Natamani Rais Magufuli atawale hadi 2040

Natamani Rais Magufuli atawale hadi 2040

Nakubaliana na wewe ikiwa huna mtindio wa ubongo. Kwa mtu wa kizazi hiki kutamani Magu aongezewe kipindi ni laana.
Wakenya wanatucheka kwa sababu ya Tania ya kujipendekeza kwa wanasiasa ili tujulikane. Nonsense!

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mwenye vioja ni wewe unayeota ndoto ukiwa unatembea.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Naunga mkono hoja ccm wamefanya vzr sana maana ukimweka MTU mwenye aibu atawale nchi ingekua pori la wahuni ,kapunguza mambo ya dezo dezo sasa kila mtu atafanya Kaz kulingana na taaluma yake no fake kila kitu OG CCM oyeeeee

Mungu pamoja nasi
Laana ya shetani pamoja nawe.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Umepungukiwa na akili kdogo

Post sent using JamiiForums mobile app
 
kila tusi nililofikilia kukutukana nimeona halikutoshi ....najaribu kuyaunganisha ili liwe moja halafu nirudi....

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kwa jinsi anavyoinyoosha nchi, anavyosimamia maslahi ya wanyonge, anavyopambana na rushwa, anavyorudisha nidhamu ya utumishi wa umma ni wakati muafaka sasa kusimama naye kama Taifa na kumpa fursa pana ili amalizie ichokianza. Tumkosoe kwa hoja na sio vioja ili kumjenga (constructive critism) badala ya kuropoka ropoka tu bila hoja.karibu tujadili hii kitu muhimu sana.
Unatumiwa au unatumika? Siku zote kwa hoja kama hizi soma kwanza katiba ya nchi inasemaje ili ueleweke.Naona mkakati umeanza

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kwa jinsi anavyoinyoosha nchi, anavyosimamia maslahi ya wanyonge, anavyopambana na rushwa, anavyorudisha nidhamu ya utumishi wa umma ni wakati muafaka sasa kusimama naye kama Taifa na kumpa fursa pana ili amalizie ichokianza. Tumkosoe kwa hoja na sio vioja ili kumjenga (constructive critism) badala ya kuropoka ropoka tu bila hoja.karibu tujadili hii kitu muhimu sana.
Tatizo lako ni IQ
 
2040 atkuwa udongoni.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kwa jinsi anavyoinyoosha nchi, anavyosimamia maslahi ya wanyonge, anavyopambana na rushwa, anavyorudisha nidhamu ya utumishi wa umma ni wakati muafaka sasa kusimama naye kama Taifa na kumpa fursa pana ili amalizie ichokianza. Tumkosoe kwa hoja na sio vioja ili kumjenga (constructive critism) badala ya kuropoka ropoka tu bila hoja.karibu tujadili hii kitu muhimu sana.
2040 mbona miaka michache bora atawale mpaka atakaporudi yesu. Na hicho kiama kikija na sisi tukienda mbinguni ni bora Mungu ambakishe huku duniani aendelee kuitawala Tanzania .
 
ndo mwisho wa akili yako sio.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kwa jinsi anavyoinyoosha nchi, anavyosimamia maslahi ya wanyonge, anavyopambana na rushwa, anavyorudisha nidhamu ya utumishi wa umma ni wakati muafaka sasa kusimama naye kama Taifa na kumpa fursa pana ili amalizie ichokianza. Tumkosoe kwa hoja na sio vioja ili kumjenga (constructive critism) badala ya kuropoka ropoka tu bila hoja.karibu tujadili hii kitu muhimu sana.

Hivi una uhakika kweli hapo ww hujaropoka? Anachofanya Magufuli ni kipi unachokiita kipya ambacho upinzani haujakemea miaka lukuki nyuma? Yaani unataka aungwe mkono kwa kuminya demokrasia? CCM yao huru kuzunguka TZ wakifanya siasa wakati upinzani wanakandamizwa kila kukicha.
Ufisadi umepigiwa kelele miaka mingi na upinzani, namna ya kuumaliza kabisa ifisadi SI KWA NJIA YA HUYU RAIS ya siasa za visasi. Sisi tunataka kila aliyeshiriki ufisadi awajibishwe - kwani urais haumfanyi rais awe na nguvu za ki Mungu. Ni wakati mwafaka kukomesha ubabe uliosheheni visasi na husuda.
Hatujasahahu wale samaki, hatujasahau nyumba walizopewa 'michepuko' na ndg wake wa karibu. Tunataka kumhoji siku moja.
 
Akili zako kama Muhammed Saeed al-Sahhaf waziri wa Propaganda wa Saadam Hussein enzi hizo.
Karne hii bado unaota kuwa na sultani ?.
Aibu.
 
Back
Top Bottom