Mkuu, umechukia kuitwa rijali? msome vizuri cacico anaweza kua na hidden message for you hapo...
Na aisifuye mvua kavuna mahindi
Hahahahaaa The secretary, habari nyepesi nyepesi zinasema kuwa Bishanga, alikopa benki na kukuhonga wewe hela yote huku akimuacha Zinduna bila pesa ya matumizi?
Kuna ukweli hapa tafadhali thibitisha habari hizi upesi nikamuuzie TANMO..
Mkuu, umechukia kuitwa rijali? msome vizuri cacico anaweza kua na hidden message for you hapo...
Hahahaha, Nimechekaje? Ngoja atakuja na atajisomea mwenyewe ulivo msifia. Umeona thread ya interview ya Maxence Melo? Huna suali la kumuuliza?
Superman my kaka habari zako nilizipata kwenye google, mvua iliyoninyea mie ni ya babu mkaguzi tu Asprin na jamvi loote lajua! huko pande we nipeleke tu, kabla hatujafika utashangaa malabuku zako zimehamia utosini, chezeiya hubby wangu weye??
jamani kati ya matumizi sahihi ya google ni kufahamu vitu na mambo mbalimbali, sa mi kugoogle superman tu, ah wacha pages zitiririke! basi nikapata majibu, lolMkuu, umechukia kuitwa rijali? msome vizuri cacico anaweza kua na hidden message for you hapo...
sijakuharibia bana! sasa hivi kama ni nyota yako ya x-mas, kwa jinsi inavyooangaza, watakuja kama kumbikumbi kwenye taa, hata huyo Roulette ambaye unaona nimekuharibia utaona, atakuja mwenyewe! lolMkuu ananiharibia maana mimi nina ajenda ya "biashara na wewe". Hapa toka 2010 ulipotia mguu sijaelewa bado nianzie wapi afu yeye ananilipua mwenzie, japo ni sifa lakini sasa yeye alijuaje. Na wewe utanichukuliaje sasa Madame?
Watu bana wanapenda sana kuwaharibia wenzao . . . lol cacico weweeeeee
sijakuharibia bana! sasa hivi kama ni nyota yako ya x-mas, kwa jinsi inavyooangaza, watakuja kama kumbikumbi kwenye taa, hata huyo Roulette ambaye unaona nimekuharibia utaona, atakuja mwenyewe! lol
Sasa kama sijaona post ya kusisimsha niweke like hivo hivo?
usitoe hiyo like, kuna post nzuri ya kukusisimsha naandaa hapa. Promise kama utavumilia.
For you, hata ikiwa a new thread nitasubiri. hua na-enjoy sana kukusoma. Ila fanya haraka maana Kongosho kaja kwa kas kweli, just saying his/her name nimeanza kucheka
waooh! Ahsante sana mpendwa. Yaani hapa nina speed zaidi ya umeme. Post imeisha nataka niipulizie body spray ifike inanukia.
waooh! Ahsante sana mpendwa. Yaani hapa nina speed zaidi ya umeme. Post imeisha nataka niipulizie body spray ifike inanukia.
Hahahaha, haya. ila naona judgement kaweka thread nzuri kweli yenye ubunifu tele, inakumbusha ile ya PetCash. bahati mbaya hajanitaja, angepata like!