Hawa jamaa wana ushirikiano kwenye ishu za kugawa kipondo.
Ila siku hizi wamekuja na mbinu mpya kwa ishu kama hizo baada ya jina lao kuchafuka sana....
Kuna jamaa alikula mke wa mjeda.......mjeda akashtuka.....alichofanya mjeda ni kuongea na wenzake na wakawa wanapeana zamu wajeda watatu ya kukaa mbele ya mlango wa jamaa....kama mita kadhaa hivi....basi jamaa akitaka kutoka tu wanasogea mlangoni...jamaa anarudi ndani....
Baada ya mwezi mmoja jamaa akakutwa ndani amekufa kwa njaa na msongo wa mawazo.
umenichekesha wewe! jamn mwenzio bado anapumua hata ICU hajafika.
Wana Jamvi ninasueni, Mke wa Mjeshi amenizima ghafla nikashawishika tukavunja amri ya sita. Sasa mazoea yamekuwa kawaida, hivi majuzi alinitamkia kuwa anataka azae na mimi. Sasa wanandugu Mjeshi akijua mali yake inaibiwa atanipiga Risasi. Nisaidieni nitauawa.
Wana Jamvi ninasueni, Mke wa Mjeshi amenizima ghafla nikashawishika tukavunja amri ya sita. Sasa mazoea yamekuwa kawaida, hivi majuzi alinitamkia kuwa anataka azae na mimi. Sasa wanandugu Mjeshi akijua mali yake inaibiwa atanipiga Risasi. Nisaidieni nitauawa.