Natamani Rais Magufuli atawale hadi 2040

Natamani Rais Magufuli atawale hadi 2040

Kwa jinsi anavyoinyoosha nchi, anavyosimamia maslahi ya wanyonge, anavyopambana na rushwa, anavyorudisha nidhamu ya utumishi wa umma ni wakati muafaka sasa kusimama naye kama Taifa na kumpa fursa pana ili amalizie ichokianza. Tumkosoe kwa hoja na sio vioja ili kumjenga (constructive critism) badala ya kuropoka ropoka tu bila hoja.karibu tujadili hii kitu muhimu sana.
Acha hizo bangi wewe!
 
Hakuna atakaye support uzi wako maana jf kumejaa wengi wao ni bavicha. Over

Post sent using JamiiForums mobile app
Sasa unataka watu wasapoti ujinga? Hv ikifika hyo 2040 akaondoka tutampata wapi Magufuri mwingine ?mi nadhani atutengenezee ile katiba imara hata akiondoka atakayekuja aifuate

Post sent using JamiiForums mobile app
 
ZUZU BRAIN katika juhudi za kuonyesha upumbavu uliokithiri.

Kwa jinsi anavyoinyoosha nchi, anavyosimamia maslahi ya wanyonge, anavyopambana na rushwa, anavyorudisha nidhamu ya utumishi wa umma ni wakati muafaka sasa kusimama naye kama Taifa na kumpa fursa pana ili amalizie ichokianza. Tumkosoe kwa hoja na sio vioja ili kumjenga (constructive critism) badala ya kuropoka ropoka tu bila hoja.karibu tujadili hii kitu muhimu sana.
 
Sasa unataka watu wasapoti ujinga? Hv ikifika hyo 2040 akaondoka tutampata wapi Magufuri mwingine ?mi nadhani atutengenezee ile katiba imara hata akiondoka atakayekuja aifuate

Post sent using JamiiForums mobile app
Ila kwa mboe kutawala milele ni halali

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kuna uwezekano umekata tamaa na maisha yako huna imani hata ikifika 2020 utakuwepo ndio maana unaombea hayo. Kama wewe ndio unawakilisha watanzania wengi ndio maana hii nchi ni masikini na tunakila kitu,nani kakuloga kuongea hayo. Nilitegemea kama kuna mambo mazuri umeona yakifanywa na mh Rais ni bora kuomba atumie nguvu zile zile na ushawishi kujenga misingi bora ili kila atakaetawala nchi hii atawale kwa haki na kwa ustawi wa nchi na sio kuomba atawale muda huo ulioandika kuonyesha kiwango cha ujinga wako.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kunatofauti kubwa sana ya kiongozi na mtawala.
Sasa wewe unataka atawale...

Hans Pol
 
Mkaribishe akaitawale familia yako hadi huo mwaka 2040.....

Kwa nchi yetu Tanzania, according to Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, maximum period ya yeye kuongoza nchi yetu ni only 10 years
 
It looks like watanzania tunaumwa tunahitaji character flani sio mfumo thabiti utakaofanya kazi bila kutegemea character. Ili ujue kuwa mfumo ni muhimu usimfundishe mwanao tabia njema ukitegemea ukali wako utasaidia kumfunza namna ya kusalimu, kula, kusali/kuswali, kupenda watu, kujali muda nk..
 
Mleta mada yupo FIELD ATTACHMENT YA MILEMBE hivyo ameficha funguo za mlango uliochorwa ubaoni.
 
kwa nini usisema atawale mpaka atakapokufa?ina maana uwezo wake utakwisha mwaka huo?
 
Kwa jinsi anavyoinyoosha nchi, anavyosimamia maslahi ya wanyonge, anavyopambana na rushwa, anavyorudisha nidhamu ya utumishi wa umma ni wakati muafaka sasa kusimama naye kama Taifa na kumpa fursa pana ili amalizie ichokianza. Tumkosoe kwa hoja na sio vioja ili kumjenga (constructive critism) badala ya kuropoka ropoka tu bila hoja.karibu tujadili hii kitu muhimu sana.

TAFADHALI JIPIME MWENYEWE:

1. KATIBA, 2. Democracy – uhuru kisiasa, 3. UHURU wa Raia kujieleza, 4. UHURU wa Raia AMANI,
5. UHURU –vyombo vya habari, 6. UCHUMI – kitaifa, 7. UCHUMI- Uwezo wa wananchi kumudu maisha
8. Mfumo wa KODI na uzito wa kodi, 9. Uwezo wa wananchi dhidi ya kodi, 10.UHURU wananchi kiuchumi
11.NIDHAMU ya DORA dhidi ya raia, 12.UFANISI wa BUNGE, 13. UFANISI NA UHURU WA MAHAKAMA
 
Mnaonaje Ndugu zangu watanzania?? Katiba mpya ichelewe ili tukubaliane kuongeza miaka ya kutawala Rais huyu ,hii haitoshi kabisaaa.

Tupaze sauti juu kuongeza miaka.
 
labda ukasalimu amri wewe na familia yako akutawale milele, mamluki pengine una asili ya utumwa umezowea kumilikiwa,huwezi kupata mawazo ya haki wala usawa haja yako umilikiwe na utawaliwe tu
 
Back
Top Bottom