Natarajia kujivua Uraia wa Tanzania na kuhamia Marekani na kuondoka nchini Maisha

Ukimfuatilia Asha Raymond. Utagundua wazazi wake walihama Jimbo Moja kwenda lingine ili mtoto wao atoboe kimziki. Mimi binafsi naamini ningezaliwa USA ni lazima ningekuwa FBI / CIA / Army Solder. Ila ndo hivyo Africa bahati Mbaya.
Umeambulia kuwa nani mkuu?
 
Kwahiyo ndo umeamua kuvaa kama twenty per asilimia asilimaile au 20 per cent ndo msanii unaempenda?
 
Niliandika barua nikiwa Mahabusu 2018 Butimba gerezani ya kumuomba Rais wa Tanzania wakati huo John Magufuli ambaye sasa Yuko Motoni mwa milele (Fact spiritually). Nikimuelezea chanzo Cha Serikali kuniwekea vikwazo na mapingamizi mbalimbali ya Mimi DJ. DON NALIMISON kutofanikiwa kimaisha.

Tanzania haitaki kabisa kuona nafanikiwa Ila kutaifisha data zangu na kuzigeuza kuwa za wengine na kunikana kwa kila jema nalofanya. Ila kwenye mabaya sifa zote nabebeshwa na Tanzania. Nchi gani hii haitaki hata kuinua Muziki wangu kwenye Television za TANZANIA Nchi niliyozaliwa na kukulia. Nchi gani hii kunifunga ili nipoteze sifa za kisiasa.

Nimewaachia yote na kurudia fani yangu ya Muziki lakini hamtaki kuniinua, mtasemaje mmenipa Promotion wakati Sioni ongezeko la watazamaji(viewers) You Tube na kwingineko. Yaani mpaka kwenye Sanaa mnanionea gere.

Sihitaji kupewa Pesa Mimi Ni mtafutaji hivyo sihitaji kutafutiwa natafuta Pesa zangu mwenyewe kwa nguvu zangu.

Nitaihama TANZANIA niwe Kijana au mzee, niwe mzima au mgonjwa, niwe mwehu au mjinga. Lakini nitaondoka Tanzania Mazima ili muwe na amani Sana. Mungu awabariki kwa unyama wenu mnaonifanyia.

Ndimi DJ. DON NALIMISON.

Sat.Nov.20,2021

😂😂😂mwamba unafanya mpaka watu wanishangae hapa mgahawani kwakucheka..... mi nakubali saana post zako
 
Namjua, nimsoma sana.

Anaweza kuwa na issues, lakini labda akipata muongozo anaweza kusaidikika na kusaidiwa baadaye akajisaidia mwenyewe na kuwasaidia wengine.

Anyway maoni ni bure.
Huyo Kesha amua hivyo alivyoamua twende nae hivyo hivyo ni mkongwe haitaki kuamuliwa Tena.
 
Huyo Kesha amua hivyo alivyoamua twende nae hivyo hivyo ni mkongwe haitaki kuamuliwa Tena.

Wengi wako hivyo, kabla ya maini firigisi, utumbo, moyo, digestion system kisukari, ndio wanachukua tahadhari, it is kind of late, too late. Muda umepita sana.

Muhimu kuwaambia vijana, Serikali kubadilisha elimu yetu iundwe kusaidia taifa la kesho.
 
Niliandika barua nikiwa Mahabusu 2018 Butimba gerezani ya kumuomba Rais wa Tanzania wakati huo John Magufuli ambaye sasa Yuko Motoni mwa milele (Fact spiritually). Nikimuelezea chanzo Cha Serikali kuniwekea vikwazo na mapingamizi mbalimbali ya Mimi DJ. DON NALIMISON kutofanikiwa kimaisha.

Tanzania haitaki kabisa kuona nafanikiwa Ila kutaifisha data zangu na kuzigeuza kuwa za wengine na kunikana kwa kila jema nalofanya. Ila kwenye mabaya sifa zote nabebeshwa na Tanzania. Nchi gani hii haitaki hata kuinua Muziki wangu kwenye Television za TANZANIA Nchi niliyozaliwa na kukulia. Nchi gani hii kunifunga ili nipoteze sifa za kisiasa.

Nimewaachia yote na kurudia fani yangu ya Muziki lakini hamtaki kuniinua, mtasemaje mmenipa Promotion wakati Sioni ongezeko la watazamaji(viewers) You Tube na kwingineko. Yaani mpaka kwenye Sanaa mnanionea gere.

Sihitaji kupewa Pesa Mimi Ni mtafutaji hivyo sihitaji kutafutiwa natafuta Pesa zangu mwenyewe kwa nguvu zangu.

Nitaihama TANZANIA niwe Kijana au mzee, niwe mzima au mgonjwa, niwe mwehu au mjinga. Lakini nitaondoka Tanzania Mazima ili muwe na amani Sana. Mungu awabariki kwa unyama wenu mnaonifanyia.

Ndimi DJ. DON NALIMISON.

Sat.Nov.20,2021

 
Back
Top Bottom