Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,424
- 20,462
hebu wapige picha utuonyeshe! au watastuka!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda pale kwa mama lwakatare milima wa moto dawa ipo tena ya milele
Kumbe we Chibolo uko huku?, Chikuma anakutafuta
Hivi kwanini binadamu wengine mnapenda chokochoko?
Hivi ukiheshimu imani ya mwenzio utapungukiwa kitu gani?
Sometimes natamani kama binadamu wote tungekua mapagani tu labda machafuko na vita vya kidini visivyo na nyuma wala mbele visingekuwepo.
Nitumie namba yako PM tuongee
jamani
kama kuna anayejua dawa za kuweza kuniondolea kuona wachawi hasa usiku
anisaidie nateseka sana,maana kila siku naweza kuona wachawi 3-5 na mashart yake nikuwa nisiwasemeshe wala nisiwafanye chochote, mwenye kujua anipm tuwasliane zaidi.
jamani
kama kuna anayejua dawa za kuweza kuniondolea kuona wachawi hasa usiku
anisaidie nateseka sana,maana kila siku naweza kuona wachawi 3-5 na mashart yake nikuwa nisiwasemeshe wala nisiwafanye chochote, mwenye kujua anipm tuwasliane zaidi.
jamani
kama kuna anayejua dawa za kuweza kuniondolea kuona wachawi hasa usiku
anisaidie nateseka sana,maana kila siku naweza kuona wachawi 3-5 na mashart yake nikuwa nisiwasemeshe wala nisiwafanye chochote, mwenye kujua anipm tuwasliane zaidi.
jamani
kama kuna anayejua dawa za kuweza kuniondolea kuona wachawi hasa usiku
anisaidie nateseka sana,maana kila siku naweza kuona wachawi 3-5 na mashart yake nikuwa nisiwasemeshe wala nisiwafanye chochote, mwenye kujua anipm tuwasliane zaidi.
Mchawi mkubwa wewe!! Ulipoenda kutafuta hiyo midawa ya kishetani hukujua kuwa iko siku itakugeuka?tangu lini shetani akawa na urafiki wa kudumu na binaadamu?? Umia mwenyewe,uliyataka mwenyewe,uliishawahi kusikia kuhusu Yesu kristo kabla ya kuamua kumiliki majini hayo?