Natamani Niache Kazi

Natamani Niache Kazi

Tatizo jingine tunalokabiliana nalo ni expectation. Yaani mtu una expect mambo makubwaa pale tu utakapo ajiriwa. sasa unavokwenda na ukakuta tofauti ndio hapo tatizo huanzia. Mfano. Nimeshaacha kazi kampuni tatu mpaka sasa. niki expect labda niendako kutakua some how better than the previous. Sasa nakutana na ka salale kalekale tu, Nami pia nimeona nji nzuri ni bora kujiajiri. Business does grows but salale never mtu angu.Sema biashara nyingi za kitanzania ni zilezile tu zakufanana. Ndio mana zina challenge kwa kweli. Nina plan mpya ya biashara very unique. Nazichanga tu nasubiria zifikie ile amount niitakayo niianzishe, Hope nitafanikiwa tu. Sema Inshallaah.
 
pole xana kaka we share the same experience umenigusa mno...mm nishafanya uamuz nishakopa na naingia ujasiriamali, kaz rasmi hz znabana mno maslah kiduchu na hakyna mabadiliko miaka na miaka, utaishia kuvaa tai tu ukipata shda ua 50000 unadata!.... nasubir mkopo uingie nisepe zangu
unamanisha nn kusema hivyo? ukishapata mkopo unaacha kazi na kutoroka au? kwakweli jai ya maisha ni ngumu, kuna binti mmoja alikuwa anafanya kazi BRAC akawatumia watu wakope pesa afu wampe yeye kwa makuabaliano kuwa yeye atazifanyia kazi kisha atakuwa anawapa marejesho, mana yeye aruhusiwi kukopa, akakusanya mil 7 akasepa, tetezii tu sasa hizi zinasikika yuko malawi ameacha vilio tu huku,
kwakwli mkuu ulilofikiria sikushangai sana
 
Back
Top Bottom