Natarajia kujivua Uraia wa Tanzania na kuhamia Marekani na kuondoka nchini Maisha

Niliandika barua nikiwa Mahabusu 2018 Butimba gerezani ya kumuomba Rais wa Tanzania wakati huo John Magufuli ambaye sasa Yuko Motoni mwa milele (Fact spiritually). Nikimuelezea chanzo Cha Serikali kuniwekea vikwazo na mapingamizi mbalimbali ya Mimi DJ. DON NALIMISON kutofanikiwa kimaisha.

Tanzania haitaki kabisa kuona nafanikiwa Ila kutaifisha data zangu na kuzigeuza kuwa za wengine na kunikana kwa kila jema nalofanya. Ila kwenye mabaya sifa zote nabebeshwa na Tanzania. Nchi gani hii haitaki hata kuinua Muziki wangu kwenye Television za TANZANIA Nchi niliyozaliwa na kukulia. Nchi gani hii kunifunga ili nipoteze sifa za kisiasa.

Nimewaachia yote na kurudia fani yangu ya Muziki lakini hamtaki kuniinua, mtasemaje mmenipa Promotion wakati Sioni ongezeko la watazamaji(viewers) You Tube na kwingineko. Yaani mpaka kwenye Sanaa mnanionea gere.

Sihitaji kupewa Pesa Mimi Ni mtafutaji hivyo sihitaji kutafutiwa natafuta Pesa zangu mwenyewe kwa nguvu zangu.

Nitaihama TANZANIA niwe Kijana au mzee, niwe mzima au mgonjwa, niwe mwehu au mjinga. Lakini nitaondoka Tanzania Mazima ili muwe na amani Sana. Mungu awabariki kwa unyama wenu mnaonifanyia.

Ndimi DJ. DON NALIMISON.

Sat.Nov.20,2021

Kwahiyo Jiwe lililo washinda waashi sasahivi linachomwa moto? Mm Kwa uelewa wangu najua liko kwenye process ya sedimentation
 
Mbona yeye ni maarufu na mkubwa kuliko hao wote. Usimfananishe Dj DON NALIMISON na vitu vya hovyo

Pamoja na umaarufu wake itakuwa vigumu kwake kutoboa peke yake.

Mtu mwenye view 100m anaweza kukufundisha moja ama mawili, promo, mawazo, nini cha kuacha, kuweka kwenye video, ukapata contacts zake, wafuasi wake.

Karibu kila kitu ni kuhusu connection, collaboration, kushirikiana, ushirikiano.
 
Pamoja na umaarufu wake itakuwa vigumu kwake kutoboa peke yake.

Mtu mwenye view 100m anaweza kukufundisha moja ama mawili, promo, mawazo, nini cha kuacha, kuweka kwenye video, ukapata contacts zake, wafuasi wake.

Karibu kila kitu ni kuhusu connection, collaboration, kushirikiana, ushirikiano.
Hivi unajua yumo kwenye list ya maDJ bora duniani? Baada ya David Gueta, Calvin Harris,Major Lazor ndio anafuata Dj DON NALIMISON , kampita hadi DJ Snake
 
Muziki wako anzia kwanza kuburudisha kwenye bar.za wauza pombe za kienyeji kwa sasa hauna viwango vya kusikika kwenye vyombo vya habari au nenda bongo star search ujutane na salama akupe vidonge vyako
 
,😂😂😂😂 Kaka wenzio tushamzoea dj don we humjui achana nae kabisa....

Namjua, nimsoma sana.

Anaweza kuwa na issues, lakini labda akipata muongozo anaweza kusaidikika na kusaidiwa baadaye akajisaidia mwenyewe na kuwasaidia wengine.

Anyway maoni ni bure.
 
Ukimfuatilia Asha Raymond. Utagundua wazazi wake walihama Jimbo Moja kwenda lingine ili mtoto wao atoboe kimziki. Mimi binafsi naamini ningezaliwa USA ni lazima ningekuwa FBI / CIA / Army Solder. Ila ndo hivyo Africa bahati Mbaya.
Sasa sikia, km kweli ufbi upo damuni mwako eleza vizuri nikupe deal la kukupatia millions of money hapa hapa bongo kwa kutumia ufbi
 
413C1F60-7528-4C49-B137-0BFA5BC2D44D.jpeg
 
Niliandika barua nikiwa Mahabusu 2018 Butimba gerezani ya kumuomba Rais wa Tanzania wakati huo John Magufuli ambaye sasa Yuko Motoni mwa milele (Fact spiritually). Nikimuelezea chanzo Cha Serikali kuniwekea vikwazo na mapingamizi mbalimbali ya Mimi DJ. DON NALIMISON kutofanikiwa kimaisha.

Tanzania haitaki kabisa kuona nafanikiwa Ila kutaifisha data zangu na kuzigeuza kuwa za wengine na kunikana kwa kila jema nalofanya. Ila kwenye mabaya sifa zote nabebeshwa na Tanzania. Nchi gani hii haitaki hata kuinua Muziki wangu kwenye Television za TANZANIA Nchi niliyozaliwa na kukulia. Nchi gani hii kunifunga ili nipoteze sifa za kisiasa.

Nimewaachia yote na kurudia fani yangu ya Muziki lakini hamtaki kuniinua, mtasemaje mmenipa Promotion wakati Sioni ongezeko la watazamaji(viewers) You Tube na kwingineko. Yaani mpaka kwenye Sanaa mnanionea gere.

Sihitaji kupewa Pesa Mimi Ni mtafutaji hivyo sihitaji kutafutiwa natafuta Pesa zangu mwenyewe kwa nguvu zangu.

Nitaihama TANZANIA niwe Kijana au mzee, niwe mzima au mgonjwa, niwe mwehu au mjinga. Lakini nitaondoka Tanzania Mazima ili muwe na amani Sana. Mungu awabariki kwa unyama wenu mnaonifanyia.

Ndimi DJ. DON NALIMISON.

Sat.Nov.20,2021


Nimekupa "like" kwa kukuonea huruma na kwa maneno haya
"Sihitaji kupewa Pesa Mimi Ni mtafutaji hivyo sihitaji kutafutiwa natafuta Pesa zangu mwenyewe kwa nguvu zangu".
Mungu akubariki sana.
 
Niliandika barua nikiwa Mahabusu 2018 Butimba gerezani ya kumuomba Rais wa Tanzania wakati huo John Magufuli ambaye sasa Yuko Motoni mwa milele (Fact spiritually). Nikimuelezea chanzo Cha Serikali kuniwekea vikwazo na mapingamizi mbalimbali ya Mimi DJ. DON NALIMISON kutofanikiwa kimaisha.

Tanzania haitaki kabisa kuona nafanikiwa Ila kutaifisha data zangu na kuzigeuza kuwa za wengine na kunikana kwa kila jema nalofanya. Ila kwenye mabaya sifa zote nabebeshwa na Tanzania. Nchi gani hii haitaki hata kuinua Muziki wangu kwenye Television za TANZANIA Nchi niliyozaliwa na kukulia. Nchi gani hii kunifunga ili nipoteze sifa za kisiasa.

Nimewaachia yote na kurudia fani yangu ya Muziki lakini hamtaki kuniinua, mtasemaje mmenipa Promotion wakati Sioni ongezeko la watazamaji(viewers) You Tube na kwingineko. Yaani mpaka kwenye Sanaa mnanionea gere.

Sihitaji kupewa Pesa Mimi Ni mtafutaji hivyo sihitaji kutafutiwa natafuta Pesa zangu mwenyewe kwa nguvu zangu.

Nitaihama TANZANIA niwe Kijana au mzee, niwe mzima au mgonjwa, niwe mwehu au mjinga. Lakini nitaondoka Tanzania Mazima ili muwe na amani Sana. Mungu awabariki kwa unyama wenu mnaonifanyia.

Ndimi DJ. DON NALIMISON.

Sat.Nov.20,2021

Wewe ni mwanamuziki kweli! Na picha umeweka unaimba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom