komedi
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 204
- 17
Jamaa alifika kwa daktari akipiga yowe la maumivu makali na mazungumzo yakawa hivi:
Daktari: Tatizo nini ndugu?
Mgonjwa: Daktari hali ni mbaya sana, mwili mzima unauma yaani kila kiungo ninachokigusa kinauma.
Daktari akamgusa kama maeneo mawili hivi na kumuuliza kama anasikia maumivu akasema hasikii.
Daktari: Sasa kumbe huumwi?
Mgonjwa: Daktari ninaumwa sana siwezi hata kuelezea, yaani kila kiungo ninachokigusa kinauma mno daktari, labda huwezi kunitibu niambie, au kama huuoni ugonjwa inawezekana nimelogwa, niambie tu mi niende Loliondo.
Daktari: Ebu nionyeshe gusa nione unavyoumwa.
Mgonjwa akanyoosha kidole chake na kujigusa kichwani ''aaaagh'' akapiga kelele, kisha akanyoosha kidole akajigusa puani ''ooooohghhh!!'' akapiga yowe kwa maumivu, baadaye akajigusa begani ''aaaaaghhh''
Daktari: Umevunjika kidole ndugu.
Daktari: Tatizo nini ndugu?
Mgonjwa: Daktari hali ni mbaya sana, mwili mzima unauma yaani kila kiungo ninachokigusa kinauma.
Daktari akamgusa kama maeneo mawili hivi na kumuuliza kama anasikia maumivu akasema hasikii.
Daktari: Sasa kumbe huumwi?
Mgonjwa: Daktari ninaumwa sana siwezi hata kuelezea, yaani kila kiungo ninachokigusa kinauma mno daktari, labda huwezi kunitibu niambie, au kama huuoni ugonjwa inawezekana nimelogwa, niambie tu mi niende Loliondo.
Daktari: Ebu nionyeshe gusa nione unavyoumwa.
Mgonjwa akanyoosha kidole chake na kujigusa kichwani ''aaaagh'' akapiga kelele, kisha akanyoosha kidole akajigusa puani ''ooooohghhh!!'' akapiga yowe kwa maumivu, baadaye akajigusa begani ''aaaaaghhh''
Daktari: Umevunjika kidole ndugu.