Natangaza vita mpya na kila mwanamke, sitaki mahusiano tena

'hbr wana jamii forum, na poleni na majukum.

Ilikuwa jioni fulani hivi baada ya mihangaiko ya siku nzima mida kama ya saa 12 jioni. Niliamua kuchukua pikipiki ya rafiki yangu japo nipige pige vichwa kuisogeza jioni. Yaani boda boda.

Kama zali la mentali tu navuta hatua kadhaa napata mteja anaiomba nimpeleke guest. Nikamtajia pesa, wala hakugoma. Nikavuta mafuta mpaka kwenye hiyo guest (jina kapuni).

Akanilipa pesa yangu fresh tu. Ile nataka kuondoka akaniomba pia nimfuatie mrembo wake ambae walikua wamekubaliana wakutane kwenye kwenye hiyo guest.

Nikiwa nawaza leo imekuwa siku nzuri ofisini kwa kupiga vichwa viwili chap, si ndio akanitajia namba ya huyo mwanamke ninaetakiwa kumfuata.

Mungu wangu!! Mbona namba anayonitajia jina linakuja la mpenzi wangu? Binti nimpendae kinoma. Mtu ambae namgharamikia kila kitu usiku mchana.

Kiukweli sikuamini ila moyoni nikajipa imani ngoja nione huu mchezo utakapoishia .

Nikavuta mafuta hadi kwa rafiki yangu, nikamuazima simu yake nikiwa na uhakika hii namba haijui.

Baada kushusha pumzi na hasira niliyokuwa nayo, nikamtext kuwa nimaegizwa nimfuate.

Kweli akanipa ramani alipo.

Kwa kuwa nilikuwa napajua kwao, chap nilikuwa nimeshafika. Moyo hauamini, akili haiamini. Nipo pale nasubiri kuona kweli yeye ndio atatoka ndani.

Hapo nilikuwa nimejipigilia makoti kama yote. Kichwani nina helmet kubwa na kale kagiza ka saa moja usiku hakuweza kunitambua.

Na alikuwa anajua sifanyagi kazi za bodaboda. Kwahiyo ilikuwa ni ngumu sana kugundua ni mimi nipo pale.

Akiwa amependeza na kunukia, macho yangu yanashuhudia ni yeye anatoka nje kunifuata pale nilipo.

- Sitaki kuendelea na hii stori nina uchungu sana niwatakie eid njema.
Mzee baba, na wewe ungechukua chumba hapo hapo guest. Then ungempeleka hadi kwenye chumba chako ukamtafuna halafu unampigia simu yule mchizi unamwambia amfuate demu wake chumba namba flan ambapo wewe ndio upo.
 
Hizi c&p zenu kutoka facebook ndo zinasababisha watu wenye uhitaji kweli wa ushauri humu waishie kuambiwa ni chai.
Screenshot_20210512-121701.jpg
 
  • Thanks
Reactions: B51
'hbr wana jamii forum, na poleni na majukum.

Ilikuwa jioni fulani hivi baada ya mihangaiko ya siku nzima mida kama ya saa 12 jioni. Niliamua kuchukua pikipiki ya rafiki yangu japo nipige pige vichwa kuisogeza jioni. Yaani boda boda.

Kama zali la mentali tu navuta hatua kadhaa napata mteja anaiomba nimpeleke guest. Nikamtajia pesa, wala hakugoma. Nikavuta mafuta mpaka kwenye hiyo guest (jina kapuni).

Akanilipa pesa yangu fresh tu. Ile nataka kuondoka akaniomba pia nimfuatie mrembo wake ambae walikua wamekubaliana wakutane kwenye kwenye hiyo guest.

Nikiwa nawaza leo imekuwa siku nzuri ofisini kwa kupiga vichwa viwili chap, si ndio akanitajia namba ya huyo mwanamke ninaetakiwa kumfuata.

Mungu wangu!! Mbona namba anayonitajia jina linakuja la mpenzi wangu? Binti nimpendae kinoma. Mtu ambae namgharamikia kila kitu usiku mchana.

Kiukweli sikuamini ila moyoni nikajipa imani ngoja nione huu mchezo utakapoishia .

Nikavuta mafuta hadi kwa rafiki yangu, nikamuazima simu yake nikiwa na uhakika hii namba haijui.

Baada kushusha pumzi na hasira niliyokuwa nayo, nikamtext kuwa nimaegizwa nimfuate.

Kweli akanipa ramani alipo.

Kwa kuwa nilikuwa napajua kwao, chap nilikuwa nimeshafika. Moyo hauamini, akili haiamini. Nipo pale nasubiri kuona kweli yeye ndio atatoka ndani.

Hapo nilikuwa nimejipigilia makoti kama yote. Kichwani nina helmet kubwa na kale kagiza ka saa moja usiku hakuweza kunitambua.

Na alikuwa anajua sifanyagi kazi za bodaboda. Kwahiyo ilikuwa ni ngumu sana kugundua ni mimi nipo pale.

Akiwa amependeza na kunukia, macho yangu yanashuhudia ni yeye anatoka nje kunifuata pale nilipo.

- Sitaki kuendelea na hii stori nina uchungu sana niwatakie eid njema.
Hahahaha

Mkulu njoo tu uendelee nayo hao ndo walivyo ni wako tu unapokuwa naye ukiondoka cha wote
 
'hbr wana jamii forum, na poleni na majukum.

Ilikuwa jioni fulani hivi baada ya mihangaiko ya siku nzima mida kama ya saa 12 jioni. Niliamua kuchukua pikipiki ya rafiki yangu japo nipige pige vichwa kuisogeza jioni. Yaani boda boda.

Kama zali la mentali tu navuta hatua kadhaa napata mteja anaiomba nimpeleke guest. Nikamtajia pesa, wala hakugoma. Nikavuta mafuta mpaka kwenye hiyo guest (jina kapuni).

Akanilipa pesa yangu fresh tu. Ile nataka kuondoka akaniomba pia nimfuatie mrembo wake ambae walikua wamekubaliana wakutane kwenye kwenye hiyo guest.

Nikiwa nawaza leo imekuwa siku nzuri ofisini kwa kupiga vichwa viwili chap, si ndio akanitajia namba ya huyo mwanamke ninaetakiwa kumfuata.

Mungu wangu!! Mbona namba anayonitajia jina linakuja la mpenzi wangu? Binti nimpendae kinoma. Mtu ambae namgharamikia kila kitu usiku mchana.

Kiukweli sikuamini ila moyoni nikajipa imani ngoja nione huu mchezo utakapoishia .

Nikavuta mafuta hadi kwa rafiki yangu, nikamuazima simu yake nikiwa na uhakika hii namba haijui.

Baada kushusha pumzi na hasira niliyokuwa nayo, nikamtext kuwa nimaegizwa nimfuate.

Kweli akanipa ramani alipo.

Kwa kuwa nilikuwa napajua kwao, chap nilikuwa nimeshafika. Moyo hauamini, akili haiamini. Nipo pale nasubiri kuona kweli yeye ndio atatoka ndani.

Hapo nilikuwa nimejipigilia makoti kama yote. Kichwani nina helmet kubwa na kale kagiza ka saa moja usiku hakuweza kunitambua.

Na alikuwa anajua sifanyagi kazi za bodaboda. Kwahiyo ilikuwa ni ngumu sana kugundua ni mimi nipo pale.

Akiwa amependeza na kunukia, macho yangu yanashuhudia ni yeye anatoka nje kunifuata pale nilipo.

- Sitaki kuendelea na hii stori nina uchungu sana niwatakie eid njema.
Bila pich hii ni novel
 
Back
Top Bottom