Natamani sana Ndoa za dini ya Kiislamu " Its the best marriage Ever"

Pamoja na changamoto mbali mbali za dini ya kiislamu. Baada ya kuchunguza sana nimegundua katika ndoa na mfumo wake ni Ndoa bora zaidi kuliko za Kikristo .

Kama ningeweka katika % basi Ndoa za Kiislamu ni 90% ubora na za Kikristo ni kama 40%

Kwa nini nasema hivi?

Kwanza mimi ni mkristo na nimeoa ndoa ya Kikristo.

Amani - 70% ya ndoa za kikristo hazina amani kabisa ukilinganisha na ndoa za kiislamu zenye amani 80%.

Hii ni kwa sababu ya ile consent (uhiyari wa kuishi katika ndoa).

Upendo - Upendo wa kweli ni 90% kwa waislamu, tofauti na 20% ya ndoa za kikristo (hasa kwa wanawake).

Hii ni kwa sababu ya kupenda au kutokupenda kukaa katika ndoa yenye shida , this means kwa Waislamu aliyepo kwenye ndoa ni yule anayependa kuwa hapo na kama hapendi ndoa hiyo ruksa kuondoa wakati wote. So 100% ndoa za kiislamu wapo kwenye upendo kwa sababu ya uhiyari wa kuwepo au kutokuwepo katika ndoa.

Katika kutafiti kwangu Ile kwamba Mume mmoja na mke mmoja katika ndoa za kikristo ni nadharia tu uhalisia siyo hivyo. Muda mwingi inakuwa ni kujidanganya tu.

(Nimeshuhudia si kwa watu wa kawaida tu hata kwa wachungaji 50% ya ndoa zao ni mbovu)

Nimegundua kwamba Wanaume wa Kiislamu wanatumia ule ubaba wao vibaya na ile ruhusa ya kuoa zaidi ya mke mmoja kama nyanyaso kwa wanawake wengi.

Vile vile nimegundua Wanawake wa kikristo hutumia vibaya ile "pingu za maisha" kufanya wanachotaka wakiwa na bima ya kutokuachika katika ndoa zao na hii imepelekea upendo kupoa na uvunjifu mkubwa wa amani katika ndoa za kikristo.

Kwa ndoa za Waislamu kila kitu kipo wazi watoto, mirathi, kugawana mali na nk.

Katika ndoa za kikristo kila kitu ni giza totoro hakuna utaratibu wala nini. kila kitu vululuvululu.


Mwanamke Alyepo kwenye ndoa za kiislamu ana future anajua sehemu yake na majukumu yake na hata hatma ya watoto wake(this is good).

Kwa waislamu Mume ni master.

Kwa wakristo mume ni partner.

Kwa waislamu kusolve matatizo ya ndoa ni rahisi sana kupitia kwa kadhi.

Kwa wakristo kusuluhisha matatizo ya ndoa ni ngumu sana (kwa maana jambo la hiayari, linafanywa lazima).


Ndoa za kiislamu zimedumu miaka na miaka bila kubadirika - hii ni kutokana na msingi Imara na msimamo wa dini.

Ndoa za kikristo zimebadirika sana na kupindukia. Sasa kuna ndoa za kikristo za mashoga, sasa kuna ndoa za kusagana, sasa kuna ndoa za mikataba.

Kitabu cha dini inayosimamia ndoa za kiislamu hakijabadilishwa (kinasumbuka tu na tafsiri na mafundisho) lakini Content ni ile ile ya kale na kale na hii ndiyo inaweka uimara wa ndoa.

Kitabu cha dini ya Kikristo (Biblia) kimebadishwa sana na sasa baadhi ya maandiko kutokueleweka au kuchanganya na hata mafundisho (theolojia) yake inachanganya sana huyu anafunzisha hivi na yule anafundisha hicho hicho tofauti.

Haya ndio nilivyoyaona katika ndoa hizi.
Mkuu ukae ukijua kwamba ndoa au kuoana ni utamaduni wa waislam. Wanamfuata kiongizi wao mtume. Wakristo wanaoana wanamfuata nani wakat yesu hakuoa? Ndio maana wakristo wanabuni buni tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na changamoto mbali mbali za dini ya kiislamu. Baada ya kuchunguza sana nimegundua katika ndoa na mfumo wake ni Ndoa bora zaidi kuliko za Kikristo .

Kama ningeweka katika % basi Ndoa za Kiislamu ni 90% ubora na za Kikristo ni kama 40%

Kwa nini nasema hivi?

Kwanza mimi ni mkristo na nimeoa ndoa ya Kikristo.

Amani - 70% ya ndoa za kikristo hazina amani kabisa ukilinganisha na ndoa za kiislamu zenye amani 80%.

Hii ni kwa sababu ya ile consent (uhiyari wa kuishi katika ndoa).

Upendo - Upendo wa kweli ni 90% kwa waislamu, tofauti na 20% ya ndoa za kikristo (hasa kwa wanawake).

Hii ni kwa sababu ya kupenda au kutokupenda kukaa katika ndoa yenye shida , this means kwa Waislamu aliyepo kwenye ndoa ni yule anayependa kuwa hapo na kama hapendi ndoa hiyo ruksa kuondoa wakati wote. So 100% ndoa za kiislamu wapo kwenye upendo kwa sababu ya uhiyari wa kuwepo au kutokuwepo katika ndoa.

Katika kutafiti kwangu Ile kwamba Mume mmoja na mke mmoja katika ndoa za kikristo ni nadharia tu uhalisia siyo hivyo. Muda mwingi inakuwa ni kujidanganya tu.

(Nimeshuhudia si kwa watu wa kawaida tu hata kwa wachungaji 50% ya ndoa zao ni mbovu)

Nimegundua kwamba Wanaume wa Kiislamu wanatumia ule ubaba wao vibaya na ile ruhusa ya kuoa zaidi ya mke mmoja kama nyanyaso kwa wanawake wengi.

Vile vile nimegundua Wanawake wa kikristo hutumia vibaya ile "pingu za maisha" kufanya wanachotaka wakiwa na bima ya kutokuachika katika ndoa zao na hii imepelekea upendo kupoa na uvunjifu mkubwa wa amani katika ndoa za kikristo.

Kwa ndoa za Waislamu kila kitu kipo wazi watoto, mirathi, kugawana mali na nk.

Katika ndoa za kikristo kila kitu ni giza totoro hakuna utaratibu wala nini. kila kitu vululuvululu.


Mwanamke Alyepo kwenye ndoa za kiislamu ana future anajua sehemu yake na majukumu yake na hata hatma ya watoto wake(this is good).

Kwa waislamu Mume ni master.

Kwa wakristo mume ni partner.

Kwa waislamu kusolve matatizo ya ndoa ni rahisi sana kupitia kwa kadhi.

Kwa wakristo kusuluhisha matatizo ya ndoa ni ngumu sana (kwa maana jambo la hiayari, linafanywa lazima).


Ndoa za kiislamu zimedumu miaka na miaka bila kubadirika - hii ni kutokana na msingi Imara na msimamo wa dini.

Ndoa za kikristo zimebadirika sana na kupindukia. Sasa kuna ndoa za kikristo za mashoga, sasa kuna ndoa za kusagana, sasa kuna ndoa za mikataba.

Kitabu cha dini inayosimamia ndoa za kiislamu hakijabadilishwa (kinasumbuka tu na tafsiri na mafundisho) lakini Content ni ile ile ya kale na kale na hii ndiyo inaweka uimara wa ndoa.

Kitabu cha dini ya Kikristo (Biblia) kimebadishwa sana na sasa baadhi ya maandiko kutokueleweka au kuchanganya na hata mafundisho (theolojia) yake inachanganya sana huyu anafunzisha hivi na yule anafundisha hicho hicho tofauti.

Haya ndio nilivyoyaona katika ndoa hizi.

Mbona vyote ulivitaja kama vielelezo vinavyoonyesha ubora wa ndoa za kiislamu ata kwa wakristu vipo

Mfano umeongelea utayari ni wapi ndoa ya kikristu watu wanalazimishwa kuoana hujui kuwa kulazimisha kuoa au kuolewa ni impedement kwenye ndoa

Upendo ni wapi kwenye ndoa ya kikristu palipokatazwa wana ndoa wasipendane

Conclution ni hii umesema umekaa kwenye ndoa I hope hii ni experience yako ya ndoa yako umeamua ku generalize na kifupi ni kwamba yaonekana uliingia ndoani ukiwa na expectations kubwa kuwa maisha ya ndoa ni mteremko vumilia tu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ndio uzuri moja wapo huo sio mtu upendo hamna basi mnaishi tu kama simba na chui’ upendo ukiisha na kutokufikia muafaka basi mnapeana talaka kila mmoja anafanya yake
Hata akiwa na vyuo20 kinachotakiwa ni uhalal tu

Nina majirani zetu huu ni mwaka wa 15 wanaishi pamoja ila kila mtu na chumba chake’ kila mtu analeta watu wake (wapenzi) Yan wanakomeshana ilihali ni mume na mke kwa ndoa takatifu

Sasa shida yote ya nn??? Ndoa za kiislamu ni nzuri bisha ubishavyo ila ukweli ndo huo

Pendo la kweli ni la maisha yote inafikia kipindi mnachokana kihisia lakini upendo baina yenu ni lazima muhakikishe hautoweki

Talaka imekuwa sumu kwa ndoa nyingi kitu kidogo tu unajua tu apa nikuachana tu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hakuna mahali uislamu unasema mwanaume aoe wake wanne Ni uongo .

Ifadi ya wanawake ambao mwanaume mwislamu aweza oa Ni wengi atakavyo sababu talaka ruksa anachofanya mfano akifikisha wanne aweza wapa talaka wawili akaoa Wengine wewili hapo tayari anakuwa kafikisha sita Lakini ukimtizama anasema ninao wanne.Baadaye aweza hata wapa talaka wote wanne akaoa Wengine wanne Happ tayari anasomeka wanawake kumi kimahesabu.Ndoa za kiislamu Ni utapeli fulani hivi ambamo mwanaume karuhusiwa na kurani kuwa tapeli
Duh hi kali....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukristo ni kumfuata Yesu ambaye hakuoa,wewe imekuwaje uoe?.

Sent using Jamii Forums mobile app
Luka 20:34 Yesu akawaambia,wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa.

Andiko hilo kwa uwazi linataja wale wanaostahili kuoa na kuolewa kuwa ni wana wa ulimwengu huu.Hivyo ili Yesu aoe ingepasa awe na asili ya ulimwengu huu, hebu tumuulize mwenyewe kama alikuwa na asili ya ulimwengu huu au vinginevyo.

Yohana 8:23 Akawaambia, Ninyi ni wachini, mmi ni wajuu, ninyi ni wa
ulimwengu huu, mimi si wa ulimwengu huu.
kwahiyo swala la kuoa na kuolewa linahusika na wale wana wa dunia hii, hivyo kwakuwa asili ya Yesu si dunia hii hilo hakuhusika nalo zaidi sana yeye ni Mungu.

Je wana wa ulimwengu tunaruhusa maalumu ya kuoana?
Yeremia 29:6
oeni wake, mkazae wana na binti; kawaozeni wake wana wenu.
.
UMESHAMJUA KRISTO NI NANI?
 
Biblia nzima haijaweka utaratibu wowote juu ya ndoa zaidi ya kuchukuana ama mvulana kupewa msichana.Kama unabisha weka andiko linaloeleza taratibu za ndoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
mbona unaenda out of topic hapa tunaongealea swala la kusema kwamba kwenye ukristo kuna ndoa za jinsia moja, ndo nataka mniambie hizo ndoa za jinsia moja kwenye ukristo ziko kwenye andiko lipi? na kanisa lipi?
 
Back
Top Bottom