Natamani kuoa ila nimekosa mke

Natamani kuoa ila nimekosa mke

Hapana tujitahidi kuchukua mazuri yao na mazuri ya haya yalokuja tuchanganye we can get something good.
Japo misingi yao ya kimalezi ilikuwa bora kuliko yetu ya sasa.
Yawezekana misingi yao haikuwa bora ila ilifanya kazi vizuri kwa wakati wao.

Shida inakuja tunataka kwenda na wakati kwa mawazo ya kizamani bila kuyaboresha. Hilo haliwezekani, mwanaume wa sasa anataka mke kama bibi yake ilihali yeye sio babu yake na kinyume chake. Sawa bibi alimfanyia babu 1 2 3 4 5....., kwasababu alikuwa mama wa nyumbani, lakini je, mkeo ambae ni mfanya kazi mnaeondoka wote na kurudi wote anaweza kukufanyia the same?!!!!

Je mumeo ambae ana kipato kidogo kuliko wewe kwakuwa mfumo umekuruhusu kuwa nacho zaidi na amebaki kuwa mumeo mwaminifu unamuheshimu inavyopaswa!!!! Nk nk nk nk, msingi ni upendo na heshima tu. Hayo mengine mbwembwe tu za kunogesha.
 
MY ASSUMPTIONS: SHIDA INAWEZA KUWA SIO TABIA MBAYA/ZILIZOSHINDIKANA ZA HIYO MWALIMU

Huyo mwalimu wako maybe wanawake anaowapenda hawamtaki, na wanawake asiowapenda ndo wanamtaka, its a very dangerous situation especially kama mwanaume unamtaka mwanamke anaekupenda the same way unavompenda, ukicheza cheza unaweza ukagonga miaka 60 hujaoa, its a sad life... agata edward
Possible ya kupata mwanamke anayekupenda kama unavyo mpenda ipo ama haipo???
 
Na hii ndio hutokea zaidi.



Daah, i have seen real life examples..its a very sad reality

1) Mwanaume ana-sacrifice his happiness kwa kuoa mwanamke asiempenda, ili na yeye aoneakane ameoa (a-fit in kwenye jamii), because wanawake anaowapenda wamemkataa
2) Mwanamke anaolewa na mwanaume asiempenda coz wanaume anaowataka hawamtongozi, hawana malengo nae, au kisa pesa

Siwezi oa mwanamke nsiempenda aisee ntajisikia vibaya huko kwenye ndoa, nadhani ntamtesa bure mtoto wa watu espy
 
Hivi ni kweli kuna mwanaume anakosa mwanamke wa kumuoa mpaka anakata tamaa ya kuwa na familia.?

Kuna Mwalimu wangu wa primary kwa sasa anakimbilia 40 lakini hana mke wala mtoto,ukipiga nae story mbili tatu lazima aingize habari ya kukosa mke..
huwa nakosa majibu ni kweli anakosa mke au ana tabia zinazomkosesha mke!?.
We unaonaje mtt mzuri?
 
Daah, i have seen real life examples..its a very sad reality

1) Mwanaume ana-sacrifice his happiness kwa kuoa mwanamke asiempenda, ili na yeye aoneakane ameoa (a-fit in kwenye jamii), because wanawake anaowapenda wamemkataa
2) Mwanamke anaolewa na mwanaume asiempenda coz wanaume anaowataka hawamtongozi, hawana malengo nae, au kisa pesa

Siwezi oa mwanamke nsiempenda aisee ntajisikia vibaya huko kwenye ndoa, nadhani ntamtesa bure mtoto wa watu espy
Yaani hata sitaki kufikiria kuishi na mtu nisompenda kwakweli. Ni mateso sana.
 
Possible ya kupata mwanamke anayekupenda kama unavyo mpenda ipo ama haipo???


i think a veeeeery small percentage of humans wana-enjoy that happiness ( yani your crush also have a crush on you, halafu baadae mnakuja kuoana)..possibility ya kupata mwanamke anaekupenda kama unavyompenda ipo, ila its very rare kutokea, ama inaweza isikutokee kabisa, kama ikikutokea hivyo, consider yourself a very lucky and blessed human being macho 4
 
Yawezekana misingi yao haikuwa bora ila ilifanya kazi vizuri kwa wakati wao.

Shida inakuja tunataka kwenda na wakati kwa mawazo ya kizamani bila kuyaboresha. Hilo haliwezekani, mwanaume wa sasa anataka mke kama bibi yake ilihali yeye sio babu yake na kinyume chake. Sawa bibi alimfanyia babu 1 2 3 4 5....., kwasababu alikuwa mama wa nyumbani, lakini je, mkeo ambae ni mfanya kazi mnaeondoka wote na kurudi wote anaweza kukufanyia the same?!!!!

Je mumeo ambae ana kipato kidogo kuliko wewe kwakuwa mfumo umekuruhusu kuwa nacho zaidi na amebaki kuwa mumeo mwaminifu unamuheshimu inavyopaswa!!!! Nk nk nk nk, msingi ni upendo na heshima tu. Hayo mengine mbwembwe tu za kunogesha.
Niamini mimi kama isingekuwa bora basi isingefanya kazi.

Kwenye kila kitu kuna hasara na faida na kuna trade offs lakini pia kuna price to pay. Wanawake wengi wa sasa hawataki kulitambua hilo. Kupata elim hakukupunguzii role yako. Ila kuna ongeza majukumu yako ndio price to pay hiyo.
Kwa wanaume nao kuoa mwanamke mwenye elim lazima kuwe na trade offs kuna vitu utavikosa ila watu hawajui hilo.

Sipingi maendeleo ya sasa ila napinga kuyafanya maendeleo hayo yashape ndoa. There were some where wazee wetu walikuwa sahihi.
 
Niamini mimi kama isingekuwa bora basi isingefanya kazi.

Kwenye kila kitu kuna hasara na faida na kuna trade offs lakini pia kuna price to pay. Wanawake wengi wa sasa hawataki kulitambua hilo. Kupata elim hakukupunguzii role yako. Ila kuna ongeza majukumu yako ndio price to pay hiyo.
Kwa wanaume nao kuoa mwanamke mwenye elim lazima kuwe na trade offs kuna vitu utavikosa ila watu hawajui hilo.

Sipingi maendeleo ya sasa ila napinga kuyafanya maendeleo hayo yashape ndoa. There were some where wazee wetu walikuwa sahihi.
Yo right.
 
i think a veeeeery small percentage of humans wana-enjoy that happiness ( yani your crush also have a crush on you, halafu baadae mnakuja kuoana)..possibility ya kupata mwanamke anaekupenda kama unavyompenda ipo, ila its very rare kutokea, ama inaweza isikutokee kabisa, kama ikikutokea hivyo, consider yourself a very lucky and blessed human being macho 4
Nimekupata mkuu..so unaamini ndoa.nyingi sanaaa zimeegemea upendo wa sehemu moja tu na zipo zinazo dumu na furaha tele
 
Ni kweli. Hata Mimi vigezo vyangu vinawaengua wadada wengi sana.
 
Atakuwa na ngoma labda, anaogopa kupimwa maana mkianza uhusiano lazma mpimane.
 
Daah, i have seen real life examples..its a very sad reality

1) Mwanaume ana-sacrifice his happiness kwa kuoa mwanamke asiempenda, ili na yeye aoneakane ameoa (a-fit in kwenye jamii), because wanawake anaowapenda wamemkataa
2) Mwanamke anaolewa na mwanaume asiempenda coz wanaume anaowataka hawamtongozi, hawana malengo nae, au kisa pesa

Siwezi oa mwanamke nsiempenda aisee ntajisikia vibaya huko kwenye ndoa, nadhani ntamtesa bure mtoto wa watu espy
Ubaya unaempenda ndie atakaeenda kukusumbua huko ndoani.
 
Nimekupata mkuu..so unaamini ndoa.nyingi sanaaa zimeegemea upendo wa sehemu moja tu na zipo zinazo dumu na furaha tele


yeah, nimeona ndoa nyingi sana zimeegemea upendo wa sehemu moja, yani mtu anavumilia kukaa kwenye ndoa sio kwasababu ya upendo, ila ni kwamba hana choice/options, sasa afanyeje..hizo ndoa zilizojaa furaha na upendo tele from both sides, si bure ni Mungu tu, ameweka mkono wake hapo macho 4
 
Back
Top Bottom