X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 9,692
- 12,290
Ndugu wanajamvi nategemea kwenda Shinyanga nikitokea Dar es salaam kwa Piki piki boxer cc125 mwenye uzoefu itakuwa vyema ukanisaidia.
Nataka kujua mafuta naweza kutumia kiasi gani. Je, nijiandae kwa changamoto gani barabarani pikipiki hii ninayotaka kuitumia ni mpya. na nina tegea kwenda na kurudi....
.mrejesho,
Nilibadili safari nikaenda Tanga, muda huu saa 11:30 nipo Mkata. Nilitoka dar es salaam saa 7:30 asubuhi nilikuwa naendesha speed 70 Hadi 80 kwakweli tunaogopa TU.
Ila Kwa boxa IPO vizuri sana barabarani imetulia japo ukizidi speed 90 inayumba nadhani ni kutokana na kuwa sikuwa nimebeba mzigo.
Usafiri wa piki piki ni hatari sana kwani Kuna baadhi ya madereva awazingatii sana Sheria za barabarani.
Nilinusurika kugongwa nikasukumiwa Kando ya barabara baada ya dereva kuovatake bila kujali kuwa nilikuwa mwendo Kasi nakuja Kwa mbele yake...nisingetoka nje ya barabara ninge gongana uso Kwa uso na gari iliyokuwa inaovertake.😭😭😭
Ila Kwa ufupi ukiacha uchovu kidogo barabara haipo busy. Hivyo haikuwa hatarishi sana. Mliokuwa mnaogopa kusafiria pikipiki ndugu zangu msiogope PIKI piki ni usafiri mzuri TU na WA haraka sana.
Hapa nilikuwa nimefika chalinze, ubao wa speedometer ikawa unasoma kama picha inavyooneka. Nilikuwa natembea sehemu inayo ruhusu nilikuwa nafika Hadi speed 95 kama picha invyoonesha
nilienda na nikarudi zaidi nilidondosha tu number plates ila siku haribikiwa wala kuishiwa mafuta🤣🤣🤣🤣
Nataka kujua mafuta naweza kutumia kiasi gani. Je, nijiandae kwa changamoto gani barabarani pikipiki hii ninayotaka kuitumia ni mpya. na nina tegea kwenda na kurudi....
Nilibadili safari nikaenda Tanga, muda huu saa 11:30 nipo Mkata. Nilitoka dar es salaam saa 7:30 asubuhi nilikuwa naendesha speed 70 Hadi 80 kwakweli tunaogopa TU.
Ila Kwa boxa IPO vizuri sana barabarani imetulia japo ukizidi speed 90 inayumba nadhani ni kutokana na kuwa sikuwa nimebeba mzigo.
Usafiri wa piki piki ni hatari sana kwani Kuna baadhi ya madereva awazingatii sana Sheria za barabarani.
Nilinusurika kugongwa nikasukumiwa Kando ya barabara baada ya dereva kuovatake bila kujali kuwa nilikuwa mwendo Kasi nakuja Kwa mbele yake...nisingetoka nje ya barabara ninge gongana uso Kwa uso na gari iliyokuwa inaovertake.😭😭😭
Ila Kwa ufupi ukiacha uchovu kidogo barabara haipo busy. Hivyo haikuwa hatarishi sana. Mliokuwa mnaogopa kusafiria pikipiki ndugu zangu msiogope PIKI piki ni usafiri mzuri TU na WA haraka sana.
Hapa nilikuwa nimefika chalinze, ubao wa speedometer ikawa unasoma kama picha inavyooneka. Nilikuwa natembea sehemu inayo ruhusu nilikuwa nafika Hadi speed 95 kama picha invyoonesha
nilienda na nikarudi zaidi nilidondosha tu number plates ila siku haribikiwa wala kuishiwa mafuta🤣🤣🤣🤣