kUMBE UNAFANYA UASHEARTI BADO UNATAKA NDOA!! Bikira huna bado wataka ndoa, hilo ombi halijaenda kokote. fanya matengenezo kwanza wewe mwenyewe. then mwambie Mungu akupe Mume!! sio MSHARATI MWENZIO HUYO.
Kweli ni mtihani dada ila kumbuka bibilia inasema msifungwe na wasio amini
Natamani kuolewa sasa jamani,,
Niishi na mume wangu,asubuhi aniamshe twende kazini jion niwahi nyumban nimpikie akija nimfungulie mlango natamani natamani sijui itakuwa tarehe ngapi kikwazo ni dini zetu MUNGU simama sasa !!aaaaaaggg
Nimewahi kusikia wasichana wakisema "awali ni awali" rudi kwa aliyekutoa bikira.
Hapana ndoa haibagua dini kama kweli wamependana.Kimbia hapo tafuta mkristo mwenzako.
Nina wasiwasi na Ukristo wako. Huwezi kuwa mkristo uliobobea kwa mujibu wa maelezo yako halafu ukadai kuwa MUNGU ni yule yule. Inaonyesha wewe ulikuwa unaenda kanisani kwa kuogopa viboko kama unavyofanya sasa hivi. Wewe olewa tu, kwani hata hivyo MUNGU unaemuabudu humfaham.Kubadili dini siyo tatizo kwangu coz naamini Mungu ni mmoja,,tatizo ni baba yangu ambaye ni mzee wa kanisa??atanikataa kabisa
Watoto watalelewa upande gani " Msifungiwe nila na wasioamini".kama ni ivyo fungeni ndoa na kila mtu na dini yake kama wazazi wako watakubali
Pole sana dada! Usidanganyike,mwombe mungu atakupa mume mwema mkristo mwenzio. Ila kama unataka ndoa za mitara kubali kuolewa huko utakako, baada ya miaka mitatu utasikia sie kuoa wake wengi suna, ko ukikubali jiandae kushare mume na wake wenzio watatu na pia jiandae kwa mengine kibao.