mamy cute
Senior Member
- Nov 21, 2025
- 114
- 298
naku inbox wiki ijayo nahitaj hii hudumaWe are Open
Mvua zimeshaisha unaweza kuja kufurahi wewe na family yako
naku inbox wiki ijayo nahitaj hii hudumaWe are Open
Mvua zimeshaisha unaweza kuja kufurahi wewe na family yako
Bado bei ni hizi hizi?Kwa upande wa Malazi guest nzuri kwa huku bei yake ni 35k
Usafiri wa kuja Zanzibar kwa boat ni 30k kwa economy class na 65k kwa Business class na 150k kwa VIP class
Kwa usafiri wa ndege kutoka dar kuja Zenji ni 150k
Ukitaka hotel bei ya chini ni 50k inshort bei za malazi hazitofautiani sana na huko bara
Kwa upande wa chakula inategemea na ww ulaji wako ila kwa Zanzibar vyakula ni bei kidogo kulinganisha na bara bcz vyakula ni imported from Bara
Mfano kwa safari ya Nungwi from town usually ni 80k pia maelewano yapo
Ukichanganua hizo gharama hapo utaweza kujua kua unaweza kujipanga kwa kiasi gani na safari ya Zanzibar
Una kitambulisho cha Mzanzibar Mkaazi?Nawasalimu wakubwa na wadogo zangu
Mimi ni kijana wa kitanzania Mzalendo ambae napenda kujishughulisha na kupata rizki ya halali
Kwa Ambae anatamani kuja Kutembea Zanzibar ila anapata shida mbalimbali naomba wasiliana nami utatembezwa Zanzibar kwa bei nafuu sana mm ni mwenyeji wa Zanzibar na Bara pia nimeshakaa kwaio hua nawaona watu wanavohangaika wakitaka kuja Kutembea Zanzibar
Gari zipo mbili zenye uwezo wa kubeba watu 8 kwaio hata kama una familia hakuna shida yoyote mtatembezwa sehemu nyingi tu
Pia najua Jamii forum ni sehemu ya privacy kwaio hilo nalo pia linazingatiwa sana
Ni mtu makini na muaminifu sana hata kama utaleta familia ww uendelee na kazi zako hakika familia itafurahi tu
Kwa Ambae anahitaji mawasiliano PM nitampa
Jitahidi kuweka picha ulizopiga mwenyewe ndio utavutia watu zaidi!Karibuni ndugu zangu
Hii ni hoteli mpya kabisaaaa njoo ufurahie vacation yako