mwajuma atakuwa mke wa pili bado Nina nafasi tatu zinatafta watu bado sijapataKwa habari ya mwanaume kuwa kichwa uko sahihi. Imeandikwa:
"Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa cha kila mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu" 1KOR 11:3.
Kwa habari ya kumuoa huyo dada: ndugu, wewe si ni una mke wewe????
Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
Nataka niwe mmewe! Gari tutatafta jingineGari yenyewe unayoifanya sababu ya kutupiga saundi umeiona?
Au mtanunua jipya mana niliwahi msikia akisema alikuwa nalo lile moja tu.
Wanawake wenye uthubutu wako wengi Sana! Ni Jambo jema; Na yote hayo yamepelekewa na sisi wanaume kutowatimizia mahitaji yao ipasavyo!
Huyo mama anaonekana Ni miongoni mwa wapambanaji!
Biashara Ni VITA ya kiuchumi! Hupaswi kuingia mzimamzima kizembe Utapigwa KNO moja (noki Auti) na usirudi tena uringoni.
Upambanaji hususani wa kuwa mfanyabiashara mkubwa, Kuna msukosuko mingi Sana ambayo inaonekana na isiyoonekana!
Hisia,Maono,Uvumilivu, na Kinga vyote hufanya kazi sambamba!
Huyu mama anahitaji kuwa na mme makini Ili awe KICHWA!
Ikumbukwe Mwanaume Ni kichwa Cha familia ( hayo Ni maneno kwenye maandiko)
Ukichambua maana ya kichwa; Hata Kama hakina nywele Kama wasemavyo wahenga "akili Ni nywele"
Bado kichwa kipara kinauwezo wa kupasua, kuteleza hata kupenya pembamba ili kiwili wili kipite!
kwahiyo sifa ya kichwa kuongoza Ni wajibu!
Kwa maneno yake mwenyewe yule mama alipohojiwa alisema Hana mme!
Angekuwa na mme;
Isingekuwa rahisi kabisa Ile gari ya biadhara kuikatia bima ndogo namna Ile (third party).
Wanaume tunaujinga wetu lakini katu hakuna mwanamke hata awe mme bwege angekubali kukata third party Gari la biadhara tena masafa, huyo mme wa hivyo hata Kama awepo angepewa ushauri hata vijiwe vya kahawa, maana kijiweni huwa tunanyooshana!
Kwenye biashara hususani ya usafilishaji, Ni Kama kucheza draft, lazima akili ichanganye vinginevyo unapigwa kingi mapema!
Mtazunguka sana lakini UKWELI ni kwamba yule mama anahitaji Mme!
La sivyo huko mbeleni akirudi kwenye gemu basi itabidi konda, dreva au Fundi gereji wajitolee!!!
Mnaotoa misaada endeleeni kuchangia!
Mimi najitolea kumuoa yule mama!
Maana imeandikwa Mtu mwanamke atazaa kwa uchungu, na Mtu mwanamme atakula kwa jasho!
Ukipindua haya maandiko, Ewe mwanamke ukaamua kubeba zege leo ni sawa utabeba, Lakini itabidi awepo Mwanaume wa kukutwisha kichwani Hilo zege! Na huyo anaekutwisha ndo kichwa mwenyewe!
............Asili Itabaki Asilia..........
ndo mzuri! mimi mwenyewe Mbabu!yule si ni mbibi au me ndio mshamba?
Sio Bibi...ni aged mother! 45-50yule si ni mbibi au me ndio mshamba?
Kama utajili Ni DOTS Basi wachora piko wote wangekuwa matajili; mi nataka nimsaidie!Nadhan angekuwa na mume hata hapo asingefika! .usimharibie maisha yake lol..Mambo ya kuanza kulea mwanaume yanaanzaje Tena! Yule ashachora ramani yake ndo maana Hana kuvunjwa moyo. Yaan ashaconnect dots hapo anazifatisha tu😋
Mtu unamsoma kwa njia nyingi tu! Mie sitaki kukusoma kuwa picha kuubwa akuu...haya kaendeleze "utajili"kila la heri!Kama utajili Ni DOTS Basi wachora piko wote wangekuwa matajili; mi nataka nimsaidie!
Unamzibia mwenzio asipate mme; Wakati wewe una kauzu wako mnakula maisha!Mtu unamsoma kwa njia nyingi tu! Mie sitaki kukusoma kuwa picha kuubwa akuu...haya kaendeleze "utajili"kila la heri!
Unamzibia mwenzio asipate mme; Wakati wewe una kauzu wako mnakula maisha!
Kwanini wanawake hampendani?
unataka huyo mama aendelee kuzini Hadi lini?
unafaham kuwa Mungu Ni wa Maagano, Vipi Kama huyo mama alimuahidi Mungu hatatenda dhambi akifanikiwa, na alipopata roli akazimi ndo ikawa pigo la Gari kuzama mtoni.
Akiolewa Atapata hifadhi sana
Ndo usicheze mbali😄😄Simzibii mkuu..kila la heri tualikeni kwa kula mpunga
NIna nafasi tatu zote ziko wazi! Huyu akikubali watakuwa wawili tu, nafasi mbili bado zitakuwa wazi zinangojea wake wema wengine Insha Allh!😄😄Simzibii mkuu..kila la heri tualikeni kwa kula mpunga
Labda anaenda kununulia ile gari injini maana tela tu ndio imepatikanaUnapenda kitonga