Kimbia hapo tafuta mkristo mwenzako.
Hawezi kubadili dini ila anasema tukafunge ndoa kwa mkuu wa mkoa tatizo sasa ni jinsi ntakavyompeleka nyumbani rasmi watampokeaje watasemaje,watanichukuliaje!
hapa umedanganya kidogoWee kaslim uhamie huko kisa uolewe tu, ila fahamu siku baba yako ama mama yako aidhaa ndugu yako akifariki huku ukristoni ulipowaacha hautoruhusiwa kuudhuria msiba wa ndugu zako waliowakristo awe mama yako ama baba yako ndio masharti ya huko unakotaka kwenda ukae ukijua!
hapa umedanganya kidogo
Mie mkristo pure tena nmelelewa katk din kabsa mwenzang muslim hapo ndo kikwazo
Tafuta wa dini yako. Bora uolewe na teja ila awe wa imani yako. Hiyo kubadili dini utakuja jutia. Ila za kuambiwa changanya na zako.
Hawezi kubadili dini ila anasema tukafunge ndoa kwa mkuu wa mkoa tatizo sasa ni jinsi ntakavyompeleka nyumbani rasmi watampokeaje watasemaje,watanichukuliaje!
Hawezi kubadili dini ila anasema tukafunge ndoa kwa mkuu wa mkoa tatizo sasa ni jinsi ntakavyompeleka nyumbani rasmi watampokeaje watasemaje,watanichukuliaje!