Natembea na mke wa mjeshi

Natembea na mke wa mjeshi

Mpilipili

Member
Joined
Nov 17, 2011
Posts
28
Reaction score
12
Wana Jamvi ninasueni, Mke wa Mjeshi amenizima ghafla nikashawishika tukavunja amri ya sita. Sasa mazoea yamekuwa kawaida, hivi majuzi alinitamkia kuwa anataka azae na mimi. Sasa wanandugu Mjeshi akijua mali yake inaibiwa atanipiga Risasi. Nisaidieni nitauawa.
 
Jiandae kifo au kuliwa 0655.

Wana Jamvi ninasueni, Mke wa Mjeshi amenizima ghafla nikashawishika tukavunja amri ya sita. Sasa mazoea yamekuwa kawaida, hivi majuzi alinitamkia kuwa anataka azae na mimi. Sasa wanandugu Mjeshi akijua mali yake inaibiwa atanipiga Risasi. Nisaidieni nitauawa.
 
Unatafuta kung'olewa macho hivi hivi unajiona!
 
Wana Jamvi ninasueni, Mke wa Mjeshi amenizima ghafla nikashawishika tukavunja amri ya sita. Sasa mazoea yamekuwa kawaida, hivi majuzi alinitamkia kuwa anataka azae na mimi. Sasa wanandugu Mjeshi akijua mali yake inaibiwa atanipiga Risasi. Nisaidieni nitauawa.

hahahahaha! dah pole,usione nimecheka nakuonea huruma,tena omba sana asiwe wa kule tarime tata mura!!,atakubakuwa.
 
^^
Ukitaka kujinasua.. Hama ulipo bila taarifa, vinginevyo kula tu asali ukubali litakalotokea
^^
 
Mpilipili wala usitishike weeeee kula tu eeeeeh jeshi ni gwanda tu alizovaa sawa kuwa na amani kama huamini pangeni mkutano na ile oparasheni ya shigongo
 
Last edited by a moderator:
We kula tu usiwe na hofu ila siku ukiliwa kabang utupe mrejesho maana wanajeshi wana mtandao mpana
 
Wana Jamvi ninasueni, Mke wa Mjeshi amenizima ghafla nikashawishika tukavunja amri ya sita. Sasa mazoea yamekuwa kawaida, hivi majuzi alinitamkia kuwa anataka azae na mimi. Sasa wanandugu Mjeshi akijua mali yake inaibiwa atanipiga Risasi. Nisaidieni nitauawa.

Moment of silence please for a dead person! 🙁🙁🙁🙁🙁
 
Wana Jamvi ninasueni, Mke wa Mjeshi amenizima ghafla nikashawishika tukavunja amri ya sita. Sasa mazoea yamekuwa kawaida, hivi majuzi alinitamkia kuwa anataka azae na mimi. Sasa wanandugu Mjeshi akijua mali yake inaibiwa atanipiga Risasi. Nisaidieni nitauawa.
Ukisha kufa RIP
 
Kwanza muulize huyo mummy, Je mjeshi mwenyewe ni mjeshi au ana Mkanda tu. Yawezekana ni mjeshi mwenye kuhitaji msaada maana kama naye mummy kaomba msaada wa mbegu kwako huoni mjeshi ana tatizo?
Kama ana tatizo, amua muuzie mbegu tu kwani weye si umeweka kibao cha kuuza Pembejeo? Wapuuzi ni wengi ila weye umewazidia.
Mke wa ntu sumu wala si suna
 
Jiandae kupgwa nua kuroll kucraw kutengeneza reli push up mapenz ya nyoka uchura n.k
 
Endelea tu mbona poa tu. Ila usisahau kuja kutupa matokeo.
 
Dah masikini huyo mke wa mjeshi hata hakupendi, anakutafutia matatizo makubwa sana.
Jiweke pembeni, mumewe akijua utafanywa asusa wewe shauri yako.
 
Back
Top Bottom