Natambulisha Live Online Tv kwenu

Natambulisha Live Online Tv kwenu

Nenda ktk website yao www.mdcgate.com itakuonyesha hiyo app moja kwa moja download ...itakubali tu.
Samahani mkuu naomba nipe njia za kupita mpaka niipate hiyo application,maana nimejaribu kwenda mpaka hapo kwenye mdc app huko kwenye UCBROWSER ila nimetoka kapa kabisa.Ungenisaidia nikishafika hapo kwenye mdc app kisha niende njia ipi mpaka nifanikiwe.Natumia simu ya ANDROID
 
Samahani mkuu naomba nipe njia za kupita mpaka niipate hiyo application,maana nimejaribu kwenda mpaka hapo kwenye mdc app huko kwenye UCBROWSER ila nimetoka kapa kabisa.Ungenisaidia nikishafika hapo kwenye mdc app kisha niende njia ipi mpaka nifanikiwe.Natumia simu ya ANDROID
Sikuwa hewani, njia rahisi ingia google andika hiyo mdcgate.com, address ya kwanza itakuwa yao ingia hapo, then nenda utaona live stream player ingia hapo itakupeleka sehemu ya kupakua mzigo...endelea sasa. Tumia explorer au opera ni mzuri zaidi.
 
Mbona inagoma kwangu mkuu..inaload den inarud kweny forums..automatic..
Sent from lge flex2
 
Mkuu imekubali..aisee..salute..lkn kwenye viewer hapo..hiyo line ya pause na play inaficha picture kuonekana nzima..option ya rotate haipo mpaka nirotate device..den matangazo dah yamezidi..shughulikia hilo..nimependa aise kazi nzuri sana..congratulation
 
Nimeona skysports5 kwenye onlinetv sasa ninaomba muweke kuanzia skysports1-5 ikiwezekana hata bein sports
 
Nimeona skysports5 kwenye onlinetv sasa ninaomba muweke kuanzia skysports1-5 ikiwezekana hata bein sports
Mkuu tumeanza kushughulikia hilo utaziona nyingi tu baada ya siku chache
 
Work on the UI from scratch, man that UI is so ugly.
Anza na logo, if you can't change it at least weka alpha version, yaani ambayo haina huo weupe, ni rahisi sana, ingia photoshop futa huo weupe, save kama png and you are done.
Seems like you are using HTML5, hizo icons jaribu kuzipa good quality na ziwe consistent, at least tumia vector graphics ni rahisi sana kufanya kwa platform unayotumia.
Yaani personally kama UI haiko poa there's no way am touching that app labda kama inanirefushia maisha.
 
Work on the UI from scratch, man that UI is so ugly.
Anza na logo, if you can't change it at least weka alpha version, yaani ambayo haina huo weupe, ni rahisi sana, ingia photoshop futa huo weupe, save kama png and you are done.
Seems like you are using HTML5, hizo icons jaribu kuzipa good quality na ziwe consistent, at least tumia vector graphics ni rahisi sana kufanya kwa platform unayotumia.
Yaani personally kama UI haiko poa there's no way am touching that app labda kama inanirefushia maisha.
Ahsante kwa ushauri huo nitaufanyia kazi
 
sasa Sky sports 1,3,4 na 5 zinapatiana kwenye Online Tv app
 
Back
Top Bottom