoana tu humu lakini mwisho wa siku hoja zetu zinaishia humu,wananchi ndo wenye maamuzi juu ya mstakabali wa nchi yetu,mfano kama wamekataa kutupatia katiba mpya,kwa nini tusisusie chaguzi? Kwani huwa tunalazimishwa kwenda kupiga kura? Wananchi wote tususe ijulikane tu wameingia madarakani pasipo uhalali,tuache kuwaimbia mapambio hasa wanapokuja majukwaani kujinasibu kuwa wamamefanya haya,kumbe wezi wakubwa wanafaidisha familia zao na kutaacha sisi tukiteseka mtaani!
Wewe katiba mpya si mwarobaini wa matatizo yetu,
Pole yeye kapumzika kwa amani, kaumbika tayari na mimi moja naiona, jiulize wewe je natamani nikufahamu ni jua ila experience inaonyesha wa jinsi yako hata kwenye level ya family hawana cha kuonyesha, naomba Mungu isiwe na kwako ndiyo hivyo...Hana legacy yoyote zaidi ya ufisadi wa hali ya juu
Naona umeandika huku machozi yakikutoka kisa siri za ufisadi wenu kufichuliwa na wana ccm wenzenu wasiytaka tabia za kifisadiPole yeye kapumzika kwa amani, kaumbika tayari na mimi moja naiona, jiulize wewe je natamani nikufahamu ni jua ila experience inaonyesha wa jinsi yako hata kwenye level ya family hawana cha kuonyesha, naomba Mungu isiwe na kwako ndiyo hivyo...