Natamani kurudi home

Natamani kurudi home

rosemarie

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
6,887
Reaction score
3,439
nina ile kitu kinaitwa home sick,nimechoka sana na maisha ya ugenini,lakini naogopa kurudi
home na kukwama,hasa nikisia mambo ya mgao wa umeme!!!lonely life not good.
 
hahahahaah pole yako....huko kukaa nje kidogo ndo kunakufanya uogope kurudi kwenu eti mgao sijui nini...kwani umeanza jana huu!
 
usitishike kiasi hicho mkuuu
ukiwa na mshiko wa maana
hakikisha una nyumba ya kuishi
chukua likizo rudi home kwa mwezi kwanza
angalia wapi waweza tulia na wapi pa afadhali kidogo..
ukisha fanya ka research chako basi fungasha....
yakikushinda rudi huko mjuuu..
 
Rudi hme kaka hata kwa muda mfupi upate relief kdogo.ishawah kunitokea nlipoenda kuanza kazi so i knw how does it feel.u become so restless! Have a gud stay huko uliko but come back soon utupe mamkitu ya majuu"
 
Rudi home mkuu 2nakukaribisha sana2, ila usisahau mafuta ya taa,na tochi kubwa,kuna giza mkuu huku,rudi hm mkuu uone nchi ilivyo.
 
Mijitu mingine ina mbwembwe za kifa.la sana, eti naogopa mgao wakati umeme wenyewe kwao wamevuta akiwa form six.
 
Unaogopa kwenu kuliko kwa watu! Pole sana jifikirie kama una sababu muhimu ya kukufanya urudi au ubaki ulipo.
 
Rudi hme kaka hata kwa muda mfupi upate relief kdogo.ishawah kunitokea nlipoenda kuanza kazi so i knw how does it feel.u become so restless! Have a gud stay huko uliko but come back soon utupe mamkitu ya majuu"


mkuu napenda sana familia,ningejaliwa nipate mke kutoka nyumbani ningefurahi sana sana
 
Mijitu mingine ina mbwembwe za kifa.la sana, eti naogopa mgao wakati umeme wenyewe kwao wamevuta akiwa form six.

mkuu ecoli acha utani kwenye mambo ya muhimu
 
nina ile kitu kinaitwa home sick,nimechoka sana na maisha ya ugenini,lakini naogopa kurudi
home na kukwama,hasa nikisia mambo ya mgao wa umeme!!!lonely life not good.

miss u jaman..njoo hm bana
rud nyumban tujenge familia..pls cooooooooooooome...i wl buy u sweet

USIJALI NTAKUPA MACONCEULLOR WATAKUPA COUNSELLING YA KUTOSHA ILI UONE POA TU MAISHA YA NO MAJI NO UMEME
 
mkuu natamani sana kuja tujenge nchi,lakini naomba waondoeni ccm kwanza,wanakatisha tamaa sana mkuu


njoo tushirirkiane kuwatoa sa ukikaa uko nan atawatoa?

pole... i knw hw t fils ukiwa nje then umemiss home...ahh inakera
 
njoo tushirirkiane kuwatoa sa ukikaa uko nan atawatoa?

pole... i knw hw t fils ukiwa nje then umemiss home...ahh inakera


asante,lakini naona dar sitapaweza bora nikatulie mwanza au mbeya
 
Back
Top Bottom