Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,020
- 691
Wakubwa inawezekana msinilewe lakini nimefikia hatua hii kutokana na kuona huyu mama/baba anayeongoza kwa kupost picha,hoja za ngono humu JF kwa kisingizio cha jukwaa la kikubwa.
Huyu jamaa sijui anafanya kazi gani,anapost hizo hoja zake akitegemea matokeo gani,anafumndisha nini jamii,naona moderator wa JF 'wanakula naye' kwani hawataki kumbpiga ban moja kwa moja
sasa naitisha rasmi maandamano na mgomo kwa member wote wa jf.
Utartibu wa mgomo huo na maandamano utaanza rasmi baada ya maoni yenu kutolewa hapa hapa.
Tutatumia hata FB,TT,YT iwapo JF itashindwa kuhakikisha Maria Roza anafungiwa
ebu tazama post zake za karibu ni.Gonga hapa
nawasilisha.
Huyu jamaa sijui anafanya kazi gani,anapost hizo hoja zake akitegemea matokeo gani,anafumndisha nini jamii,naona moderator wa JF 'wanakula naye' kwani hawataki kumbpiga ban moja kwa moja
sasa naitisha rasmi maandamano na mgomo kwa member wote wa jf.
Utartibu wa mgomo huo na maandamano utaanza rasmi baada ya maoni yenu kutolewa hapa hapa.
Tutatumia hata FB,TT,YT iwapo JF itashindwa kuhakikisha Maria Roza anafungiwa
ebu tazama post zake za karibu ni.Gonga hapa
nawasilisha.