Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
Unaogopa kwenu kuliko kwa watu! Pole sana jifikirie kama una sababu muhimu ya kukufanya urudi au ubaki ulipo.
msimdanganye banaaa we kaa huko
huku kuna shida ya maji
miundombinu hovyo
foleni
njaa kali
hakuna pesa kwa sie walalahoi ila riza1 ni milionea
umeme ni kitendawili
we kaa huko hata kama
unadeki nyumba ya mtu
nji hii imeoza haaa