nina ile kitu kinaitwa home sick,nimechoka sana na maisha ya ugenini,lakini naogopa kurudi
home na kukwama,hasa nikisia mambo ya mgao wa umeme!!!lonely life not good.
Rudi hme kaka hata kwa muda mfupi upate relief kdogo.ishawah kunitokea nlipoenda kuanza kazi so i knw how does it feel.u become so restless! Have a gud stay huko uliko but come back soon utupe mamkitu ya majuu"
nina ile kitu kinaitwa home sick,nimechoka sana na maisha ya ugenini,lakini naogopa kurudi
home na kukwama,hasa nikisia mambo ya mgao wa umeme!!!lonely life not good.
mkuu ecoli acha utani kwenye mambo ya muhimu
mkuu natamani sana kuja tujenge nchi,lakini naomba waondoeni ccm kwanza,wanakatisha tamaa sana mkuu
mkuu natamani sana kuja tujenge nchi,lakini naomba waondoeni ccm kwanza,wanakatisha tamaa sana mkuu