FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,083
- 40,735
Kuna hili swali nimekuwa nikijiuliza kimya kimya moyoni..., kwamba huko Kusini kila mtu anajiita Sanga, lengo hasa ni nini? Hata kwenye vibao vya ujenzi wa maghorofa kila mtu anaandika Sanga tu.., hivi ndio masharti ya utajiri hayo au?
Nini kinaendelea? Kila mtu Sanga, Sanga..., Sangaa , Sangaa, mmeishiwa majina?!
Nini kinaendelea? Kila mtu Sanga, Sanga..., Sangaa , Sangaa, mmeishiwa majina?!