Nategemea kuvuta fiber internet ya TTCL

Nategemea kuvuta fiber internet ya TTCL

Nipo Tegeta Bahari zoo, nilijaza fomu mara mbili lakini sijapata mrejesho wowote. Kuna namba uliziweka hapa JF, nilizungumza nao mara moja baada ya hapo hazijapatikana tena. Naomba muongozo wako.
 
Jamaa yangu nlimwombea fiber to home, kinondoni leo mwezi wa 3 hajafungiwa, mm nliomba same product leo mwezi wa 8 sijafungiwa
 
Back
Top Bottom