Natamani Rais Magufuli atawale hadi 2040

Natamani Rais Magufuli atawale hadi 2040

Kwa jinsi anavyoinyoosha nchi, anavyosimamia maslahi ya wanyonge, anavyopambana na rushwa, anavyorudisha nidhamu ya utumishi wa umma ni wakati muafaka sasa kusimama naye kama Taifa na kumpa fursa pana ili amalizie ichokianza. Tumkosoe kwa hoja na sio vioja ili kumjenga (constructive critism) badala ya kuropoka ropoka tu bila hoja.karibu tujadili hii kitu muhimu sana.
Hatofika huko Kabla ndoto ya Lema haijatimia

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kwa jinsi anavyoinyoosha nchi, anavyosimamia maslahi ya wanyonge, anavyopambana na rushwa, anavyorudisha nidhamu ya utumishi wa umma ni wakati muafaka sasa kusimama naye kama Taifa na kumpa fursa pana ili amalizie ichokianza. Tumkosoe kwa hoja na sio vioja ili kumjenga (constructive critism) badala ya kuropoka ropoka tu bila hoja.karibu tujadili hii kitu muhimu sana.
Ni kawaida kwa watu wasio na upeo mkubwa kuangalia watu badala ya kuangalia mifumo.

Sent from my Kimulimuli
 
Kuna wa.se.ng.e wapo kwenye harakat za kuwania nafas mbalmbali kwny chama chao ndio maana wanajikosha kumpa mfalme wao kila aina ya sifa hata asizostahili...
Wanatuchosha buurrreee na mathread yao ya kibashite
 
Kwa jinsi anavyoinyoosha nchi, anavyosimamia maslahi ya wanyonge, anavyopambana na rushwa, anavyorudisha nidhamu ya utumishi wa umma ni wakati muafaka sasa kusimama naye kama Taifa na kumpa fursa pana ili amalizie ichokianza. Tumkosoe kwa hoja na sio vioja ili kumjenga (constructive critism) badala ya kuropoka ropoka tu bila hoja.karibu tujadili hii kitu muhimu sana.

BE CAREFUL WHAT YOU WISH FOR...................................
 
Mjipime kwanza jee! Mna timamu maana naona mnabadili ID kila siku kuleta mada zilezile
Mods hebu muunganishe huyu na vichaa wenzie wenye mawazo kama yake yaliyo tangulia

Ahahhahha, ,,eti na vichaa wenzie,, kweli Hawa ni wehu kabisa mkuu
 
Unapenda kutamani sana wewe...

Endelea tu
 
Kwani hii nchi ya mtu mmoja? Hata kama dau la buku7 hapo Lumumba limeongezeka ila siyo kwa kujichetua kiasi hiki asee
 
Kaka hii nchi si ya kifalme.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mtoa uzi akili yako ina majini ya Chato.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kwa jinsi anavyoinyoosha nchi, anavyosimamia maslahi ya wanyonge, anavyopambana na rushwa, anavyorudisha nidhamu ya utumishi wa umma ni wakati muafaka sasa kusimama naye kama Taifa na kumpa fursa pana ili amalizie ichokianza. Tumkosoe kwa hoja na sio vioja ili kumjenga (constructive critism) badala ya kuropoka ropoka tu bila hoja.karibu tujadili hii kitu muhimu sana.

Acha kutumia akili za usiku mkuu..unajidhalilisha kutoa wazo la namna hii..Ina maana hamna watu wengine wenye uwezo sawa au hata kumzidi JPM!??Mimi binafsi naunga mkono sana jitihada anazofanya JPM lakini eti aongoze hadi 2040!????hahaha...noooo at all...!
 
Haiwezekani!! Wakenya walishaomba tuwaazime Magu walau kwa miaka miwili baada ya 2025...
Learn to share!

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Yaani atawale moaka awe na miaka 98 hivi, umri zaidi ya alio nao Mugabe sasa hivi. Duh, ngoja nikae kimya!
 
Sijawahi mtukana mtu humu jf ila wewe mleta huu uzi.......

Hans Pol
 
Back
Top Bottom