Natamani nikiolewa nimruhusu mume wangu aoe mke mwingine tuwe wawili

Inawezekana we ni shemale unataka mke mwenza ili nawewe umkaze hi inaweza kua true story maana yupo Dada hpa JF naye ni shemale ukimtongoza anakulazimisha umuoe Kwanza kumbe Hana mbususu ana mkoma mkubwa sana njoo pm nikuunganishe naye labda atakushauri ufanye nini
 
Shenzi yani na ww ufanye yako kweli tuliza qinembe mama! We uhuru unaotaka ni wa kujifanyia unavyojiskia hata nje ya miko! Huo hauwez upata
sio kujifanyia ni takayo nikuwa tu huru na mambo yangu mtu asiingilie hovyo hovyo
 
Sio kutest tofauti ni basi tu tusibanane ka ruba
Sawa we unafaa kwa mahusiano ya dormant volcano!

Simu ikiita ni baada ya miezi mitatu na actually ni kuitiwa mashine like yow bebe nimekumisi uko wapi mke wangu😅... Nipo home bored...Well njoo kwangu basi i miss u sana! Mkimalizana hapo ni miezi tena kila mtu afanya yake.

Unaonekana wafit sana humu!
 
Sawa we unafaa kwa mahusiano ya dormant volcano!

Simu ikiita ni baada ya miezi mitatu na actually ni kuitiwa mashine like yow bebe nimekumisi uko wapi mke wangu... Nipo home bored...Well njoo kwangu basi i miss u sana! Mkimalizana hapo ni miezi tena kila mtu afanya yake.

Unaonekana wafit sana humu!
we jamaa hatari sana!!
 
Habari zenu wakuu,

Sijui ni kawaida? I'm 27 yrs lakini katika kuishi kwangu kote mpaka leo, nimekua nkitamani siku nikiolewa baada ya muda kadhaa nimruhusu mume wangu aoe mke mwingine...yaani naona kama tukiwa wawili ndoa itakua na Raha.

Sitaki kuwa bi mdogo au mke wa pili nop natamani tu niwe mke mkubwa afu mme wangu nimruhusu aoe mwingine ambae natamani tuwe na amani. Nawaona wake za baba yangu mkubwa yaani wanapendana huwezi Dhani ni wake wenza.

Japo kwa dini yetu ya kikristo wanaamini ni dhambi but.

Personally nimeyatamani sana haya maisha.
Ili awe anawapiga 3some?
 
Habari zenu wakuu,

Sijui ni kawaida? I'm 27 yrs lakini katika kuishi kwangu kote mpaka leo, nimekua nkitamani siku nikiolewa baada ya muda kadhaa nimruhusu mume wangu aoe mke mwingine...yaani naona kama tukiwa wawili ndoa itakua na Raha.

Sitaki kuwa bi mdogo au mke wa pili nop natamani tu niwe mke mkubwa afu mme wangu nimruhusu aoe mwingine ambae natamani tuwe na amani. Nawaona wake za baba yangu mkubwa yaani wanapendana huwezi Dhani ni wake wenza.

Japo kwa dini yetu ya kikristo wanaamini ni dhambi but.

Personally nimeyatamani sana haya maisha.
Nikiangalia familia mbili za baba angu tunavyoishi, sina hamu na suala la wake wawili.

Nilishaapa tamaa zangu hazitawahi athiri masha ya watoto wangu.

Never.
 
si wazo baya ila kumbuka ndoa za kikristo hazitambui mke wa pili kwahio kama unataka iwe hivyo basi jitahidi wewe ndio uwe mke halali na huyo mwenzako ndo awe mke batili..

zingatia hili usije ukapata shida kwenye mirathi mume akifariki.

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
huyu mallaya
IMG-20210803-WA0017.jpg
 
Back
Top Bottom