sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Usisahau kuniombea kwa wyf 2be kaz ya kucmamia ndoa!anajua ila ilikuwa sio puplicity kihivyo
Usisahau kuniombea kwa wyf 2be kaz ya kucmamia ndoa!anajua ila ilikuwa sio puplicity kihivyo
Wee si unaona hayo mambo
Mchango wangu nimpe nani kabla sijaula?
Mchango wangu nimpe nani kabla sijaula?
Best lady atakuwa Maria Roza...............................
Ulikuwa bibi harusi huna taarifa, weka bayana tuhudhurie harusi hiyo fasta.Mama yangu..........
wana jf natangaza ndoa
mwenye pingamizi aweza litoa
ndani ya saa 24 kuanzia sasa
na kama pingamizi hakuna
basi ndoa itakuwa imehalalishwa
na ujue kuwahi sio kupata
na naomba pingamizi lisiwe na jazba
kwani kaumbwa na mola
akampa urembo,utashi na hekima
kwa sababu yake siwezi hata kulala
Ila aliyetangaziwa ndoa kashtuka sasa sijui hiyo ndoa ipo au lah.Kila la heri kwa Bibi&Bwana Arusi Watarajiwa.
Asante sana Br. Finest kwa michango yako kwa wanandoa watarajiwa.
Ulikuwa bibi harusi huna taarifa, weka bayana tuhudhurie harusi hiyo fasta.
Weka wazi utafunga hiyo ndoa na nani ili tujue ili kama kuna pingamizi tuweze kutoa.
Maana tutawezaje kutoa pingamizi kwa watu tusiowajua??????????????
haya ngoja nikatafute
dawa yangu ya depression
halafu ntarudi ..
maana kwa sasa nina
Kizungu zungu na Kiafica frica..
siamini macho yangu ...mmmhhhhhh
Hivi mie naota au ni kweli naombeni mnifinye niamke kama naota..