maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,144
- 15,143
Mbona yeye ni maarufu na mkubwa kuliko hao wote. Usimfananishe Dj DON NALIMISON na vitu vya hovyoPiga collabo na Mwanamuziki mwenzako maarufu. Youtube insta figure zitapaa. Hata fanya umlipe.
Mbona yeye ni maarufu na mkubwa kuliko hao wote. Usimfananishe Dj DON NALIMISON na vitu vya hovyoPiga collabo na Mwanamuziki mwenzako maarufu. Youtube insta figure zitapaa. Hata fanya umlipe.
Kwahiyo Jiwe lililo washinda waashi sasahivi linachomwa moto? Mm Kwa uelewa wangu najua liko kwenye process ya sedimentationNiliandika barua nikiwa Mahabusu 2018 Butimba gerezani ya kumuomba Rais wa Tanzania wakati huo John Magufuli ambaye sasa Yuko Motoni mwa milele (Fact spiritually). Nikimuelezea chanzo Cha Serikali kuniwekea vikwazo na mapingamizi mbalimbali ya Mimi DJ. DON NALIMISON kutofanikiwa kimaisha.
Tanzania haitaki kabisa kuona nafanikiwa Ila kutaifisha data zangu na kuzigeuza kuwa za wengine na kunikana kwa kila jema nalofanya. Ila kwenye mabaya sifa zote nabebeshwa na Tanzania. Nchi gani hii haitaki hata kuinua Muziki wangu kwenye Television za TANZANIA Nchi niliyozaliwa na kukulia. Nchi gani hii kunifunga ili nipoteze sifa za kisiasa.
Nimewaachia yote na kurudia fani yangu ya Muziki lakini hamtaki kuniinua, mtasemaje mmenipa Promotion wakati Sioni ongezeko la watazamaji(viewers) You Tube na kwingineko. Yaani mpaka kwenye Sanaa mnanionea gere.
Sihitaji kupewa Pesa Mimi Ni mtafutaji hivyo sihitaji kutafutiwa natafuta Pesa zangu mwenyewe kwa nguvu zangu.
Nitaihama TANZANIA niwe Kijana au mzee, niwe mzima au mgonjwa, niwe mwehu au mjinga. Lakini nitaondoka Tanzania Mazima ili muwe na amani Sana. Mungu awabariki kwa unyama wenu mnaonifanyia.
Ndimi DJ. DON NALIMISON.
Sat.Nov.20,2021
Mbona yeye ni maarufu na mkubwa kuliko hao wote. Usimfananishe Dj DON NALIMISON na vitu vya hovyo
Hivi unajua yumo kwenye list ya maDJ bora duniani? Baada ya David Gueta, Calvin Harris,Major Lazor ndio anafuata Dj DON NALIMISON , kampita hadi DJ SnakePamoja na umaarufu wake itakuwa vigumu kwake kutoboa peke yake.
Mtu mwenye view 100m anaweza kukufundisha moja ama mawili, promo, mawazo, nini cha kuacha, kuweka kwenye video, ukapata contacts zake, wafuasi wake.
Karibu kila kitu ni kuhusu connection, collaboration, kushirikiana, ushirikiano.
Utaje kwanza kijiti cha wapi!? Maani vijiti vingine na jua hili siyo kabisa!Dj DON NALIMISON hebu kwanza tule kijiti, tumkumbuke Bob Marley
Hivi unajua yumo kwenye list ya maDJ bora duniani? Baada ya David Gueta, Calvin Harris,Major Lazor ndio anafuata Dj DON NALIMISON , kampita hadi DJ Snake
,😂😂😂😂 Kaka wenzio tushamzoea dj don we humjui achana nae kabisa....Sawa, nilijaribu kusaidia kwamba hata USA, itakuwa vigumu tena zaidi kutoboa peke yake, lazima mtu fulani akushike mkono mwanzoni.
,😂😂😂😂 Kaka wenzio tushamzoea dj don we humjui achana nae kabisa....
Huyu jamaa sijui ana akili za aina gani kwa kweliMkuu punguza hizo chuki zako kwa Tundu Lisu utapata gonjwa la moyo bure
Huyu jamaa sijui ana akili za aina gani kwa kweli
Nawasindikiza na track "KAYA"ya Bob MarleyDj DON NALIMISON hebu kwanza tule kijiti, tumkumbuke Bob Marley
Sasa sikia, km kweli ufbi upo damuni mwako eleza vizuri nikupe deal la kukupatia millions of money hapa hapa bongo kwa kutumia ufbiUkimfuatilia Asha Raymond. Utagundua wazazi wake walihama Jimbo Moja kwenda lingine ili mtoto wao atoboe kimziki. Mimi binafsi naamini ningezaliwa USA ni lazima ningekuwa FBI / CIA / Army Solder. Ila ndo hivyo Africa bahati Mbaya.
Niliandika barua nikiwa Mahabusu 2018 Butimba gerezani ya kumuomba Rais wa Tanzania wakati huo John Magufuli ambaye sasa Yuko Motoni mwa milele (Fact spiritually). Nikimuelezea chanzo Cha Serikali kuniwekea vikwazo na mapingamizi mbalimbali ya Mimi DJ. DON NALIMISON kutofanikiwa kimaisha.
Tanzania haitaki kabisa kuona nafanikiwa Ila kutaifisha data zangu na kuzigeuza kuwa za wengine na kunikana kwa kila jema nalofanya. Ila kwenye mabaya sifa zote nabebeshwa na Tanzania. Nchi gani hii haitaki hata kuinua Muziki wangu kwenye Television za TANZANIA Nchi niliyozaliwa na kukulia. Nchi gani hii kunifunga ili nipoteze sifa za kisiasa.
Nimewaachia yote na kurudia fani yangu ya Muziki lakini hamtaki kuniinua, mtasemaje mmenipa Promotion wakati Sioni ongezeko la watazamaji(viewers) You Tube na kwingineko. Yaani mpaka kwenye Sanaa mnanionea gere.
Sihitaji kupewa Pesa Mimi Ni mtafutaji hivyo sihitaji kutafutiwa natafuta Pesa zangu mwenyewe kwa nguvu zangu.
Nitaihama TANZANIA niwe Kijana au mzee, niwe mzima au mgonjwa, niwe mwehu au mjinga. Lakini nitaondoka Tanzania Mazima ili muwe na amani Sana. Mungu awabariki kwa unyama wenu mnaonifanyia.
Ndimi DJ. DON NALIMISON.
Sat.Nov.20,2021
Dj DON NALIMISON hebu kwanza tule kijiti, tumkumbuke Bob Marley
Wewe ni mwanamuziki kweli! Na picha umeweka unaimba.Niliandika barua nikiwa Mahabusu 2018 Butimba gerezani ya kumuomba Rais wa Tanzania wakati huo John Magufuli ambaye sasa Yuko Motoni mwa milele (Fact spiritually). Nikimuelezea chanzo Cha Serikali kuniwekea vikwazo na mapingamizi mbalimbali ya Mimi DJ. DON NALIMISON kutofanikiwa kimaisha.
Tanzania haitaki kabisa kuona nafanikiwa Ila kutaifisha data zangu na kuzigeuza kuwa za wengine na kunikana kwa kila jema nalofanya. Ila kwenye mabaya sifa zote nabebeshwa na Tanzania. Nchi gani hii haitaki hata kuinua Muziki wangu kwenye Television za TANZANIA Nchi niliyozaliwa na kukulia. Nchi gani hii kunifunga ili nipoteze sifa za kisiasa.
Nimewaachia yote na kurudia fani yangu ya Muziki lakini hamtaki kuniinua, mtasemaje mmenipa Promotion wakati Sioni ongezeko la watazamaji(viewers) You Tube na kwingineko. Yaani mpaka kwenye Sanaa mnanionea gere.
Sihitaji kupewa Pesa Mimi Ni mtafutaji hivyo sihitaji kutafutiwa natafuta Pesa zangu mwenyewe kwa nguvu zangu.
Nitaihama TANZANIA niwe Kijana au mzee, niwe mzima au mgonjwa, niwe mwehu au mjinga. Lakini nitaondoka Tanzania Mazima ili muwe na amani Sana. Mungu awabariki kwa unyama wenu mnaonifanyia.
Ndimi DJ. DON NALIMISON.
Sat.Nov.20,2021