hivi kwani jina la "mtume mohammad" halitoi mapepo, nauliza tu :A S 576:
jamani
kama kuna anayejua dawa za kuweza kuniondolea kuona wachawi hasa usiku
anisaidie nateseka sana,maana kila siku naweza kuona wachawi 3-5 na mashart yake nikuwa nisiwasemeshe wala nisiwafanye chochote, mwenye kujua anipm tuwasliane zaidi.
Pole sana ndugu yangu , tatizo la kuona 'vitu ambavyo haviko' ni dalili mojawapo ya ugonjwa wa akili. Nina kushauri uende hosipitali yoyote ya mkoa ambako kuna kitengo cha wagonwa wa akili ili wakupe msaada .
jamani
kama kuna anayejua dawa za kuweza kuniondolea kuona wachawi hasa usiku
anisaidie nateseka sana,maana kila siku naweza kuona wachawi 3-5 na mashart yake nikuwa nisiwasemeshe wala nisiwafanye chochote, mwenye kujua anipm tuwasliane zaidi.
Kama unawaona kuna shida gani wakati uliomba mwenyewe?jamani
kama kuna anayejua dawa za kuweza kuniondolea kuona wachawi hasa usiku
anisaidie nateseka sana,maana kila siku naweza kuona wachawi 3-5 na mashart yake nikuwa nisiwasemeshe wala nisiwafanye chochote, mwenye kujua anipm tuwasliane zaidi.
Tanguu lini pepo akamtoa pepo?
acha kukashifu imani za watu wengine..kama unaona imani yako ni bora kuliko za wengine piga kimya