Display Name
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 423
- 451
"mwanamke hana dini" huu msemo una kaukweli kiasi chake..
Kwa wasio na msimamo na imani zao
HAPPY HOLLY WEEK
"mwanamke hana dini" huu msemo una kaukweli kiasi chake..
Mie mkristo pure tena nmelelewa katk din kabsa mwenzang muslim hapo ndo kikwazo
Kubadili dini siyo tatizo kwangu coz naamini Mungu ni mmoja,,tatizo ni baba yangu ambaye ni mzee wa kanisa??atanikataa kabisa
Kubadili dini siyo tatizo kwangu coz naamini Mungu ni mmoja,,tatizo ni baba yangu ambaye ni mzee wa kanisa??atanikataa kabisa
Mwambie abadili dini mfunge ndoa yenu! Au wewe ubadili umfuate yeye!
Ikishindikana basi achaneni tafuta wa dini yako
Kubadili dini siyo tatizo kwangu coz naamini Mungu ni mmoja,,tatizo ni baba yangu ambaye ni mzee wa kanisa??atanikataa kabisa
Maamuz ya mwisho n yako lkn kumbuka mapenz yanaishia hapahapa dunian sister huyo jamaa hatakutetea mbingun...na unaweza ukabidili dini kwa sababu ya mtu na bado akakutosa mbelen,hebu tafakari sana kabla hujamkana YESU afu mek sure unaijua vizur iman yako.
Natamani kuolewa sasa jamani,,
Niishi na mume wangu,asubuhi aniamshe twende kazini jion niwahi nyumban nimpikie akija nimfungulie mlango natamani natamani sijui itakuwa tarehe ngapi kikwazo ni dini zetu MUNGU simama sasa !!aaaaaaggg
Hawezi kubadili dini ila anasema tukafunge ndoa kwa mkuu wa mkoa tatizo sasa ni jinsi ntakavyompeleka nyumbani rasmi watampokeaje watasemaje,watanichukuliaje!
Kubadili dini siyo tatizo kwangu coz naamini Mungu ni mmoja,,tatizo ni baba yangu ambaye ni mzee wa kanisa??atanikataa kabisa
Mwambie abadili aje kwa Jesus Chris kama hataki tupa kule!! USIJEJIDANGANYA KUBADILI DINI KISA MAPENZI!UTALIA BIBIEMie mkristo pure tena nmelelewa katk din kabsa mwenzang muslim hapo ndo kikwazo
Kubadili dini siyo tatizo kwangu coz naamini Mungu ni mmoja,,tatizo ni baba yangu ambaye ni mzee wa kanisa??atanikataa kabisa