Pale uliposema uwe mwehu au mjinga ndipo hapo unapoweza kutoka bila visa kwenda USA.Bila visa Mimi naweza kutoka tu Nchini.
Kwani JF ina mipaka?Bora uondoke maana unatubania nafasi hapa jf.
Umeambulia kuwa nani mkuu?Ukimfuatilia Asha Raymond. Utagundua wazazi wake walihama Jimbo Moja kwenda lingine ili mtoto wao atoboe kimziki. Mimi binafsi naamini ningezaliwa USA ni lazima ningekuwa FBI / CIA / Army Solder. Ila ndo hivyo Africa bahati Mbaya.
PoaFanya haraka uondoke, tuachie nchi yetu.
Haya bwanaKwa hiyo ukisha hamia kwa Biden si ndiyo utakuwa karibu kabisa na yule mtoto mzuri Malia Obama, au!! Halafu na jina sasa si litatambulika lile halisi la Nalimi Curtis! 🥵 Maana baba yako ni Mmarekani Mweusi bila shaka.
Au utaendelea kujiita Dj DON NALIMISON?
Hunijui.Marekani sio mpitimbi, tuliza wenge
HahahahBora uondoke maana unatubania nafasi hapa jf.
😂😂😂mwamba unafanya mpaka watu wanishangae hapa mgahawani kwakucheka..... mi nakubali saana post zakoNiliandika barua nikiwa Mahabusu 2018 Butimba gerezani ya kumuomba Rais wa Tanzania wakati huo John Magufuli ambaye sasa Yuko Motoni mwa milele (Fact spiritually). Nikimuelezea chanzo Cha Serikali kuniwekea vikwazo na mapingamizi mbalimbali ya Mimi DJ. DON NALIMISON kutofanikiwa kimaisha.
Tanzania haitaki kabisa kuona nafanikiwa Ila kutaifisha data zangu na kuzigeuza kuwa za wengine na kunikana kwa kila jema nalofanya. Ila kwenye mabaya sifa zote nabebeshwa na Tanzania. Nchi gani hii haitaki hata kuinua Muziki wangu kwenye Television za TANZANIA Nchi niliyozaliwa na kukulia. Nchi gani hii kunifunga ili nipoteze sifa za kisiasa.
Nimewaachia yote na kurudia fani yangu ya Muziki lakini hamtaki kuniinua, mtasemaje mmenipa Promotion wakati Sioni ongezeko la watazamaji(viewers) You Tube na kwingineko. Yaani mpaka kwenye Sanaa mnanionea gere.
Sihitaji kupewa Pesa Mimi Ni mtafutaji hivyo sihitaji kutafutiwa natafuta Pesa zangu mwenyewe kwa nguvu zangu.
Nitaihama TANZANIA niwe Kijana au mzee, niwe mzima au mgonjwa, niwe mwehu au mjinga. Lakini nitaondoka Tanzania Mazima ili muwe na amani Sana. Mungu awabariki kwa unyama wenu mnaonifanyia.
Ndimi DJ. DON NALIMISON.
Sat.Nov.20,2021
Huyo Kesha amua hivyo alivyoamua twende nae hivyo hivyo ni mkongwe haitaki kuamuliwa Tena.Namjua, nimsoma sana.
Anaweza kuwa na issues, lakini labda akipata muongozo anaweza kusaidikika na kusaidiwa baadaye akajisaidia mwenyewe na kuwasaidia wengine.
Anyway maoni ni bure.
Sana, jamaa mbishiMkuu una uthubutu sana wa kujaribu utafanikiwa usikate tamaa..
Sio uthubutu nikufanyiwa unyama.Mkuu una uthubutu sana wa kujaribu utafanikiwa usikate tamaa..
Huyo Kesha amua hivyo alivyoamua twende nae hivyo hivyo ni mkongwe haitaki kuamuliwa Tena.
Wake and......Nawasindikiza na track "KAYA"ya Bob Marley
Niliandika barua nikiwa Mahabusu 2018 Butimba gerezani ya kumuomba Rais wa Tanzania wakati huo John Magufuli ambaye sasa Yuko Motoni mwa milele (Fact spiritually). Nikimuelezea chanzo Cha Serikali kuniwekea vikwazo na mapingamizi mbalimbali ya Mimi DJ. DON NALIMISON kutofanikiwa kimaisha.
Tanzania haitaki kabisa kuona nafanikiwa Ila kutaifisha data zangu na kuzigeuza kuwa za wengine na kunikana kwa kila jema nalofanya. Ila kwenye mabaya sifa zote nabebeshwa na Tanzania. Nchi gani hii haitaki hata kuinua Muziki wangu kwenye Television za TANZANIA Nchi niliyozaliwa na kukulia. Nchi gani hii kunifunga ili nipoteze sifa za kisiasa.
Nimewaachia yote na kurudia fani yangu ya Muziki lakini hamtaki kuniinua, mtasemaje mmenipa Promotion wakati Sioni ongezeko la watazamaji(viewers) You Tube na kwingineko. Yaani mpaka kwenye Sanaa mnanionea gere.
Sihitaji kupewa Pesa Mimi Ni mtafutaji hivyo sihitaji kutafutiwa natafuta Pesa zangu mwenyewe kwa nguvu zangu.
Nitaihama TANZANIA niwe Kijana au mzee, niwe mzima au mgonjwa, niwe mwehu au mjinga. Lakini nitaondoka Tanzania Mazima ili muwe na amani Sana. Mungu awabariki kwa unyama wenu mnaonifanyia.
Ndimi DJ. DON NALIMISON.
Sat.Nov.20,2021
Live upWake and......