huyu jamaa ni mzima alileta hadi uthibitisho wa vyeti humu labda kama haukuonaAkili yake siyo mbaya, kivile, ana uthubutu, anajiamini, anajaribu, ni mtekelezaji, muwazi.
Tatizo labda ni la hapa na pale kuhusu mental issue ambalo combination, ushauri, dawa,direction lita tatua.
Afrika njema tu ukiifumania mbona bata unakula ulaya tuUkimfuatilia Asha Raymond. Utagundua wazazi wake walihama Jimbo Moja kwenda lingine ili mtoto wao atoboe kimziki. Mimi binafsi naamini ningezaliwa USA ni lazima ningekuwa FBI / CIA / Army Solder. Ila ndo hivyo Africa bahati Mbaya.
DuhAfrika njema tu ukiifumania mbona bata unakula ulaya tu
Hata bwana.Hongera wahi kubeba box.Mimi TANZANIA sihami hata nyoote mkiondoka nchi imejaa utajiri KILA kona madini tele unachimbia tu bila hata vibali na pesa unapata,ukishindwa tajirika TANZANIA Shamba la bibi wapi pengine utavuna pesa.
Why?Nimeamini "bia tamu" wakuu.
nahisi kauchizi kamekuanza mkuuNiliandika barua nikiwa Mahabusu 2018 Butimba gerezani ya kumuomba Rais wa Tanzania wakati huo John Magufuli ambaye sasa Yuko Motoni mwa milele (Fact spiritually). Nikimuelezea chanzo Cha Serikali kuniwekea vikwazo na mapingamizi mbalimbali ya Mimi DJ. DON NALIMISON kutofanikiwa kimaisha.
Tanzania haitaki kabisa kuona nafanikiwa Ila kutaifisha data zangu na kuzigeuza kuwa za wengine na kunikana kwa kila jema nalofanya. Ila kwenye mabaya sifa zote nabebeshwa na Tanzania. Nchi gani hii haitaki hata kuinua Muziki wangu kwenye Television za TANZANIA Nchi niliyozaliwa na kukulia. Nchi gani hii kunifunga ili nipoteze sifa za kisiasa.
Nimewaachia yote na kurudia fani yangu ya Muziki lakini hamtaki kuniinua, mtasemaje mmenipa Promotion wakati Sioni ongezeko la watazamaji(viewers) You Tube na kwingineko. Yaani mpaka kwenye Sanaa mnanionea gere.
Sihitaji kupewa Pesa Mimi Ni mtafutaji hivyo sihitaji kutafutiwa natafuta Pesa zangu mwenyewe kwa nguvu zangu.
Nitaihama TANZANIA niwe Kijana au mzee, niwe mzima au mgonjwa, niwe mwehu au mjinga. Lakini nitaondoka Tanzania Mazima ili muwe na amani Sana. Mungu awabariki kwa unyama wenu mnaonifanyia.
Ndimi DJ. DON NALIMISON.
Sat.Nov.20,2021
Unaweza kuiweka hapa hiyo kazi yake tuisikilize wote?Hahahahaaa mkuu Don nakubali Ile kazi Yako ya Bogus Politicians
Imemekaa njema Sanaaa nilikuelewa ila wajinga wengi hawakuelewi sababu umewazidi maarifa!
Bogus Politicians Kama kina kimbunga Jobo Mzee wa Galilaya Ndio wanaotufanya kama nchi tusipige hatua!
Dah! we jamaa unazinguaNiliandika barua nikiwa Mahabusu 2018 Butimba gerezani ya kumuomba Rais wa Tanzania wakati huo John Magufuli ambaye sasa Yuko Motoni mwa milele (Fact spiritually). Nikimuelezea chanzo Cha Serikali kuniwekea vikwazo na mapingamizi mbalimbali ya Mimi DJ. DON NALIMISON kutofanikiwa kimaisha.
Tanzania haitaki kabisa kuona nafanikiwa Ila kutaifisha data zangu na kuzigeuza kuwa za wengine na kunikana kwa kila jema nalofanya. Ila kwenye mabaya sifa zote nabebeshwa na Tanzania. Nchi gani hii haitaki hata kuinua Muziki wangu kwenye Television za TANZANIA Nchi niliyozaliwa na kukulia. Nchi gani hii kunifunga ili nipoteze sifa za kisiasa.
Nimewaachia yote na kurudia fani yangu ya Muziki lakini hamtaki kuniinua, mtasemaje mmenipa Promotion wakati Sioni ongezeko la watazamaji(viewers) You Tube na kwingineko. Yaani mpaka kwenye Sanaa mnanionea gere.
Sihitaji kupewa Pesa Mimi ni mtafutaji hivyo sihitaji kutafutiwa natafuta Pesa zangu mwenyewe kwa nguvu zangu.
Nitaihama TANZANIA niwe Kijana au mzee, niwe mzima au mgonjwa, niwe mwehu au mjinga. Lakini nitaondoka Tanzania Mazima ili muwe na amani Sana. Mungu awabariki kwa unyama wenu mnaonifanyia.
Ndimi DJ. DON NALIMISON.
Sat.Nov.20,2021