super thinker
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 370
- 109
Acha kazi, kalale pema peponi
Pumba Kuu................mtu yuko serious wewe upo kifeisibuku, pataanzishwa jukwaa lenu la "pampers" mtaendaga huko
Acha kazi, kalale pema peponi
Nina advanced diploma in business management majoring in marketing.Help me wadau.Kama kuna vacancies.Am tired with this captivity of negativity life.
Nawakaribisha ktk Entrepreneurial Organization yangu Victorious Youth Enterprises Group-VYEG, ila wavivu hawaruhusiwi uwe mchapa kazi...!! (contact me at: victoriouy@yahoo.com)
Jiajiri ndugu, hizi kazi hata kama unalipwa Millioni 15 kwa mwezi, bado future ina giza, kujiajiri ndo mpango muzima, hata kama huna capital, start small, kuwa na utamaduni wa kufanya saving, na itese akili yako ifikirie la kufanya na kidogo ukipatacho, waaaallaaahhiiii utatoka
Nina advanced diploma in
business management majoring in marketing.Help me wadau.Kama kuna
vacancies.Am tired with this captivity of negativity life.
Nikiukumbuka msemo wa "acha kazi,uone kazi.........."najihurumia. Kazi mshahara mduchu, pia sio career yangu. Nimetafuta kazi miaka tangu niajiriwe 2011 nikitoka chuo nikajua najishikiza tu. Kumbe dah! miaka inakatika umri unaenda hela haiseviki ingawa nipo single pia pepo wa madeni ananiandama.
Najiona napoelekea ntakuwa tapeli.
God bless me and all who feel the hardships like I do.
kuna mahali amesema amekesha club utajuaje anasomesha nduguze?utajuaje ni familia maskini anasaidia ndugu zake utajuaje amepanga na kodi ni kubwa .acha kuwaza negative mtu akisema yuko singo sio club tu ndugu yangu!!!!hheri yako wewe uliepata mshahara na kukesha club kuliko huyu anaetafuta kazi bila mafanikio..
Wasio na akili kama wewe hawataki kuambiwa ukweli kwani ni zito wa kufikiri. Hili ni jukwaa la wenye kutumia akili sio vilaza kama wewe mwenye kutuletea upumbavu kujaza ukurasa. wavivu wa kufanya kazi waanzishe jukwaa lao badala ya kuleta miharo hapa. Ni marehemu tu anayeacha kufanya kazi.Pumba Kuu................mtu yuko serious wewe upo kifeisibuku, pataanzishwa jukwaa lenu la "pampers" mtaendaga huko
Usiache kazi hata kama mshahara ni mdogo, afu ujue hela huwa haitoshi hata siku moja....
kazini ndo sehemu utakutana na watu watakaokupa channnel zingine
ukikaa home utakuwa dolo tu usiache.
Wasio na akili kama wewe hawataki kuambiwa ukweli kwani ni zito wa kufikiri. Hili ni jukwaa la wenye kutumia akili sio vilaza kama wewe mwenye kutuletea upumbavu kujaza ukurasa. wavivu wa kufanya kazi waanzishe jukwaa lao badala ya kuleta miharo hapa. Ni marehemu tu anayeacha kufanya kazi.
Hilo ni neno umempa. Inaelekea kwake bwana huyo kazi maana yake kupata mshahara kwa mwezi. Hajui walioajiriwa wanatamani sana kufanya kazi ya ziada kujishughulisha kwa akili zao kujikimu sawasawa. Ni jambo la msingi kabisa kulijua hilo kwa mtu yeyote mwenye akili sawasawa. Mara nyingi hapa jukwaani watu wanasumbua macho ya watu kuleta hadithi za kushindwa maisha ati wanaomba msaada kwa kuwa wanatamani kuacha hili na lile......upuzi mtupu. Mtu anaezaje kupata mchumba akapeleka na mahari akapanga na siku ya harusi halafu aje kwetu kuuliza tumshauri namna ya kuoa mke mzuri au kolewa na mwanaume mzuri?? Hali hiyo naiona kama kutoitumia fulsa ya JF kama resource ya mtu kujiendeleza, misuse of opportunities. Ninadhani watu wa namna hiyo ni kuwakatisha tamaa tangu mwanzoni. Tunataka mtu aseme anafikiria kufanya mradi fulani, sasa anauliza ushauri wa namna ya kuufanya mradi huo kwa ufanisi. Kwani skills zinatofautiana kati na baina ya watu na ni vema kuwa wazi ili kutafiti striking the perfect point ili upate mafanikio. Kwa nini mtu aulize ushauri wa maamuzi yake ya kujikata shingo afe? If one desires to die and chooses the procedure that fits him or her, let it go..... kwani mtoto akililia wembe mpe, itakuwa shule nzuri sana kwake na wapumbavu wenzake. Tutumie mitandao kwa faida na sio kupotezeqana muda. Kujaza threads za kipuzi kunafanya hata zile nyuzi za maana zisionwe kwa sababu ya kuboreka kwa kuziona zenye miharo ingawa hizo hushabikiwa zaidi. Nakubali nyuzi zingine ni za burudani ili waliochoka kufanya kazi kwa bidii wakisoma wacheke kidogo na kurelax kupata nguvu ya kufanya kazi zaidi. BURUDANI, ELIMU na HABARISHO ndio msingi wa chombo chochote cha habari kinachotaka kudumu.Hv biashara au ujasiriamali sio kazi? Kwa maana kwamba kazi ni ile ya kuwa kwenye payroll ya mtu mwingine tu? Ukianzisha biashara ukamake mshahara wako na may be wa wengine wanaokusaidia kwenye hiyo mission haiwi kazi tena?
Hilo ni neno umempa. Inaelekea kwake bwana huyo kazi maana yake kupata mshahara kwa mwezi. Hajui walioajiriwa wanatamani sana kufanya kazi ya ziada kujishughulisha kwa akili zao kujikimu sawasawa. Ni jambo la msingi kabisa kulijua hilo kwa mtu yeyote mwenye akili sawasawa. Mara nyingi hapa jukwaani watu wanasumbua macho ya watu kuleta hadithi za kushindwa maisha ati wanaomba msaada kwa kuwa wanatamani kuacha hili na lile......upuzi mtupu. Mtu anaezaje kupata mchumba akapeleka na mahari akapanga na siku ya harusi halafu aje kwetu kuuliza tumshauri namna ya kuoa mke mzuri au kolewa na mwanaume mzuri?? Hali hiyo naiona kama kutoitumia fulsa ya JF kama resource ya mtu kujiendeleza, misuse of opportunities. Ninadhani watu wa namna hiyo ni kuwakatisha tamaa tangu mwanzoni. Tunataka mtu aseme anafikiria kufanya mradi fulani, sasa anauliza ushauri wa namna ya kuufanya mradi huo kwa ufanisi. Kwani skills zinatofautiana kati na baina ya watu na ni vema kuwa wazi ili kutafiti striking the perfect point ili upate mafanikio. Kwa nini mtu aulize ushauri wa maamuzi yake ya kujikata shingo afe? If one desires to die and chooses the procedure that fits him or her, let it go..... kwani mtoto akililia wembe mpe, itakuwa shule nzuri sana kwake na wapumbavu wenzake. Tutumie mitandao kwa faida na sio kupotezeqana muda. Kujaza threads za kipuzi kunafanya hata zile nyuzi za maana zisionwe kwa sababu ya kuboreka kwa kuziona zenye miharo ingawa hizo hushabikiwa zaidi. Nakubali nyuzi zingine ni za burudani ili waliochoka kufanya kazi kwa bidii wakisoma wacheke kidogo na kurelax kupata nguvu ya kufanya kazi zaidi. BURUDANI, ELIMU na HABARISHO ndio msingi wa chombo chochote cha habari kinachotaka kudumu.
Asante kwa kunirudisha duniani, maana nene mvifile hilo na huyo mwagito.
pole sana rafiki..hayo bwana hata mimi yaliwahi nikuta nikaamua kufanya uamuzi mgumu nikaacha kazi. lakini jaribu kuongea na mwajiri wako umuelezee hali halisi ya maisha jinsi yalivyoshuka(hayajapanda) na kuwa magumu anaweza kukufikiria akajua namna ya kukusaidia!