Ahaaa ahaaa ahaaa likasu you just made my dayUtafiti unaonyesha wanaume wa kibongo tunaongoza kwa kutangaza ndoa tukishapata tunachokitaka haooo tunasepa kiaina na kashfa tele, mara oooh demu akitembea kama arudi nyuma n.k.
Utafiti unaonyesha wanaume wa kibongo tunaongoza kwa kutangaza ndoa tukishapata tunachokitaka haooo tunasepa kiaina na kashfa tele, mara oooh demu akitembea kama arudi nyuma n.k.
IVUGA unaweza kuongeza muda wa kuwasilisha pingamizi maana napitia archive yangu kuweka viambatanisho kwanini hii ndoa isifanyike ...sasa muda naona hautoshi maana i WANT TO BUILD A VERY VERY STRONG OBJECTION WITH ENOUGH supporting documents and photos...tafadhali ridhia hili...maana hatuwezi kukoseshana raha mjini hapa kirahisi hivi
Utafiti unaonyesha wanaume wa kibongo tunaongoza kwa kutangaza ndoa tukishapata tunachokitaka haooo tunasepa kiaina na kashfa tele, mara oooh demu akitembea kama arudi nyuma n.k.
heheheheh!!!!IVUGA unaweza kuongeza muda wa kuwasilisha pingamizi maana napitia archive yangu kuweka viambatanisho kwanini hii ndoa isifanyike ...sasa muda naona hautoshi maana i WANT TO BUILD A VERY VERY STRONG OBJECTION WITH ENOUGH supporting documents and photos...tafadhali ridhia hili...maana hatuwezi kukoseshana raha mjini hapa kirahisi hivi
Yalaaaaa. We kweli umeamua kuzuia hii ndoa! Iv mwenyewe kakimbia, maskin cjui ameogpa nin au ndo anasoma PM?? Iv.are you ok ma brother???
Daaaah, afadhali km bdo upo mi nlijua ushazmika kwa presha.sijakimbia niko hapa namwangalia kuyt.. presha inapanda na kushuka
hahahhahahha!!!! huyu anaweza akaja na laptop akawa anaendelea kuangalia mnyunyu na ku-updates lile jukwaa lake
koh koh koh
Pole...
Ndoa na mapingamizi yake! Tunaomba pingamizi manake masaa yanazd kusogea!Hii thread inazungumzia nini tena??? Hebu nikumbusheni please
Hii thread inazungumzia nini tena??? Hebu nikumbusheni please
lete CV ya unayemuoa tutoe ushauri.