KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,756
- 2,999
Kama Yakobo a.k.a Israel.Wanawake wa nne yeye mmoja.Wewe ni mzinzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Yakobo a.k.a Israel.Wanawake wa nne yeye mmoja.Wewe ni mzinzi.
Kwa mujibu wa biblia,gharama ya kuoa ni kiasi gani?.Jibu kwa andiko tafadhari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uache kukurupuka
Mkuu ukae ukijua kwamba ndoa au kuoana ni utamaduni wa waislam. Wanamfuata kiongizi wao mtume. Wakristo wanaoana wanamfuata nani wakat yesu hakuoa? Ndio maana wakristo wanabuni buni tuPamoja na changamoto mbali mbali za dini ya kiislamu. Baada ya kuchunguza sana nimegundua katika ndoa na mfumo wake ni Ndoa bora zaidi kuliko za Kikristo .
Kama ningeweka katika % basi Ndoa za Kiislamu ni 90% ubora na za Kikristo ni kama 40%
Kwa nini nasema hivi?
Kwanza mimi ni mkristo na nimeoa ndoa ya Kikristo.
Amani - 70% ya ndoa za kikristo hazina amani kabisa ukilinganisha na ndoa za kiislamu zenye amani 80%.
Hii ni kwa sababu ya ile consent (uhiyari wa kuishi katika ndoa).
Upendo - Upendo wa kweli ni 90% kwa waislamu, tofauti na 20% ya ndoa za kikristo (hasa kwa wanawake).
Hii ni kwa sababu ya kupenda au kutokupenda kukaa katika ndoa yenye shida , this means kwa Waislamu aliyepo kwenye ndoa ni yule anayependa kuwa hapo na kama hapendi ndoa hiyo ruksa kuondoa wakati wote. So 100% ndoa za kiislamu wapo kwenye upendo kwa sababu ya uhiyari wa kuwepo au kutokuwepo katika ndoa.
Katika kutafiti kwangu Ile kwamba Mume mmoja na mke mmoja katika ndoa za kikristo ni nadharia tu uhalisia siyo hivyo. Muda mwingi inakuwa ni kujidanganya tu.
(Nimeshuhudia si kwa watu wa kawaida tu hata kwa wachungaji 50% ya ndoa zao ni mbovu)
Nimegundua kwamba Wanaume wa Kiislamu wanatumia ule ubaba wao vibaya na ile ruhusa ya kuoa zaidi ya mke mmoja kama nyanyaso kwa wanawake wengi.
Vile vile nimegundua Wanawake wa kikristo hutumia vibaya ile "pingu za maisha" kufanya wanachotaka wakiwa na bima ya kutokuachika katika ndoa zao na hii imepelekea upendo kupoa na uvunjifu mkubwa wa amani katika ndoa za kikristo.
Kwa ndoa za Waislamu kila kitu kipo wazi watoto, mirathi, kugawana mali na nk.
Katika ndoa za kikristo kila kitu ni giza totoro hakuna utaratibu wala nini. kila kitu vululuvululu.
Mwanamke Alyepo kwenye ndoa za kiislamu ana future anajua sehemu yake na majukumu yake na hata hatma ya watoto wake(this is good).
Kwa waislamu Mume ni master.
Kwa wakristo mume ni partner.
Kwa waislamu kusolve matatizo ya ndoa ni rahisi sana kupitia kwa kadhi.
Kwa wakristo kusuluhisha matatizo ya ndoa ni ngumu sana (kwa maana jambo la hiayari, linafanywa lazima).
Ndoa za kiislamu zimedumu miaka na miaka bila kubadirika - hii ni kutokana na msingi Imara na msimamo wa dini.
Ndoa za kikristo zimebadirika sana na kupindukia. Sasa kuna ndoa za kikristo za mashoga, sasa kuna ndoa za kusagana, sasa kuna ndoa za mikataba.
Kitabu cha dini inayosimamia ndoa za kiislamu hakijabadilishwa (kinasumbuka tu na tafsiri na mafundisho) lakini Content ni ile ile ya kale na kale na hii ndiyo inaweka uimara wa ndoa.
Kitabu cha dini ya Kikristo (Biblia) kimebadishwa sana na sasa baadhi ya maandiko kutokueleweka au kuchanganya na hata mafundisho (theolojia) yake inachanganya sana huyu anafunzisha hivi na yule anafundisha hicho hicho tofauti.
Haya ndio nilivyoyaona katika ndoa hizi.
Pamoja na changamoto mbali mbali za dini ya kiislamu. Baada ya kuchunguza sana nimegundua katika ndoa na mfumo wake ni Ndoa bora zaidi kuliko za Kikristo .
Kama ningeweka katika % basi Ndoa za Kiislamu ni 90% ubora na za Kikristo ni kama 40%
Kwa nini nasema hivi?
Kwanza mimi ni mkristo na nimeoa ndoa ya Kikristo.
Amani - 70% ya ndoa za kikristo hazina amani kabisa ukilinganisha na ndoa za kiislamu zenye amani 80%.
Hii ni kwa sababu ya ile consent (uhiyari wa kuishi katika ndoa).
Upendo - Upendo wa kweli ni 90% kwa waislamu, tofauti na 20% ya ndoa za kikristo (hasa kwa wanawake).
Hii ni kwa sababu ya kupenda au kutokupenda kukaa katika ndoa yenye shida , this means kwa Waislamu aliyepo kwenye ndoa ni yule anayependa kuwa hapo na kama hapendi ndoa hiyo ruksa kuondoa wakati wote. So 100% ndoa za kiislamu wapo kwenye upendo kwa sababu ya uhiyari wa kuwepo au kutokuwepo katika ndoa.
Katika kutafiti kwangu Ile kwamba Mume mmoja na mke mmoja katika ndoa za kikristo ni nadharia tu uhalisia siyo hivyo. Muda mwingi inakuwa ni kujidanganya tu.
(Nimeshuhudia si kwa watu wa kawaida tu hata kwa wachungaji 50% ya ndoa zao ni mbovu)
Nimegundua kwamba Wanaume wa Kiislamu wanatumia ule ubaba wao vibaya na ile ruhusa ya kuoa zaidi ya mke mmoja kama nyanyaso kwa wanawake wengi.
Vile vile nimegundua Wanawake wa kikristo hutumia vibaya ile "pingu za maisha" kufanya wanachotaka wakiwa na bima ya kutokuachika katika ndoa zao na hii imepelekea upendo kupoa na uvunjifu mkubwa wa amani katika ndoa za kikristo.
Kwa ndoa za Waislamu kila kitu kipo wazi watoto, mirathi, kugawana mali na nk.
Katika ndoa za kikristo kila kitu ni giza totoro hakuna utaratibu wala nini. kila kitu vululuvululu.
Mwanamke Alyepo kwenye ndoa za kiislamu ana future anajua sehemu yake na majukumu yake na hata hatma ya watoto wake(this is good).
Kwa waislamu Mume ni master.
Kwa wakristo mume ni partner.
Kwa waislamu kusolve matatizo ya ndoa ni rahisi sana kupitia kwa kadhi.
Kwa wakristo kusuluhisha matatizo ya ndoa ni ngumu sana (kwa maana jambo la hiayari, linafanywa lazima).
Ndoa za kiislamu zimedumu miaka na miaka bila kubadirika - hii ni kutokana na msingi Imara na msimamo wa dini.
Ndoa za kikristo zimebadirika sana na kupindukia. Sasa kuna ndoa za kikristo za mashoga, sasa kuna ndoa za kusagana, sasa kuna ndoa za mikataba.
Kitabu cha dini inayosimamia ndoa za kiislamu hakijabadilishwa (kinasumbuka tu na tafsiri na mafundisho) lakini Content ni ile ile ya kale na kale na hii ndiyo inaweka uimara wa ndoa.
Kitabu cha dini ya Kikristo (Biblia) kimebadishwa sana na sasa baadhi ya maandiko kutokueleweka au kuchanganya na hata mafundisho (theolojia) yake inachanganya sana huyu anafunzisha hivi na yule anafundisha hicho hicho tofauti.
Haya ndio nilivyoyaona katika ndoa hizi.
Ndio uzuri moja wapo huo sio mtu upendo hamna basi mnaishi tu kama simba na chui’ upendo ukiisha na kutokufikia muafaka basi mnapeana talaka kila mmoja anafanya yake
Hata akiwa na vyuo20 kinachotakiwa ni uhalal tu
Nina majirani zetu huu ni mwaka wa 15 wanaishi pamoja ila kila mtu na chumba chake’ kila mtu analeta watu wake (wapenzi) Yan wanakomeshana ilihali ni mume na mke kwa ndoa takatifu
Sasa shida yote ya nn??? Ndoa za kiislamu ni nzuri bisha ubishavyo ila ukweli ndo huo
Hahaha...wewe ndio Mzushi sijui umetoka wapiZamani ipi hiyo?Maana kizazi teule na barikiwa cha Mungu kimetokana na mama wanne na mume mmoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uache kukurupuka
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Tafadhari = TafadhaliKwa mujibu wa biblia,gharama ya kuoa ni kiasi gani?.Jibu kwa andiko tafadhari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazizi = WazaziBiblia nzima haijaweka utaratibu wowote juu ya ndoa zaidi ya kuchukuana ama mvulana kupewa na wazizi msichana.Kama una bisha weka andiko linaloeleza taratibu za ndoa au kuoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wataje.Yakobo a.k.a Israel alifuata imani ipi basi? Maana watoto wake(wana wa Israel) walitokana na mama wanne.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni moja katika milioni tu.Tafadhali tuoneshe aliyepigwa mawe Oman au Saudi Arabia. Haiwezekani kuwa hizi habari umetoa kichwani mwako tu, tupe ushahidi.
Ukristo ni nini?
Duh hi kali....Hakuna mahali uislamu unasema mwanaume aoe wake wanne Ni uongo .
Ifadi ya wanawake ambao mwanaume mwislamu aweza oa Ni wengi atakavyo sababu talaka ruksa anachofanya mfano akifikisha wanne aweza wapa talaka wawili akaoa Wengine wewili hapo tayari anakuwa kafikisha sita Lakini ukimtizama anasema ninao wanne.Baadaye aweza hata wapa talaka wote wanne akaoa Wengine wanne Happ tayari anasomeka wanawake kumi kimahesabu.Ndoa za kiislamu Ni utapeli fulani hivi ambamo mwanaume karuhusiwa na kurani kuwa tapeli
Luka 20:34 Yesu akawaambia,wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa.
Hii ni moja katika milioni tu.
mbona unaenda out of topic hapa tunaongealea swala la kusema kwamba kwenye ukristo kuna ndoa za jinsia moja, ndo nataka mniambie hizo ndoa za jinsia moja kwenye ukristo ziko kwenye andiko lipi? na kanisa lipi?Biblia nzima haijaweka utaratibu wowote juu ya ndoa zaidi ya kuchukuana ama mvulana kupewa msichana.Kama unabisha weka andiko linaloeleza taratibu za ndoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sio zuzu kama wewe umetaka ushahidi wa Oman au Saudia wakipiga wazinzi nimekupa tena kutoka CNN.Usiwe poyoyo, hiyo Saudi Arabia au Oman?
Mkadanganyane na wajinga wenzenu.