Nategemea kuvuta fiber internet ya TTCL

Nategemea kuvuta fiber internet ya TTCL

Holly Star

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2018
Posts
4,327
Reaction score
8,184
Waheshimiwa 43+ heshima kwenu, wadogo chini ya 40 mnisalimie
Aisee kama uzi unavyosema nategemea kuingiza fiber ya TTCL na 20mbps shared. Professionally ni mtu wa IT
Mbali na kuiunga kwenye tv na social media nataka niitumie kujiingizia kipato
Bado nawaza nitaifanyia nini cha faida
Kuna utube chanel, ticktock
Kama kuna mwenye wazo tujuzane
 
Kwanza una hakika eneo lako huduma hiyo inapatikana?

Niliwahi request Copper ila kwa eneo langu kulikuwa na ubovu wa miundombinu kiasi zile nyaya zilikuwa na leakage ambayo inasababisha internet kuwa sio ya uhakika

Juzi wamenitafuta wakisema saizi wamerahisisha huduma ya fiber sio ya gharama tena wakaniambia nikiweza kushawishi watu kumi eneo langu watakuja kufanya installation free

Nikiakumbuka kuna uzi mmoja wa kuhusu serikali kuja na bajeti ya kurahisisha huduma ya internet nikawaza huwenda hiyo project imeanza rasmi lakini tangu waniahidi wanakuja zimepita siku nyingi.
Chief-Mkwawa
 
Waheshimiwa 43+ heshima kwenu, wadogo chini ya 40 mnisalimie
Aisee kama uzi unavyosema nategemea kuingiza fiber ya ttcl na 20mbps shared. Prifessionally ni mtu wa IT
Mbali na kuiunga kwenye tv na social media nataka niitumie kujiingizia kipato
Bado nawaza nitaifanyia nini cha faida
Kuna utube chanel, ticktock
Kama kuna mwenye wazo tujuzane
Hapo si utaitaji leseni utakuwa kama MVNO
 
Hicho kitu kinaitaji mpango madhubuti sana labda ufanye for leisure tu kwa sababu inaitaji vibali na uendeshaji wa uhakika uwe MVNO au ISP au kusambaza kwa no ya watumiaji
 
Bro Heshima yako. TTcl wanalipaje kwa mwezi?
20220725_201119.jpg
na
20220725_201045.jpg
 
Waheshimiwa 43+ heshima kwenu, wadogo chini ya 40 mnisalimie
Aisee kama uzi unavyosema nategemea kuingiza fiber ya ttcl na 20mbps shared. Prifessionally ni mtu wa IT
Mbali na kuiunga kwenye tv na social media nataka niitumie kujiingizia kipato
Bado nawaza nitaifanyia nini cha faida
Kuna utube chanel, ticktock
Kama kuna mwenye wazo tujuzane
Kama upo eneo lilichongamka hawa vijana wa movies pia ni fursa.
 
Kwanza una hakika eneo lako huduma hiyo inapatikana?

Niliwahi request Copper ila kwa eneo langu kulikuwa na ubovu wa miundombinu kiasi zile nyaya zilikuwa na leakage ambayo inasababisha internet kuwa sio ya uhakika

Juzi wamenitafuta wakisema saizi wamerahisisha huduma ya fiber sio ya gharama tena wakaniambia nikiweza kushawishi watu kumi eneo langu watakuja kufanya installation free

Nikiakumbuka kuna uzi mmoja wa kuhusu serikali kuja na bajeti ya kurahisisha huduma ya internet nikawaza huwenda hiyo project imeanza rasmi lakini tangu waniahidi wanakuja zimepita siku nyingi.
Chief-Mkwawa
Wanasambaza miji yote nchi nzima, mimi waliniambia hadi sept itakuwa tayari.
 
Kwanza una hakika eneo lako huduma hiyo inapatikana?

Niliwahi request Copper ila kwa eneo langu kulikuwa na ubovu wa miundombinu kiasi zile nyaya zilikuwa na leakage ambayo inasababisha internet kuwa sio ya uhakika

Juzi wamenitafuta wakisema saizi wamerahisisha huduma ya fiber sio ya gharama tena wakaniambia nikiweza kushawishi watu kumi eneo langu watakuja kufanya installation free

Nikiakumbuka kuna uzi mmoja wa kuhusu serikali kuja na bajeti ya kurahisisha huduma ya internet nikawaza huwenda hiyo project imeanza rasmi lakini tangu waniahidi wanakuja zimepita siku nyingi.
Chief-Mkwawa
Mimi kama wewe nliomba copper wakaniambia eneo langu halina miundombinu juzi wamnipigia pia
 
Asante nakwa kutumia njia ya dial up,DSL connection, cable Internet, wireless network, satellite connection na fiber optic ipi ambayo haina complication na rahisi ku succeed kama MVNO Tanzania
Kwa order ya uzuri
-Fiber
-mitandao ya Simu
-Adsl
-Satelite.

Uhuru one kuna kipindi walikuwa ni Mvno wa Tigo mjini, ila siku hizi kama siwaoni sidhani kama wapo hai. Kibongo bongo sidhani kama ina make sense kununua GB mitandao ya simu na kuziuza, itakua ngumu kujitofautisha na huna Budget ya kufanya matangazo kushindana na hayo ma giant.

Ila Mvno wa Fiber naona kama ina make sense zaidi, hasa maeneo ya uswazi ambapo uhakika Fiber haitafika, mfano Kinondoni mkwajuni ile mpaka mwananyamala kisiwani, Mkwajuni imepangika ina maana soon pale kutasambaa Fiber, ila ukishuka Bondeni Kisiwani kule ni Bonge la uswazi hadi Tandale huko, wale Fiber wataisikia tu,

Sababu eneo ni Bondeni unatafuta tu vilima unafunga router zako za maana una supply wifi bonde zima, unapimia vifurushi vya siku, wiki etc.
 
Kwa order ya uzuri
-Fiber
-mitandao ya Simu
-Adsl
-Satelite.

Uhuru one kuna kipindi walikuwa ni Mvno wa Tigo mjini, ila siku hizi kama siwaoni sidhani kama wapo hai. Kibongo bongo sidhani kama ina make sense kununua GB mitandao ya simu na kuziuza, itakua ngumu kujitofautisha na huna Budget ya kufanya matangazo kushindana na hayo ma giant.

Ila Mvno wa Fiber naona kama ina make sense zaidi, hasa maeneo ya uswazi ambapo uhakika Fiber haitafika, mfano Kinondoni mkwajuni ile mpaka mwananyamala kisiwani, Mkwajuni imepangika ina maana soon pale kutasambaa Fiber, ila ukishuka Bondeni Kisiwani kule ni Bonge la uswazi hadi Tandale huko, wale Fiber wataisikia tu,

Sababu eneo ni Bondeni unatafuta tu vilima unafunga router zako za maana una supply wifi bonde zima, unapimia vifurushi vya siku, wiki etc.
Asante mkuu na ukiwa mvno wa fiber unauziwa kwa GB au speed na bajeti nikadilie kama ngapi
 
Kwa order ya uzuri
-Fiber
-mitandao ya Simu
-Adsl
-Satelite.

Uhuru one kuna kipindi walikuwa ni Mvno wa Tigo mjini, ila siku hizi kama siwaoni sidhani kama wapo hai. Kibongo bongo sidhani kama ina make sense kununua GB mitandao ya simu na kuziuza, itakua ngumu kujitofautisha na huna Budget ya kufanya matangazo kushindana na hayo ma giant.

Ila Mvno wa Fiber naona kama ina make sense zaidi, hasa maeneo ya uswazi ambapo uhakika Fiber haitafika, mfano Kinondoni mkwajuni ile mpaka mwananyamala kisiwani, Mkwajuni imepangika ina maana soon pale kutasambaa Fiber, ila ukishuka Bondeni Kisiwani kule ni Bonge la uswazi hadi Tandale huko, wale Fiber wataisikia tu,

Sababu eneo ni Bondeni unatafuta tu vilima unafunga router zako za maana una supply wifi bonde zima, unapimia vifurushi vya siku, wiki etc.
Hivi kuna ISP aliyefika mikoani
 
Hawa jamaa nilienda ofisini kwao, Nikauliza nipate details vizuri kuhusu huduma ya Fiber. Nikajibiwa kwa mbinu za kibiashara kumvutia mteja.
Waliniambia kuna fomu watanipa nijaze then watanipigia simu waje kufanya survey then ndio watakuja kufunga, Nikawauliza hiyo process yote hadi kufungiwa inaweza kuchukua siku ngap? Wakaniambia hadi siku 7 nakuwa tayari nishafungiwa.

Niko nasubiri simu ya survey hapa , Leo ni siku ya 9 ya kazi, sikutaka kuhesabu weekend, nimeassume tu hawafanyi kazi weekend.
 

Attachments

  • IMG_1020.jpg
    IMG_1020.jpg
    631.1 KB · Views: 116
Back
Top Bottom