Natamani sasa kuolewa

Natamani sasa kuolewa

Natamani kuolewa sasa jamani,,
Niishi na mume wangu,asubuhi aniamshe twende kazini jion niwahi nyumban nimpikie akija nimfungulie mlango natamani natamani sijui itakuwa tarehe ngapi kikwazo ni dini zetu MUNGU simama sasa !!aaaaaaggg

Hahahaaa hayo unayasema tu sasahv lakn ukishaingia kweny hyo ndoa wala hutataman kuyafanya, mwanzoni aah utakuwa nabidii ngoja iishe japo miez mi3
 
kUMBE UNAFANYA UASHEARTI BADO UNATAKA NDOA!! Bikira huna bado wataka ndoa, hilo ombi halijaenda kokote. fanya matengenezo kwanza wewe mwenyewe. then mwambie Mungu akupe Mume!! sio MSHARATI MWENZIO HUYO.

alie mkamilifu na awe wa kwanza kumpiga mawe huyu dada alieleta huu uzi.Hakuna alie mkamilifu bana
 
Mie mkristo pure tena nmelelewa katk din kabsa mwenzang muslim hapo ndo kikwazo

Me pia nilipitia situation kama yako na tulipendana na huyo muislam hasa lakn alipotokea mkristo mwenzangu ckutaka kujiuliza mara mbili nikafanya decision faster nikaolewa na mkristo mwenzangu dnt settle for less my dear ukiona haviend subiri wa dini yako manake yy akijakupata muislam mwenzie akaridhika nae itakula kwako and he wont think twice to dump u
 
kUMBE UNAFANYA UASHEARTI BADO UNATAKA NDOA!! Bikira huna bado wataka ndoa, hilo ombi halijaenda kokote. fanya matengenezo kwanza wewe mwenyewe. then mwambie Mungu akupe Mume!! sio MSHARATI MWENZIO HUYO.

Airudishe bikra au? Manake umesema maombi yake hayafik popote kisa hana bikra
 
Natamani kuolewa sasa jamani,,
Niishi na mume wangu,asubuhi aniamshe twende kazini jion niwahi nyumban nimpikie akija nimfungulie mlango natamani natamani sijui itakuwa tarehe ngapi kikwazo ni dini zetu MUNGU simama sasa !!aaaaaaggg

Mimi nimeowa juzi natafuta nyumba ndogo ya uhakika,usijali mlango utafungua na siku moja moja nitakuamsha kwenda kazini.Ni pm namba yako ya simu pls! Ila ukimwi lazima tupime!
 
Usijipe moyo mama et kua MUNGU ni mmoja ndo sbb ya kubadili dini na YESU je nae vipi, kuna tofauti kubwa sana kati ya hizi dini 2 unless useme hata huo ukristo huujui vizuri

Haujui ukristo na hajatafakari manake unaposilimishwa unaambiwa umkane yesu
 
Mie mkristo pure tena nmelelewa katk din kabsa mwenzang muslim hapo ndo kikwazo

Ruuuuun! Yaani hapo its like unapishana nao wanaoelekkea kwenye ndoa. Ur walking the opposite direction!
 
dini isiwe kikwazo
kuna ya serikali pia, ila
usiache kunialika napenda
sherehe balaaa!!
 
Nawaza mengi apa,,mara naolewa mwaka mmoja anataka aoe mwngne din yake yaruhusu dini yangu nimeikana ntakuwa mgeni wa nani??

Kumbe hili unalijua, basi kaa mbali na huyo MTU . Nina wadada 4 ninaowafahmu waliamua kwenda kinyume na wazazi wao kwenye haya mambo ya dini mpaka sasa wanajutia. Hili suala la kubadili dini ni Dada zao huwa wanapata unafuu wakiolewa na wakristo kuliko wakristo wakiolewa upande wa pili. Unless uniambie umeshajiandaa kwa lolote litakalotokea.
 
Hawezi kukukataa dada, na wala wewe hutakua wa mwanzo kufanya hivi. Wapo wengi na maisha yanaendelea kama kawaida, unachotakiwa wewe ni kua na msimamo imara. Kwanini asikuelewe? Nipm nikusaidie

kwenda huko, unataka kumsilimisha dada wa watu kwa pm ili upate fedha za uarabuni, unamsaidia kupokea maruahan.
 
Si ubadili dinii na umfate huyo mumeo mwanamke hua hana dinii
 
Kubadili dini sio kitu kirahisi unavyofikiri. Simaanishi kwenda tu huko bali haya.
Kutoka Labda Uislamu kwenda upande wa pili ni Kukubali Kristo ambaye ndio Njia, Kweli na Uzima.

Mtu akitoka ukristo kwenda uislamu ni Kukana kwamba Kristo hajawahi kuja wala kufa. Na unapewa majini na pepo wa kukusaidia ambao wanaaminika si wabaya. maana inasadikika wapo wabaya na wazuri. maruhani.

Peponi kwa upande mmoja ni kuishi maisha ya sifa milele lakini upande wa wetu ahera tutapewa wanawake wazuri bikra , vileo pamoja na thawabu nyingi sana.

Ukisoma na ufahamu.

Kubadili dini siyo tatizo kwangu coz naamini Mungu ni mmoja,,tatizo ni baba yangu ambaye ni mzee wa kanisa??atanikataa kabisa
 
Kubadili dini si kitu rahisi, angekuwa mkristo...then madhehebu tofauti, hapo maamuzi wala si magumu coz mnaamini katika kitu kimoja, lakini kuikana imani yako, kutoka uislam kwenda ukristo, na vice versa....si kitu rahisi. Fikiria tena na tena, ukubali matokeo yake baadae, usije kujuta!!
 
hiyo ya "asubuhi aniamshe twende kazini" angalie asiwe yule unaamka kwenda job yeye unamwacha amelala, unarudi unakuta kalala....ndoa utaiona chungu! wa hivi ndo wengi siku hizi
 
Kubadili dini siyo tatizo kwangu coz naamini Mungu ni mmoja,,tatizo ni baba yangu ambaye ni mzee wa kanisa??atanikataa kabisa
Usijidanganye mungu si mmoja wapo wengi tu kuna watu wanaabudu ng'mbe na kumfanya mungu wao nako unaweza kwenda kwa sababu wanatumia jina la mungu? je ushajua ni mungu yupi anayeabudiwa huko?
 
hiyo ya "asubuhi aniamshe twende kazini" angalie asiwe yule unaamka kwenda job yeye unamwacha amelala, unarudi unakuta kalala....ndoa utaiona chungu! wa hivi ndo wengi siku hizi

Kweli bado una machungu!
 
Back
Top Bottom