Ishu ni vikwazo vya kisheria ambavyo vinaleta changamoto.Mkuu mbona channel za Azam umezichomoa tena?
Duuuuhhhhhhh, azam TV channels zimeondoka nimejihisi huzuni ghaflaaaIshu ni vikwazo vya kisheria ambavyo vinaleta changamoto.
Mkuu azam ni jipu,walijinasibu wanakuja kuwa wakombozi wa wanyonge lkn ni tofauti,inakaribia miezi 2 ss hawapo online,ukiwatwfuta wanakupa option ya kulipia ili uweze kuwaona live stream,ulitufanyia fair kwa sie ambao hatupo huko lkn ndio hivyo tena,ahsante sana mkuu kwa jitihada zako,japo ndio hivyo tenaIshu ni vikwazo vya kisheria ambavyo vinaleta changamoto.
Wanasema unatakiwa utumie njia ipi kulipiaMkuu azam ni jipu,walijinasibu wanakuja kuwa wakombozi wa wanyonge lkn ni tofauti,inakaribia miezi 2 ss hawapo online,ukiwatwfuta wanakupa option ya kulipia ili uweze kuwaona live stream,ulitufanyia fair kwa sie ambao hatupo huko lkn ndio hivyo tena,ahsante sana mkuu kwa jitihada zako,japo ndio hivyo tena
Visa card mkuuWanasema unatakiwa utumie njia ipi kulipia
Ok nashukuru kwa kunifahamisha hilo mkuu
Asante mkuu nitawatafutawasiliana nao kwa namba hizo![]()
Wa Blackberry usitusahau pia,nimejaribu ku download inakubali,but haifanyi kaziAhsante kwa mrejesho naomba nikuhakikishie kwamba baada ya wiki moja, (jumamosi ijayo) nitaleta kwaajili ya windows na baada ya hapo nitawatazama watumiaji wa apple
Online wanapatikana lakini ni kwa chanel mbili tu,Azam two na Azam Sport HDYaani hilo la kukosa Azam tv online limeninyima raha kabisaa, kungekuwa na uwezo wa kupata address za kuzipata ktk simu ningefurah mno. Kwa sasa wameacha online access ktk website yao ambayo tunapata kupitia pc. Halafu km sikuelewa, lile tangazo lao walilenga wenye cable..
Yah azam one haipatikani, uko sawaOnline wanapatikana lakini ni kwa chanel mbili tu,Azam two na Azam Sport HD
Hiyo ni speed ya net ulipo,wenzio iko poa tu.EPL haionyeshi chochote na hata Azam 2 wakati mechi ikiendelea haionyeshi,muda mwingi inaganda tu
Sawa mkuuHiyo ni speed ya net ulipo,wenzio iko poa tu.
Mwenyewe amesema vikwazo vya kisheria ndiyo vimefanya zisipatikaneNo Azam stations zote kuanzia Azam 1 mpaka hd nini shida?
PC haikubali , na kwanini inapeleka kwenye VLCNi kweli kwa sasa haipatikani, ila ni kwa muda tu, tunaifanyia marekebisho