Mchumia Rungu
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 1,434
- 821
jamani
kama kuna anayejua dawa za kuweza kuniondolea kuona wachawi hasa usiku
anisaidie nateseka sana,maana kila siku naweza kuona wachawi 3-5 na mashart yake nikuwa nisiwasemeshe wala nisiwafanye chochote, mwenye kujua anipm tuwasliane zaidi.
Hayo ni mavuno ya ulichopanda. Dawa ni kurudi kwa aliyekupa dawa hizo, ataziondoa tu.