Technology
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 769
- 284
vipi mimi uliniona jana???? nilikua nimevaaje??
jamani
kama kuna anayejua dawa za kuweza kuniondolea kuona wachawi hasa usiku
anisaidie nateseka sana,maana kila siku naweza kuona wachawi 3-5 na mashart yake nikuwa nisiwasemeshe wala nisiwafanye chochote, mwenye kujua anipm tuwasliane zaidi.