Natamani kuoa ila nimekosa mke

Natamani kuoa ila nimekosa mke

Anakuwa amemkosa yule anaemtaka yeye kwa vigezo vyake. Ndio ile unaemtaka nae ana vigezo anavyovitaka ambavyo hauna.

Sijui kwanini ila huwa nafikiri wanaume hupata wakati mgumu zaidi ktk hili kuliko sisi ila huwa wanajifariji tu na suala la umri ambalo kwa upande wetu hatuna hiyo nafasi haswa kama unahitaji mtoto.
 
Anakuwa amemkosa yule anaemtaka yeye kwa vigezo vyake. Ndio ile unaemtaka nae ana vigezo anavyovitaka ambavyo hauna.

Sijui kwanini ila huwa nafikiri wanaume hupata wakati mgumu zaidi ktk hili kuliko sisi ila huwa wanajifariji tu na suala la umri ambalo kwa upande wetu hatuna hiyo nafasi haswa kama unahitaji mtoto.
huwa una mawazo kama yangu....
 
Anakuwa amemkosa yule anaemtaka yeye kwa vigezo vyake. Ndio ile unaemtaka nae ana vigezo anavyovitaka ambavyo hauna.

Sijui kwanini ila huwa nafikiri wanaume hupata wakati mgumu zaidi ktk hili kuliko sisi ila huwa wanajifariji tu na suala la umri ambalo kwa upande wetu hatuna hiyo nafasi haswa kama unahitaji mtoto.
Upo sahihi
Presha kwa wanaume pia huwa ni kubwa tuu
 
Upo sahihi
Presha kwa wanaume pia huwa ni kubwa tuu
Ni kweli kabisa maana tunawashuhudia ndugu zetu,marafiki na majirani. Hawa unakua unaujua uhalisia wao hivyo hawawezi kukuficha jambo. The pressure is real.

Alafu sasa ndio hii "nataka kuoa ila sipati mke" imeshamiri kweli, wakati mkiulizwa huwa mnadai kigezo chenu ni chura tu, na vyura wamejaa tele!
 
Ni kweli kabisa maana tunawashuhudia ndugu zetu,marafiki na majirani. Hawa unakua unaujua uhalisia wao hivyo hawawezi kukuficha jambo. The pressure is real.

Alafu sasa ndio hii "nataka kuoa ila sipati mke" imeshamiri kweli, wakati mkiulizwa huwa mnadai kigezo chenu ni chura tu, na vyura vimejaa tele!
Hahahsaa...
 
Ni kweli kabisa maana tunawashuhudia ndugu zetu,marafiki na majirani. Hawa unakua unaujua uhalisia wao hivyo hawawezi kukuficha jambo. The pressure is real.

Alafu sasa ndio hii "nataka kuoa ila sipati mke" imeshamiri kweli, wakati mkiulizwa huwa mnadai kigezo chenu ni chura tu, na vyura wamejaa tele!
Hahahah
Mimi asee sio tim chura mambonya kina Behavourist hayo.

Kuna siku nilifuatilia mjadala flani redio ya nchi za wenzetu, wanaume wengii wali sema walioa kwa kuwa iliwalazimu kwa muda huo. Mpaka nikawa nasema kwani nani aliwa lazimisha ?[emoji1]
 
Hahah
Ndoa zina matatizo mengi kama stori ya yule jamaa ulivonisimulia.
Bora tu kuto oa.
Ni kipi hakina matatizo mengi rafiki?? Chakula tu tunachokula chaweza kutudhuru hata kutupelekea mauti ila hatuachi kula bali tunatafuta kula healthy nk. Hivyo hivyo inatupasa kufanya ktk mambo mengine na ndoa ikiwemo.
 
Back
Top Bottom