Natamani kuoa ila nimekosa mke

Natamani kuoa ila nimekosa mke

Kama ndivyo ulivyoamua kwa dhati na utaishi ktk usafi na iwe hivyo mpendwa. Ila yasiwe maamuzi ya sizitaki mbichi hizi baadae ukiwa shahibu unaniambia nikutafutie mjukuu wa watu umbemende.
Hahahahaaa
Ww tutawasiliana ikiingia batch mpya ya walim.
Ukute ntshawishika
 
Ni kipi hakina matatizo mengi rafiki?? Chakula tu tunachokula chaweza kutudhuru hata kutupelekea mauti ila hatuachi kula bali tunatafuta kula healthy nk. Hivyo hivyo inatupasa kufanya ktk mambo mengine na ndoa ikiwemo.
Kwa kweli story kama hizo zina discourage
Mimi naona haya mwalim wa agata atakuwa amejifunza huko.
Ni role model wangu huyo.
 
Hahahah
Mimi asee sio tim chura mambonya kina Behavourist hayo.

Kuna siku nilifuatilia mjadala flani redio ya nchi za wenzetu, wanaume wengii wali sema walioa kwa kuwa iliwalazimu kwa muda huo. Mpaka nikawa nasema kwani nani aliwa lazimisha ?[emoji1]
Hahahaaa!! Hawakusema nini kiliwalazimu? Upendo ambao ndio msingi wa ndoa sio sababu tena ya kuoana siku hizi.
 
Kwa kweli story kama hizo zina discourage
Mimi naona haya mwalim wa agata atakuwa amejifunza huko.
Ni role model wangu huyo.
Umeamua kujifunza kwa walioshindwa pekee? Hebu jaribu na upande wa pili kuna kubwa utajifunza pia.
 
Hivi ni kweli kuna mwanaume anakosa mwanamke wa kumuoa mpaka anakata tamaa ya kuwa na familia.?

Kuna Mwalimu wangu wa primary kwa sasa anakimbilia 40 lakini hana mke wala mtoto,ukipiga nae story mbili tatu lazima aingize habari ya kukosa mke..
huwa nakosa majibu ni kweli anakosa mke au ana tabia zinazomkosesha mke!?.
Hana nguvu za kiume huyo!!
 
MY ASSUMPTIONS: SHIDA INAWEZA KUWA SIO TABIA MBAYA/ZILIZOSHINDIKANA ZA HIYO MWALIMU

Huyo mwalimu wako maybe wanawake anaowapenda hawamtaki, na wanawake asiowapenda ndo wanamtaka, its a very dangerous situation especially kama mwanaume unamtaka mwanamke anaekupenda the same way unavompenda, ukicheza cheza unaweza ukagonga miaka 60 hujaoa, its a sad life... agata edward
 
Tunakosea wapi?
Tumepuuzia sana kujua wazazi wetu wali ishije, huwa tunadhani wao walikuwa ni primitive tuu wakati formula yao ilifanya kazi.

Tumechukua formula za wazungu, elimu, teknolojia na demokrasia vinaharibu sanaa
Ndoa za sku hizi.
 
Tumepuuzia sana kujua wazazi wetu wali ishije, huwa tunadhani wao walikuwa ni primitive tuu wakati formula yao ilifanya kazi.

Tumechukua formula za wazungu, elimu, teknolojia na demokrasia vinaharibu sanaa
Ndoa za sku hizi.
Kwahiyo tuzirejee enzi?
Ikiwa ni kwamba wanawake wasisome na wasijihusishe na sayansi na teknolojia, mchaguliwe wake nk?????
 
MY ASSUMPTIONS: SHIDA INAWEZA KUWA SIO TABIA MBAYA/ZILIZOSHINDIKANA ZA HIYO MWALIMU

Huyo mwalimu wako maybe wanawake anaowapenda hawamtaki, na wanawake asiowapenda ndo wanamtaka, its a very dangerous situation especially kama mwanaume unamtaka mwanamke anaekupenda the same way unavompenda, ukicheza cheza unaweza ukagonga miaka 60 hujaoa, its a sad life... agata edward
Na hii ndio hutokea zaidi.
 
Kwahiyo tuzirejee enzi?
Ikiwa ni kwamba wanawake wasisome na wasijihusishe na sayansi na teknolojia, mchaguliwe wake nk?????
Hapana tujitahidi kuchukua mazuri yao na mazuri ya haya yalokuja tuchanganye we can get something good.
Japo misingi yao ya kimalezi ilikuwa bora kuliko yetu ya sasa.
 
MY ASSUMPTIONS: SHIDA INAWEZA KUWA SIO TABIA MBAYA/ZILIZOSHINDIKANA ZA HIYO MWALIMU

Huyo mwalimu wako maybe wanawake anaowapenda hawamtaki, na wanawake asiowapenda ndo wanamtaka, its a very dangerous situation especially kama mwanaume unamtaka mwanamke anaekupenda the same way unavompenda, ukicheza cheza unaweza ukagonga miaka 60 hujaoa, its a sad life... agata edward
Hapa nimekuelewa vizuri.
 
kakuona ndio msikilizaji wa masahibu yake,trust me hakuna mwanamke mwingine anayeambiwa hayo Zaidi yako which It can be predicted kuwa kakuona una qualities za kuwa mke wake kwa kuwa umsikivu,wewe jichekeshe chekeshe akipata more confidence in you atapropose.heheh
Akuu, eti huyu awe msikivu chamdomo huyuu..!
 
Back
Top Bottom