Natoa huduma za Tour Guide Zanzibar

Natoa huduma za Tour Guide Zanzibar

Jitahidi kuweka picha ulizopiga mwenyewe ndio utavutia watu zaidi!
Ila kwa sisi Madereva sio rahisi kuranda humo mahotelini na kupiga picha uzitakazo kwaio sehemu utakazopata ndo izo izo
 
Nakuja PM kijana. Mwezi wa 10 nataka kuja Zanzibar.

Nitatokea Dar, nitakaa nights 2, na days 3 nitataka kuzunguka sana hapo Zanzibar, ila budget isiwe kubwa.

Kwa manufaa ya wengine utaweza nipangia route na estimated budget?

Au nije PM?
Ulienda?
 
Mimi nataka kwenda forodhani, Zenji nafata misosi tuu
 
Mimi nataka kwenda forodhani, Zenji nafata misosi tuu
Nitakupeleka sehemu zaidi ya forodhani kwa chakula chake kilivo kitamu uhakika utaenjoy halafu unaweza kufundishwa kupika apo apo
 
Kipindi hiki utalii umeshamiri Zbr njoo tufurahie likizo hii
 
Karibuni ndugu Zangu

Nisapotini kijana wenu

0710198452 WhatsApp or normal call
 
Karibuni Zanzibar muje kupumzisha Akili na Mwili

Zanzibar ni njema atakae aje
 
Ndugu mimi natoa huduma mambo ya mzenji au mbara ya nini sasa?

Karibuni Zenji
Jibu swali wewe ni mzenj au mbara? Utoaji wako huduma tunataka kujua tutahudumiwa na mtu wa aina gani. Ndio utaratibu ulivyo popote Duniani lazima ujitambulishe jinsia yako kama ni Ke Me au Shoga, Umri wako, Taifa, Kabila/Asili yako, Height yako, Rangi yako nk...
 
Jibu swali wewe ni mzenj au mbara? Utoaji wako huduma tunataka kujua tutahudumiwa na mtu wa aina gani. Ndio utaratibu ulivyo popote Duniani lazima ujitambulishe jinsia yako kama ni Ke Me au Shoga, Umri wako, Taifa, Kabila/Asili yako, Height yako, Rangi yako nk...
Nitajie kampuni moja tu yenye utaratibu huo duniani labda ni mgeni wa dunia
 
Back
Top Bottom