Natembea na mke wa mjeshi

Natembea na mke wa mjeshi

Kwanza is Amir ya Sita Bali ni Amir ya sabaH! ila wacha uzimzi an wake za Watusi. oa wa iwaki halfu jamaa wamgegedue Kama utakuja kuuliza Ushuaia hapa!!!
 
Wala usiogope endeleeni tu,mjeshi siku akijua mtakua marafiki na anaweza akakuunganisha na wewe uwe mjesh kama unataka.
 
Kwanza is Amir ya Sita Bali ni Amir ya sabaH! ila wacha uzimzi an wake za Watusi. oa wa iwaki halfu jamaa wamgegedue Kama utakuja kuuliza Ushuaia hapa!!!

Hata mimi namshangaa! hiyo amri ya sita imeandikwa ktk kitabu gani.
 
bado unajiuliza?

hawa watu hawashauriki.. ngoja yakukute ya ufoo saro! no discussion!

yani nitoke zangu kongo huko halafu nikute fa.la mmoja anabanjuka na waif?

qudadeki nakaa na wewe mwezi mzima, kiungo kimoja baada ya kingine.. you will tell!

We muache tu anachezea mke ya mura,
 
Kaka kwani ukumbuki hile ya 2012 mkoan kagera mwanajeshi alimfumania mke wake siku iyo alikuwa lindo alichokifanya alichukua hile silaa ya lindo akampiga mke wake risasi pamoja na jamaa kisha akaifuta familia ya jamaa bahati mbaya akamkuta mtoto mke wake hakuepo.kapiga mtoto risasi pamoja na bibi yake kisha kajimalizia mwenyewe




Pole Kijana endelea kula laha

Huyo afande alikuwa kabila gani?
 
we haya tu, ila si unajua uchungu wa mtu kuliwa vyake. yaani sipati picha huyo mjeda akija kugundua hiyo ishu, sijui atakuhukumu kwa kipimo kipi mkuu
 
Is like ur playing music to davel himself jiandae wewe mwenyewe kutembea na mjeshi sasa.
 
Mke wa mwanajeshi?

Ngoja muda ufike, utakuwa sample tu! Tuakuzika kwa msaada wa halmashauri
 
Back
Top Bottom