Natamani kuoa ila nimekosa mke

Natamani kuoa ila nimekosa mke

kakuona ndio msikilizaji wa masahibu yake,trust me hakuna mwanamke mwingine anayeambiwa hayo Zaidi yako which It can be predicted kuwa kakuona una qualities za kuwa mke wake kwa kuwa umsikivu,wewe jichekeshe chekeshe akipata more confidence in you atapropose.heheh
 
Huyu ticha kuna jambo ambalo linamtatiza lakini hataki kuliweka wazi ila anaishia tu kulalamika kuwa kakosa mke.

Laiti angekuwa muwazi, angeweza kushauriwa na kupata suluhu ya tatizo lake ambalo ni kikwazo cha kupata mwanamke wa kumuoa.
 
Hivi ni kweli kuna mwanaume anakosa mwanamke wa kumuoa mpaka anakata tamaa ya kuwa na familia.?

Kuna Mwalimu wangu wa primary kwa sasa anakimbilia 40 lakini hana mke wala mtoto,ukipiga nae story mbili tatu lazima aingize habari ya kukosa mke..
huwa nakosa majibu ni kweli anakosa mke au ana tabia zinazomkosesha mke!?.
Ungejiuliza wewe ujaolewa why asikwambie akuoe..!?? Kama ulivyo waruwaru, mvivu na mmbea huwa tunawakosa waliotimamu.
 
kakuona ndio msikilizaji wa masahibu yake,trust me hakuna mwanamke mwingine anayeambiwa hayo Zaidi yako which It can be predicted kuwa kakuona una qualities za kuwa mke wake kwa kuwa umsikivu,wewe jichekeshe chekeshe akipata more confidence in you atapropose.heheh
Sio rahisi...
 
Huyu ticha kuna jambo ambalo linamtatiza lakini hataki kuliweka wazi ila anaishia tu kulalamika kuwa kakosa mke.

Laiti angekuwa muwazi, angeweza kushauriwa na kupata suluhu ya tatizo lake ambalo ni kikwazo cha kupata mwanamke wa kumuoa.
Hata Mimi nahisi kuna kitu.
 
Back
Top Bottom