- Thread starter
- #21
jamani jamani ushauri mzuri toka kwa wote mliochangia. Ila moyo unaganzi ya ajabu kwa sasa naona ntakosa mume mwenzenu manake sitamani mwanaume cku hz baada ya kutamani pendo la dhati nakulikosa kwa niliekuwanae, tumezaa mtoto 1, hanijali tena machozi yanitoka kila nikiwa pekeyangu sehemu ya utulivu, eeeee mungu nisaidie sijawahi mtenda mwanaume nimetendwa mie. Ntalia mpaka lini mimi.